Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ile nyimbo iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ya Ay ft Sean Kingston hatimae imetoka ukitaka kuisikiliza icheki hapa kwenye hii link na utoe maoni yako http://m.youtube.com/watch=C387zRQEAH0
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Guys i just wanted to know the direction and prosperity of our own music style(Bongo Flava) in 10 yrs later. 1. Do you see it rocks internationally...? 2. Our so called Bongo Flava artists have...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
AY hajajaliwa domo yeye ni vitendo tu tena International. Ingia mwenyewe kwa Mirlad Ayo dot com uone kipande cha video mpya ya AY ndani ya USA.
2 Reactions
86 Replies
10K Views
Kuna habari zilizokuwa zikienezwa kwenye mitandao kuhusu Diamond Platnumz na show yake ya Iringa, habari zenye lengo la Kuharibu show hio na pia kumtengenezea chuki Heat Maker wa Mdogo mdogo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wapendwa wana jamii forum nilikuwa nataka msaada hata maoni. Mimi ni kijana Nina umri wa miaka 19 Nina kipaji cha kuimba muziki kama rnb and pop kwa hiyo nilikuwa nahitaji msaada na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Recently, my Friend Daniel Kazimoto visited Kenya...! They had a short vacation (only 2 weeks) visiting one of our former partner in Nairobi. They were so amazed by the fact that Tanzania music...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi wa muziki wa Injili watakuwa wanaifahamu vizuri sana Kwaya ya Lulu ya KKKT Mtoni kule Temeke, hii ni moja ya Kwaya zilizodumu katika huduma hii kwa muda mrefu sana bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SAIGON wa EATV, please bring back the 'HIP HOP BASE' ya EATv. Ebu achana na hayo mambo ya Dance Mia Mia, turudishie kipindi chetu pendwa cha Hip-Hop Base. Mkali Fid-Q na wewe umepotelea wapi na...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Naomba mwenye lyrics za wimbo huo anipe tafadhali
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Taifa la wanamasilahi, anga la burudani lilipambwa na kelele za umri wa Miss Tanzania. Yule binti aitwaye Sitti Mtemvu, eti ni mkubwa sana, ni mdanganyifu, alighushi nyaraka muhimu zinazohalalisha...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Fungua hii video uone profile yake http://m.youtube.com/watch?v=HDPVXi1W9ME
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF naomba mnifahamishe au mchangie hoja hii: Kwa nini miss Tanzania huwa akishinda ni lazima awe ametokea Dar es salaam nikimaanisha Ama Miss kinondoni, Miss temeke au Miss Ilala. Hivi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni kulialia, kufokeana, kuonyesha magari, tena kama wapo njiani utasubiri mpaka wafike. Na kama ni mgonjwa wataonyesha mpk anavyotapika. ... siziwezi aisee !
2 Reactions
144 Replies
19K Views
kwa Afrika mashariki wasanii wenye ngoma kali ambazo zimehit kwa mwaka huu na miaka iliyopita kwa Tanzania,Kenya,Uganda na Rwanda. kwa Tanzania. Diamond Platnumz Joseph Haule Rich Mavoko AY...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wadau na wapenzi wa movie tuambiane na kusimuliana Movie tulizoziona, zitakazotoka miaka husika hapo juu. Mimi naanza 1. 3 Days to kill(2014) hii movie usiache kuiona ni kali balaa 2. 47 Ronin...
4 Reactions
167 Replies
35K Views
Where is he buried? Is the mighty Umslopogaas, the axe-wielding hero of Sir Henry Rider Haggard's Allan Quatermain and Nada the Lily, buried under the playing fields of Clarendon Primary...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
TUZO ZA WATU KUTOLEWA LEO, JIMMY KABWE KUHOST, BEN POL KUZINDUA VIDEO YAKE MPYA Tuzo za watu za Tanzania au Tanzania People's Choice Awards zitatolewa leo kwenye ukumbi uliopo Serena Hotel jijini...
0 Reactions
42 Replies
11K Views
Wakuu nani unamkubali?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Je katika fani mbalimbali za muziki,uigizaji,mpira n.k ni collabo ipi unaikubali 1. Shaurkhan na Kajol 2. Aki na Ukwa 3. Paul na peter(p spuare) 4. Akshay na Sunil shetty 5. Andy cole na...
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini.
1 Reactions
32 Replies
52K Views
Back
Top Bottom