Salaam wadau...!.
Kama mada inavyosema wadau naomba mnisaidie jina la huu wimbo please.............ni soundtrack toka kwenye Final Destination IV.
Nimejaribu ku-convert to mp3 ili muweze...
Mida hii imetokea nasikiliza kipindi cha Hizi Nazo ya Redio One Stereo.
Huyu mchambuzi Rajabu Zomboko ana data za kutosha kuhusu muziki, hasa zamani.
Nasikiliza anamuelezea jabali la muziki...
Nilikua sijui kama waturuki waku vizuri kiasi hiki kwenye mambo ya Tamthilia.
Kwangu mimi hii ni tamthilia bora kabisa, hongera TV 1 tz kwa burudani hii!
Habari Tycoons na Mogul wa Muziki,
Nime-attach wimbo hapa kwa yeyote anayeujua anitajie jina lake,nautafuta sana hii audio clip niliu-record redioni ulipopigwa.
Thanks in Advance,The Cat.
Habari ya muda huu wanajamvi. . .
Kuna kitu kimoja kikibwa ambacho kuna haja ya kukitafutia muafaka, , ,si kingine, ila ni kipi kinacho mu'influance Mtu kuangalia filam kati ya story au...
Manny Pacquiao aamua kukamata attention ya wapenzi wa masumbwi ulimwenguni kote.
Atoa Nyimbo / video akiimba kwa hisia kali...yenye vionjo vya kutia moyo wafilipino waishio katika maisha magumu...
napenda sana kuangalia maseries ..kuna madude kama HUMAN TARGET(episode ya kwanza na linaendelea) THE EVENT( hili lipo episode ya kwanza season ya kumi na linaendelea-hili dude ni aibu kama...
Leo kaachia nyimbo ake mpya nimebahatika kuisikiliza mara moja ila sijamaliza nimeipenda ghafla kwa sababu kijanaa anajua kaimba vizuri nyimbo inaitwa nitazoea nimeipend kuliko ile ya kwanza basi...
Hashime kwenu!
Nautafuta wimbo uitwao "I Need Answer", nimemsahau mwimbaji.
Ni 'ngoma' za 80's, Ulikuwa unaenda sambamba na "Change On Me" wa Cynthia.
Natanguliza shukrani.
For those few of us who likes the boondocks animation.
The theme song is made by Asheru. i like it and ofcoz its my ringtone.
i got the uchambuzi of the track;
The song embodies the spirit of the...
Hivi yupo wapi mtu huyu. Amepotea sana!
Ukisikiliza rap zake akiwa na Chuchu Saundo unaweza kumtafuta usiku na mchana!
Ana kipaji huyu kijana ila hajapata platform tu!
Kuna movies flani huwa zina budgets za kawaida, waigizaji wa kawaida, promo ya kawaida, karibu kila kitu kawaida ila hujawahi kujutia kuziona wala hutajali kuziona tena na tena. Zangu ni hizi...
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana
cha msingi wasanii wazingatie maadili
na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.