Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Binafsi sio mpenzi sana wa nyimbo za Ommy Dimpoz lakini mtu anapojitahidi kufanya kitu kizuru ni muhimu kumsifia Hii video imefanyika kwa Madiba production ya Godfather kama kawaida I like the...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
wadau msaada wapi ntapata ile filamu ya'girlfriend Yakina GK;TD nk msaada jaman
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Kuna series(filamu) zilizodumu kwa muda mrefu sana mfano Isidingo,kwa anaefahamu ni series (filamu) ipi iliyotia fora kwa kurekekodiwa kwa muda mrefu? nani mtengenezaji wa script hiyo? sababu zipi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
JANA tarehe 13.3.2015 kulikuwa na wadau kukutana na kujadili kanuni za COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS COMMUNICATION TO THE PUBLIC REGULATION 2015. Katika kanuni hii kunatayarishwa njia rasmi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yani hawa OK sikuhizi hawana jipya.... unaweza ukaangalia vipind 10 mfululizo ukabaki umekunja sura. Hawachekeshi. Mi naona wachekeshaji watakao kimbiza mpaka mwisho ni Mizengwe. RIP Orijino Komedi.
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Ninaangalia kipindi hapa kwenye Clouds TV cha Masudi Kipanya kinaitwa ''INAWEZEKANA''. Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana huyu. Nilikuwa sijakielewa niliona ni kama Maisha Plus uuzaji sura ila...
5 Reactions
19 Replies
8K Views
Natanguliza shukurani, mwenye wimbo huu wa mlimani pack, sijui unaitwaje ila kuna mashairi yanaimba MUME HUYU C RIZIKI TENDE HALUAHALUA!! Nimejaribu kuutafuta cjaupata. nitashukuru wakuu.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
huku napo kaa times inaishika fresh sana lkin vipnd vyot cijacikia nyimbo ya Fid kupigwa hasa ktka bst show ya THE JUMP OFF
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natazama Cloud TV hapa naona Kalapina ana host kipindi kinaitwa " HARAKATI NA KALAPINA " a.k.a TANZANIA BILA DAWA ZA KULEVYA INAWEZEKANA. Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natumia neno kucause mass destruction, no physical attraction but my mind is beauty, am literary speaking so its a code now decipher, I decapitate weak MCs u'd say am Lucifer......
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Sijui anaitwa nani...sijui ni mtu wa wapi...na sijui kama kweli alikuwa anaucheza wimbo wa Ali Kiba. Ila nachojua ni kwamba hiyo shepu na hiyo miondoko inanipa midadi isiyoelezeka. Natamani...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Ebu shusha majina ya watangazaji wa show za burudani ambao wanafanya vizuri sana
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Haya matangazo yanayokwenda hewani kila sekunde, dakika na saa Clouds TV ya kuhusiana na matamasha yako ya uzinduzi kama siyo utambulisho wako wa single yako ya "Cheketu Cheketua". Huko Mikoani...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Haiyaaa haiyaaaa.......... Wale wadau wa hili game........ni msimu mwingine tena umewadia wa kuburudisha mioyo yetu........ Ni leo tar 5 Oct........saa mbili usiku kwa saa za kwetu bongo......(SA...
11 Reactions
1K Replies
183K Views
lets agree to disagree:juggle: Gadner G.Habash amerudi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baadhi ya nyimbo za Diamond (na wengine including Ali Kiba) zilizo YouTube zimepigwa pin kwa maana kwa baadhi ya applications mtu hawezi kuzidownload. Nimshauri tu Diamond na wengine kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Guyz mwenye wimbo mpya wa rama dee "usihofie wachaga" naomba anitumie..nicheki pm..thx in advance
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu kuna wimbo mpya wa Nikki Mbishi kautambulisha Jumamosi kwny kipindi cha Planet bongo nautafuta.Naomba mwny link anitumie.Asante
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa wa jamvini nahitaji mwenye movie za action , zombie vampire...anayepatikana dar es salaam nimtafute mda ambao hana kazi yaani atakuwa free anipatie movie . Namba yangu ya simu ni hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili goma ni kali sana, hawa kwa wanaojijua wao ni kina nani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom