Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hili goma ni kali sana, hawa kwa wanaojijua wao ni kina nani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasanii wetu wapo kutokana na kubebwa na media, sasa nimesikia kuwa vituo vya redio na television vinavyotaka kucheza kazi za wasanii nchini vitalazimika kuwalipa wasanii kwa kucheza kazi zao hizo...
0 Reactions
3 Replies
950 Views
Habari zenu wote Kwa ufahamu wangu naelewa "music director"(sina kiswahili chake) anadeal na muziki lakini bado nataka kujua zaidi ; Ni nani? Majukumu yake ni yapi? Kuna umuhimu wa kuwa na...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni leo ucku & every Wed nite, never mis the sweet looks with our lovely african beauties @ the Continental! Khanga moko tepetepe, utajibeba mwenyewe mie simo! http://youtu.be/klMUOPAZyrI
0 Reactions
147 Replies
41K Views
Idara ya sanaa- CHADEMA Taifa inakuletea siku ya mziki na siasa, tamasha hilo litafanyika tar 11/3/2015 j/tano club bilcanas posta. Wasanii watakao pamba tamasha hilo ni; Afande sele, Pro j...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Japo mwaka ndo uko mwanzo ila hii ngoma wana wamefanya kweli,kiasi fulani nauona mziki wetu ukielekea kule nako kufikiria siku zote, sio Nigeria sijui Afrika magharibi ninini huko. Ila wakongwe...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Akiwa amejisifu kuwa alipumzika nje takribani miaka mitatu huku akiwa tayari ashafika level za international ikiwemo kile anakisifia sana kufanya Kolabo na R. Kelly (One8), bado amerudi...
6 Reactions
56 Replies
6K Views
Tarehe Januari 12, 1979 ndipo siku kiongozi wa Super Volcano, mpiga gitaa na muimbaji maarufu alipopata ajali ya gari katika jiji la Mombasa, ambapo alipoteza maisha yake. Hivyo ni zaidi kidogo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Waungwana leo wakati nikienda Masjid hapa mjini GOMA, hamadi nikakutana na duka moja wanauza maT-shirt na nguo nyinginezao, miongoni mwa T-shirts hizo ambazo kwa mujibu wa muuzaji zinapupiwa sana...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
huyu fid q nahis hakuna kuna mtu wa kumpiku katika hii field ya hiphop niliisikiliza hii nyimbo ya siri ya mchezo ila leo nimeisikiliza tena na leo nimeielewa tofauti katika mjengo wake wa taswira...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna wimbo mwimbaji anaeleza alivyochukuliwa kijijini na mwanamke na kuletwa mjini.Wakiwa mjini, mwanamke anarudi usiku na jamaa akiuliza mwanamke anakuwa jeuri sana. Jamaa analalamika sana na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Fid q, bonge moja ya emcee, probably the best we've ever had bongo. Ila jamaa video zake duuh! Sijui labda jamaa anajaribu kuwa 'cool and all' kupita maelezo ama ni nini, but one thing for sure...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maisha ya mwanadamu yanaambatan na misukosuko ya hapa na pale na chagamoto za aina mbalimbali. chagamoto ambazo hutufanya tujisikie wanyonge, wapweke, kukata tamaa, hata pangine kuhisi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kichwa cha uzi kinajitosheleza, natanguliza shukrani zangu. Mnijuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dah Sio mbaya nikiwashtua kwamba kuna jiwe jipya kutoka kwa watu wanaojiita district_9, Hii ni ngoma yao ya kwanza mimi kuisikia, imerekodiwa ktk studio za BHitz chini ya usimamizi wa Pancho...
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Najua wapo wapenzi wa taarabu humu ndani na mtanisaidia kuutambua huu wimbo nauambatanisha hapo chini Nautafuta sana nilibahatisha kuusikia kwenye redio ikabidi niurekodi fasta hizo sekunde za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nawez Sana Kuimba Ila Cjapata Mzamin Na Sina Sapot Yoyte.Nisha Jarbu Kutafta Msada Ila Hakuna Nlichoambulia Zaid Ya Kukatishwa Tamaa...Naweza Sana Kurap Pia Ata Rnb,tatzo Ni Uchum Wang Yan Bdo Uko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/03/Naziz.gif Tumezoea kuona wasanii mbalimbali wa Tanzania wakipata ‘endorsement deals’ za makampuni na picha zao kutumika kwenye mabango makubwa ya...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
The Boss njoo huku...
1 Reactions
21 Replies
15K Views
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Back
Top Bottom