G Nako ajitoa Weusi

G Nako ajitoa Weusi

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes pamoja na G Nako mwenyewe. Lord Eyes alisimamishwa kufanya kazi na kundi hilo baada ya kuwa na tuhuma za wizi wa vifaa vya magari.

Bonta amekuwa akitengwa sana ndani ya kundi hilo kwa madai ya kuwa yupo busy sana na kazi yake "udaktari" kitu ambacho si kweli, kutokana na maendeleo ya teknolojia hata kama watu hawawezi kuonana lakini wanaweza kurecord na kutuma sauti kwa njia ya email kama ambavyo Solothang amekuwa akifanya kazi na wasanii wa bongo japo yupo nje ya nchi.

Kiuhalisia kundi hilo linaundwa na Nikki wa Pili, Joh Makini pamoja na G Nako ambapo G Nako alikuwa akitumiwa kama mpiga show za Weusi na malipo yake yalikuwa madogo saaana hivyo baada ya G Nako kujitoa hilo kundi litaundwa na kaka na mdogo wake.

G Nako amekataliwa na Joh Makini kutumia logo ya Weusi popote pale na ndiomaana katika video mpya ya G Nako (morale) hajatumia tshirt zilizoandikwa Weusi.

WEUSI BYE BYE

BY: BUKU JERO
 
Dunia nzima dhana ya makundi ya muziki ilishakufa kitambo ...........hii si ajabu ........
 
Pesa ni mwanaharamu....!yeah nimeicheki video ya morale ila sikugundua kuhusu kutoonekana kwa Weusi clothing line duh Warawara kasepa basi kundi litayumba dzain
 
BUKU JERO hebu tupatie chanzo chako cha Habar baada ya show ya Tanga ndyo G atajitoa rasmi au? Maana kwenye ratiba na instagram yake anatangza show ya weusi December13 Tanga
 
Last edited by a moderator:
Japo ni tetesi lakini zimenisikitisha sana. Huyo mtu na mdogo wake wajifikirie vizuri
 
Bla bla Bla hajajitoa weusi acha zako ww....wiki ijayo wanapiga show Laca Chika Tanga Kwenye funga Mwaka Na Weusi
 
Wewe jamaa mwongo hadi unakera

Lord kapiga show zote za weusi funga mwaka

na Leo weusi wote wame promote video ya gnako
 
Bonta amekuwa akitengwa sana ndani ya kundi hilo kwa madai ya kuwa yupo busy sana na kazi yake "udaktari" kitu ambacho si kweli, kutokana na maendeleo ya teknolojia hata kama watu hawawezi kuonana lakini wanaweza kurecord na kutuma sauti kwa njia ya email kama ambavyo Solothang amekuwa akifanya kazi na wasanii wa bongo japo yupo nje ya nchi.

BY: BUKU JERO

Unaposema Bonta anatengwa nakua sikuelewi.
Angalia vizuri ideology ya Bonta kama anaweza kuingiza mistari kwenye nyimbo kama vile Gere, i deeply mean nyimbo za kishombe shombe kama anazozifanya Nikki wa pili na kaka ake Joh makini.

Ni ngumu sana hiyo ishu kutokea, Bonta ana ideology flani ivi za tofauti sana, utagundua vizuri kama unaziskiza nyimbo zake vizuri,
i can't examine precisely his genre....

Ngoma wanazozifanya kina joh ni za tofauti ndomana huwezi kuskia kuna ngoma ambayo Joh atafanya na hip hop lengendary Faridi Kubanda.
 
Last edited by a moderator:
Weusi wanakana wao kuwa kundi ....wanasema wao ni kampuni......sioni wapi walipochora mstari wa kuwafanya wao wawe kampuni tofauti na si kundi .........inabidi wajitafakari sana .....wachore a very clear line ........ wanafanya vizuri lakini kama naona wapi watafeli .........waongeze umakini.......
 
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes pamoja na G Nako mwenyewe. Lord Eyes alisimamishwa kufanya kazi na kundi hilo baada ya kuwa na tuhuma za wizi wa vifaa vya magari.

Bonta amekuwa akitengwa sana ndani ya kundi hilo kwa madai ya kuwa yupo busy sana na kazi yake "udaktari" kitu ambacho si kweli, kutokana na maendeleo ya teknolojia hata kama watu hawawezi kuonana lakini wanaweza kurecord na kutuma sauti kwa njia ya email kama ambavyo Solothang amekuwa akifanya kazi na wasanii wa bongo japo yupo nje ya nchi.

