Mshindi wa Super Diva Serengeti fiesta 2014 pia anatamba na single ya ""Na Yule "" .
Kipindi cha mwanzo nilihisi kama Clouds Media Group wanambeba hivi ila baada ya kumuona kwenye party...
Nimepata idea ya kuandika mistari na baadae kama ikiwezekana turekodi ngoma yetu inayozungumzia JamiiForums. Hapa nataka bars kadhaa kutoka kwa members tutengeneze kitu cha maana.
Hivi hawa kina Mzee Yusufu, khadija Kopa n.k hawaoni Kama video zao hazina quality hata kidogo, hlf Ukiangalia tuna directors wakali sana, AJ, Nisher, Khalfani, Hansscana, Pablo n.k , mashabiki...
Lile kundi la mziki lilovuma miaka ya 90 na mwamzoni mwa miaka ya 2000 ECT lipo mbioni kurudi upya. Kundi hilo lililoundwa na wasanii kama King Crazy GK,AY, Mwana FA na wengineo lipo katika hatua...
Binafsi sipendezwi kabisa na huu upuuzi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram na facebook
Ni nani aniyezifadhiri hizi timu?
mnafanya kazi kwa manufaa ya nani?
Hivi...
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi...
Tafadhalia naomba ambaye anaweza kunisaidia kupata hii tamthilia kwa lugha ya kkingereza , coz nimedownload baadhi ya episode but nikakuta ziko kwa llugha ya kifilipino. PLZ.
Wasanii wetu wa bongo movie wamekua na majina makubwa huku wengi wao wakiwa na hali mbaya kiuchumi.Wengi wamekua wakiitupia lawama kampuni ya muhindi ya Steps kuwa ndio inayowanyonya...
Habar waba jamii natumaini mko good. Nilikuwa naitaji msaada kwa mtu yeyote anayejua jinsi ya kudownloard series za waphilipino hasa the promise na nyinginezo anisaidie hasa kama kuna website au...
Japo sio official release, lakini nimesikia hii nyimbo na naweza sema mashairi ya humu ni MOTO.
Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchoka,
Mara chumba cha fulani, mtu gani we kwako usiokaa...
Umofia Kwenu wana JF,
Kumezuka tendency ya wasanii wa bongo kumshirikisha uhuru kwa sana,wasanii ambao wamemshirikisha uhuru ni madee,linah,mafikizolo etc,nikisikiliza hizo nyimbo hakuna sehemu...
Nyie kikundi cha Futuhi cha startv, kwa nini mnafikiri kwamba kushikana mashati, kuzabana vibao na kukimbizana ili kumkata mwingine mtama ni kichekesho?
Mnaniudhi sana kwa jinsi mnavyokwaruzana...
1. Afande Sele
2. Mr 2
3. Prof J
4. 20%
5. J MO
6. J. Nature
7. Jide
...........
Afande Sele ndio msanii mwenye nyimbo zenye ujumbe zaidi unaoweza kusikilizwa na rika zote, na ujumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.