Binafsi sio mpenzi sana wa nyimbo za Ommy Dimpoz lakini mtu anapojitahidi kufanya kitu kizuru ni muhimu kumsifia
Hii video imefanyika kwa Madiba production ya Godfather kama kawaida
I like the...
Kuna series(filamu) zilizodumu kwa muda mrefu sana mfano Isidingo,kwa anaefahamu ni series (filamu) ipi iliyotia fora kwa kurekekodiwa kwa muda mrefu? nani mtengenezaji wa script hiyo? sababu zipi...
JANA tarehe 13.3.2015 kulikuwa na wadau kukutana na kujadili kanuni za COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS COMMUNICATION TO THE PUBLIC REGULATION 2015. Katika kanuni hii kunatayarishwa njia rasmi za...
Yani hawa OK sikuhizi hawana jipya.... unaweza ukaangalia vipind 10 mfululizo ukabaki umekunja sura. Hawachekeshi. Mi naona wachekeshaji watakao kimbiza mpaka mwisho ni Mizengwe. RIP Orijino Komedi.
Ninaangalia kipindi hapa kwenye Clouds TV cha Masudi Kipanya kinaitwa ''INAWEZEKANA''. Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana huyu. Nilikuwa sijakielewa niliona ni kama Maisha Plus uuzaji sura ila...
Natanguliza shukurani, mwenye wimbo huu wa mlimani pack, sijui unaitwaje ila kuna mashairi yanaimba MUME HUYU C RIZIKI TENDE HALUAHALUA!! Nimejaribu kuutafuta cjaupata. nitashukuru wakuu.
Natazama Cloud TV hapa naona Kalapina ana host kipindi kinaitwa " HARAKATI NA KALAPINA " a.k.a TANZANIA BILA DAWA ZA KULEVYA INAWEZEKANA.
Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005...
natumia neno kucause mass destruction,
no physical attraction but my mind is beauty,
am literary speaking so its a code now decipher,
I decapitate weak MCs u'd say am Lucifer......
Sijui anaitwa nani...sijui ni mtu wa wapi...na sijui kama kweli alikuwa anaucheza wimbo wa Ali Kiba.
Ila nachojua ni kwamba hiyo shepu na hiyo miondoko inanipa midadi isiyoelezeka.
Natamani...
Haya matangazo yanayokwenda hewani kila sekunde, dakika na saa Clouds TV ya kuhusiana na matamasha yako ya uzinduzi kama siyo utambulisho wako wa single yako ya "Cheketu Cheketua".
Huko Mikoani...
Haiyaaa haiyaaaa..........
Wale wadau wa hili game........ni msimu mwingine tena umewadia wa kuburudisha mioyo yetu........
Ni leo tar 5 Oct........saa mbili usiku kwa saa za kwetu bongo......(SA...
Baadhi ya nyimbo za Diamond (na wengine including Ali Kiba) zilizo YouTube zimepigwa pin kwa maana kwa baadhi ya applications mtu hawezi kuzidownload.
Nimshauri tu Diamond na wengine kuwa...
Wapendwa wa jamvini nahitaji mwenye movie za action , zombie vampire...anayepatikana dar es salaam nimtafute mda ambao hana kazi yaani atakuwa free anipatie movie .
Namba yangu ya simu ni hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.