Kiuhalisia kundi hilo linaundwa na Nikki wa Pili, Joh Makini pamoja na G Nako ambapo G Nako alikuwa akitumiwa kama mpiga show za Weusi na malipo yake yalikuwa madogo saaana hivyo baada ya G Nako kujitoa hilo kundi litaundwa na kaka na mdogo wake.

G Nako amekataliwa na Joh Makini kutumia logo ya Weusi popote pale na ndiomaana katika video mpya ya G Nako (morale) hajatumia tshirt zilizoandikwa Weusi.

WEUSI BYE BYE

BY: BUKU JERO


uongo mwingine bwana
unasahau kuwa video imefanywa kabla ya weusi tour

sasa ingewezekana vipi akabaniwa kutumia logo ya weusi alafu asione tatizo akashiriki weusi tour arusha, moshi, mwanza na dar.

weusi ni kampuni yenye wana hisa 5.
 
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes pamoja na G Nako mwenyewe. Lord Eyes alisimamishwa kufanya kazi na kundi hilo baada ya kuwa na tuhuma za wizi wa vifaa vya magari.

Bonta amekuwa akitengwa sana ndani ya kundi hilo kwa madai ya kuwa yupo busy sana na kazi yake "udaktari" kitu ambacho si kweli, kutokana na maendeleo ya teknolojia hata kama watu hawawezi kuonana lakini wanaweza kurecord na kutuma sauti kwa njia ya email kama ambavyo Solothang amekuwa akifanya kazi na wasanii wa bongo japo yupo nje ya nchi.

Kiuhalisia kundi hilo linaundwa na Nikki wa Pili, Joh Makini pamoja na G Nako ambapo G Nako alikuwa akitumiwa kama mpiga show za Weusi na malipo yake yalikuwa madogo saaana hivyo baada ya G Nako kujitoa hilo kundi litaundwa na kaka na mdogo wake.

G Nako amekataliwa na Joh Makini kutumia logo ya Weusi popote pale na ndiomaana katika video mpya ya G Nako (morale) hajatumia tshirt zilizoandikwa Weusi.

WEUSI BYE BYE

BY: BUKU JERO

ww ndio unataka atoke
 
Waliopokuwa makundi mawili tofauti walibamba sana a-town (river camp & n2n).
N2N walikuwa juu tatizo unga ukawaharibu kama siyo kujiunga na weusi wasingesikika mpaka leo
 
Unaposema Bonta anatengwa nakua sikuelewi.
Angalia vizuri ideology ya Bonta kama anaweza kuingiza mistari kwenye nyimbo kama vile Gere, i deeply mean nyimbo za kishombe shombe kama anazozifanya Nikki wa pili na kaka ake Joh makini.

Ni ngumu sana hiyo ishu kutokea, Bonta ana ideology flani ivi za tofauti sana, utagundua vizuri kama unaziskiza nyimbo zake vizuri,
i can't examine precisely his genre....

Ngoma wanazozifanya kina joh ni za tofauti ndomana huwezi kuskia kuna ngoma ambayo Joh atafanya na hip hop lengendary Faridi Kubanda.

acheni kuwalazimisha watu wawe wagumu bila sababu. hivi leo unaweza kufananisha maendeleo ya weusi na fid q? nendeni mkamuulize madee
 
Baada ya kusota akiwa ndani ya kundi la Weusi msanii G Nako ameamua kujiondoa kupitia kupunjwa malipo. Ikumbukwe kuwa kundi hilo lilikuwa linaundwa na Joh Makini, Nikki wa Pili, Bonta, Lord eyes pamoja na G Nako mwenyewe. Lord Eyes alisimamishwa kufanya kazi na kundi hilo baada ya kuwa na tuhuma za wizi wa vifaa vya magari.

Bonta amekuwa akitengwa sana ndani ya kundi hilo kwa madai ya kuwa yupo busy sana na kazi yake "udaktari" kitu ambacho si kweli, kutokana na maendeleo ya teknolojia hata kama watu hawawezi kuonana lakini wanaweza kurecord na kutuma sauti kwa njia ya email kama ambavyo Solothang amekuwa akifanya kazi na wasanii wa bongo japo yupo nje ya nchi.

Kiuhalisia kundi hilo linaundwa na Nikki wa Pili, Joh Makini pamoja na G Nako ambapo G Nako alikuwa akitumiwa kama mpiga show za Weusi na malipo yake yalikuwa madogo saaana hivyo baada ya G Nako kujitoa hilo kundi litaundwa na kaka na mdogo wake.

G Nako amekataliwa na Joh Makini kutumia logo ya Weusi popote pale na ndiomaana katika video mpya ya G Nako (morale) hajatumia tshirt zilizoandikwa Weusi.

WEUSI BYE BYE

BY: BUKU JERO

wachaga ndivyo walivyo self fish mnooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom