Kiasi cha wiki mbili tu zilizopita endapo pangetoea wa kuniuliza nawafahamu waigizaji wangapi wa Kihindi, jibu lingekuwa mmoja tu, Amitabh Bachchan! Na kama angeendelea kunitaka nitaje japo filamu...
Hii kitu niliishudia ya kwanza nikiwa Chalii na niliikubali kinoma, sijui iliishia wapi. Na washkaji walioshiriki, kina Rage, Big Mike, Adamiz, Snazz tha Dictator na mchizi wa Ghana yule alikuwa...
WIMBO MPYA: YAMOTO BAND – NITAKUPWELEPWETA
Pamoja na kuwa na midundo na sauti mwanana lakini naona huu wimbo una maudhui mengi ambayo sidhani kama yamepitia uhariri wa mamlaka husika...
Kuna wasanii wengi tu bongo ambao ni wakali sana na jamii inajua kwamba ni wakali but hawajabahatika kupata tuzo hata moja nchini (esp Kili Awards) japokuwa wanahits nyingi/walikuwa na hits nyingi...
Ziggy Dee - Enomaki
Dudubaya - Nakupenda mpenzi
K-sal - Mkiwa
Mez B feat Ray C - Kama vipi
H-Baba - Mpenzi Bubu
Bob Haisa - Nipeleke kwa mama (Nipe mgongo)
Matonya - Violet
Alikiba - Nakshi nakshi...
1. FEZA KESSY.
Huyu alkuwa mwakilishi BBA. Alpochaguliwa tu akakamata fursa kwa kuingia studio na kutoa ngoma, akiamini kuwa BBA ndo kujua mziki. Honestly huyu dada hajui kitu ndo mana tangu atoe...
Tafadhali ingia www.miniclip.com. Hapa utakutana na games nyingi, lakini nzuri zaidi ni ile ya 8ball pool,. hapa utaweza kucheza live na mwenzio kutoka pande yoyote ya dunia mkiwa online. Its 24hr...
Last week end watsup nimepokea hii kitu #NewSong Jokate Ft Ice Prince "Leo Leo" nikaickiliza for sure cyo ngoma mbaya ila cyo typ ya mziki niupendao but the thing is huyu Jokate alikua Miss mara...
John Legend ni gwiji wa mziki toka USA ambaye ni mtunzi na mwimbaji mahiri wa nyimbo za blues.Ni moja kati ya wanamuziki wanaoweza kukufanya utabasamu kwa tungo zake mwanana zenye ujumbe na...
Niaje wadau hope mpo poa kitu cha week end ndo hichi hapa just chillin getto na kusikiliza ngoma kali kinomanoma for sure mim ni kati ya majamaa ninaoamini "without music life will be a mistake"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.