klorokwine
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 378
- 33
Kuelekea ule mtanange wa nani mtani jembe katika tasnia ya mziki wa dansi la kitanzani, siku ya tarehe 25-12-2014 ndani ya viwanja vya TTC club chang'ombe, ni mpambano mkali kati ya bendi ya msondo ngoma na sikinde ngoma ya ukae,
Ningependa kushare maoni yako ewe mpenzi wa muziki huu,kutaka kujua ni nani haswa ataibuka kidedea katika mpambano huu. Na pia kama kuna yeyeto anaejua website ambayo tunaweza kuusikiliza mziki wa bendi hizi mbili si mbaya akaiweka hapa ili tuweze kupata maamuzi sahihi baada ya jikumbusha miziki yao,
Wadau mnakaribishwa.
Ningependa kushare maoni yako ewe mpenzi wa muziki huu,kutaka kujua ni nani haswa ataibuka kidedea katika mpambano huu. Na pia kama kuna yeyeto anaejua website ambayo tunaweza kuusikiliza mziki wa bendi hizi mbili si mbaya akaiweka hapa ili tuweze kupata maamuzi sahihi baada ya jikumbusha miziki yao,
Wadau mnakaribishwa.