Car music System

Car music System

Lastname

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
921
Reaction score
297
Jamani nauliza ni wapi hapa Dar naweza fungiwa Music system nzuri kabisa kwa bei nafuu? Nitashukuru sana kwa maelekezo.

George.
 
Kaka iache gari na mzikiwake origin othewise tegemea kuunguliwa na ka mkoko kako ka mkopo upate hasara bure,kwani hapo hisikii?
 
Jamani nauliza ni wapi hapa Dar naweza fungiwa Music system nzuri kabisa kwa bei nafuu? Nitashukuru sana kwa maelekezo.

George.

Mkuu nenda pale fire, au Kwa maelezo sahihi ukiwa unaingia mtaa wa Msimbazi kama unaenda club ya Simba Kama unatokea Fire.mtaa wa kwanza mkono wako wa kulia, ingia huo. Tembea mpaka pale msikitini ( unaitwa Shadhir ule msikiti) ukifika pale muulizie mtu anaitwa Musa. Huyu jamaa wacha tu kwamba anajua kufunga mziki wa kwenye magari, pia anauza na vifaa vya mziki hapo hapo nyumbani kwake.Naamini tatizo lako hapo litakuwa historia.
 
Mkuu nenda pale fire, au Kwa maelezo sahihi ukiwa unaingia mtaa wa Msimbazi kama unaenda club ya Simba Kama unatokea Fire.mtaa wa kwanza mkono wako wa kulia, ingia huo. Tembea mpaka pale msikitini ( unaitwa Shadhir ule msikiti) ukifika pale muulizie mtu anaitwa Musa. Huyu jamaa wacha tu kwamba anajua kufunga mziki wa kwenye magari, pia anauza na vifaa vya mziki hapo hapo nyumbani kwake.Naamini tatizo lako hapo litakuwa historia.

Inawezekana wewe ndio Mussa mwenyewe
 
Inawezekana wewe ndio Mussa mwenyewe

Wala sipo Tanzania mkuu. Hii maana yake mimi si Musa, ila namfahamu Musa vizuri sana huwa anakuja kununua vifaa vya mziki nchi nilipo na keshanifungia mziki kwenye usafiri wangu zaidi ya mara moja kwa hapa nilipo na Tz pia.
 
Mkuu nenda pale fire, au Kwa maelezo sahihi ukiwa unaingia mtaa wa Msimbazi kama unaenda club ya Simba Kama unatokea Fire.mtaa wa kwanza mkono wako wa kulia, ingia huo. Tembea mpaka pale msikitini ( unaitwa Shadhir ule msikiti) ukifika pale muulizie mtu anaitwa Musa. Huyu jamaa wacha tu kwamba anajua kufunga mziki wa kwenye magari, pia anauza na vifaa vya mziki hapo hapo nyumbani kwake.Naamini tatizo lako hapo litakuwa historia.

Kaka nashukuru sana, niytamtafuta Musa anifungie Music system
 
Kaka iache gari na mzikiwake origin othewise tegemea kuunguliwa na ka mkoko kako ka mkopo upate hasara bure,kwani hapo hisikii?

Hio nalo neno ila Music lazima ufungwe ili mkopo wangu niufaidi hata kwa siku chache kabla haijaungua
 
Back
Top Bottom