Wasanii wetu wapo kutokana na kubebwa na media, sasa nimesikia kuwa vituo vya redio na television vinavyotaka kucheza kazi za wasanii nchini vitalazimika kuwalipa wasanii kwa kucheza kazi zao hizo...
Habari zenu wote
Kwa ufahamu wangu naelewa "music director"(sina kiswahili chake) anadeal na muziki lakini bado nataka kujua zaidi ;
Ni nani?
Majukumu yake ni yapi?
Kuna umuhimu wa kuwa na...
Ni leo ucku & every Wed nite, never mis the sweet looks with our lovely african beauties @ the Continental! Khanga moko tepetepe, utajibeba mwenyewe mie simo!
http://youtu.be/klMUOPAZyrI
Idara ya sanaa- CHADEMA Taifa inakuletea siku ya mziki na siasa, tamasha hilo litafanyika tar 11/3/2015 j/tano
club bilcanas posta.
Wasanii watakao pamba tamasha hilo ni;
Afande sele,
Pro j...
Japo mwaka ndo uko mwanzo ila hii ngoma wana wamefanya kweli,kiasi fulani nauona mziki wetu ukielekea kule nako kufikiria siku zote, sio Nigeria sijui Afrika magharibi ninini huko.
Ila wakongwe...
Akiwa amejisifu kuwa alipumzika nje takribani miaka mitatu huku akiwa tayari ashafika level za international ikiwemo kile anakisifia sana kufanya Kolabo na R. Kelly (One8), bado amerudi...
Tarehe Januari 12, 1979 ndipo siku kiongozi wa Super Volcano, mpiga gitaa na muimbaji maarufu alipopata ajali ya gari katika jiji la Mombasa, ambapo alipoteza maisha yake. Hivyo ni zaidi kidogo...
Waungwana leo wakati nikienda Masjid hapa mjini GOMA, hamadi nikakutana na duka moja wanauza maT-shirt na nguo nyinginezao, miongoni mwa T-shirts hizo ambazo kwa mujibu wa muuzaji zinapupiwa sana...
huyu fid q nahis hakuna kuna mtu wa kumpiku katika hii field ya hiphop niliisikiliza hii nyimbo ya siri ya mchezo ila leo nimeisikiliza tena na leo nimeielewa tofauti katika mjengo wake wa taswira...
Kuna wimbo mwimbaji anaeleza alivyochukuliwa kijijini na mwanamke na kuletwa mjini.Wakiwa mjini, mwanamke anarudi usiku na jamaa akiuliza mwanamke anakuwa jeuri sana. Jamaa analalamika sana na...
Fid q, bonge moja ya emcee, probably the best we've ever had bongo. Ila jamaa video zake duuh! Sijui labda jamaa anajaribu kuwa 'cool and all' kupita maelezo ama ni nini, but one thing for sure...
Maisha ya mwanadamu yanaambatan na misukosuko ya hapa na pale na chagamoto za aina mbalimbali.
chagamoto ambazo hutufanya tujisikie wanyonge, wapweke, kukata tamaa, hata pangine kuhisi...
Dah Sio mbaya nikiwashtua kwamba kuna jiwe jipya kutoka kwa watu wanaojiita district_9, Hii ni ngoma yao ya kwanza mimi kuisikia, imerekodiwa ktk studio za BHitz chini ya usimamizi wa Pancho...
Najua wapo wapenzi wa taarabu humu ndani na mtanisaidia kuutambua huu wimbo nauambatanisha hapo chini
Nautafuta sana nilibahatisha kuusikia kwenye redio ikabidi niurekodi fasta hizo sekunde za...
Nawez Sana Kuimba Ila Cjapata Mzamin Na Sina Sapot Yoyte.Nisha Jarbu Kutafta Msada Ila Hakuna Nlichoambulia Zaid Ya Kukatishwa Tamaa...Naweza Sana Kurap Pia Ata Rnb,tatzo Ni Uchum Wang Yan Bdo Uko...
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/03/Naziz.gif
Tumezoea kuona wasanii mbalimbali wa Tanzania wakipata endorsement deals za makampuni na picha zao kutumika kwenye mabango makubwa ya...
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.