Ile nyimbo iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ya Ay ft Sean Kingston hatimae imetoka ukitaka kuisikiliza icheki hapa kwenye hii link na utoe maoni yako
http://m.youtube.com/watch=C387zRQEAH0
Guys i just wanted to know the direction and prosperity of our own music style(Bongo Flava) in 10 yrs later.
1. Do you see it rocks internationally...?
2. Our so called Bongo Flava artists have...
Kuna habari zilizokuwa zikienezwa kwenye mitandao kuhusu Diamond Platnumz na show yake ya Iringa, habari zenye lengo la Kuharibu show hio na pia kumtengenezea chuki Heat Maker wa Mdogo mdogo...
Habari wapendwa wana jamii forum nilikuwa nataka msaada hata maoni. Mimi ni kijana Nina umri wa miaka 19 Nina kipaji cha kuimba muziki kama rnb and pop kwa hiyo nilikuwa nahitaji msaada na...
Recently, my Friend Daniel Kazimoto visited Kenya...! They had a short vacation (only 2 weeks) visiting one of our former partner in Nairobi.
They were so amazed by the fact that Tanzania music...
Kwa wale wapenzi wa muziki wa Injili watakuwa wanaifahamu vizuri sana Kwaya ya Lulu ya KKKT Mtoni kule Temeke, hii ni moja ya Kwaya zilizodumu katika huduma hii kwa muda mrefu sana bila...
SAIGON wa EATV, please bring back the 'HIP HOP BASE' ya EATv. Ebu achana na hayo mambo ya Dance Mia Mia, turudishie kipindi chetu pendwa cha Hip-Hop Base.
Mkali Fid-Q na wewe umepotelea wapi na...
Taifa la wanamasilahi, anga la burudani lilipambwa na kelele za umri wa Miss Tanzania. Yule binti aitwaye Sitti Mtemvu, eti ni mkubwa sana, ni mdanganyifu, alighushi nyaraka muhimu zinazohalalisha...
Wana JF naomba mnifahamishe au mchangie hoja hii: Kwa nini miss Tanzania huwa akishinda ni lazima awe ametokea Dar es salaam nikimaanisha Ama Miss kinondoni, Miss temeke au Miss Ilala.
Hivi...
Ni kulialia, kufokeana, kuonyesha magari, tena kama wapo njiani utasubiri mpaka wafike.
Na kama ni mgonjwa wataonyesha mpk anavyotapika.
... siziwezi aisee !
kwa Afrika mashariki wasanii wenye ngoma kali ambazo zimehit kwa mwaka huu na miaka iliyopita kwa Tanzania,Kenya,Uganda na Rwanda.
kwa Tanzania.
Diamond Platnumz
Joseph Haule
Rich Mavoko
AY...
Wadau na wapenzi wa movie tuambiane na kusimuliana Movie tulizoziona, zitakazotoka miaka husika hapo juu.
Mimi naanza
1. 3 Days to kill(2014)
hii movie usiache kuiona ni kali balaa
2. 47 Ronin...
Where is he buried?
Is the mighty Umslopogaas, the axe-wielding hero of Sir Henry Rider Haggard's Allan Quatermain and Nada the Lily, buried under the playing fields of Clarendon Primary...
TUZO ZA WATU KUTOLEWA LEO, JIMMY KABWE KUHOST, BEN POL KUZINDUA VIDEO YAKE MPYA
Tuzo za watu za Tanzania au Tanzania People's Choice Awards zitatolewa leo kwenye ukumbi uliopo Serena Hotel jijini...
Je katika fani mbalimbali za muziki,uigizaji,mpira n.k ni collabo ipi unaikubali
1. Shaurkhan na Kajol
2. Aki na Ukwa
3. Paul na peter(p spuare)
4. Akshay na Sunil shetty
5. Andy cole na...
Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.