Alwayz on top
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 706
- 268
Huu mji unapiga hatua kwa kasi ya ajabu. Hapo kwenye sare ndo kaniacha hoi kabisaaaa.
Na siye wanaume tunapaswa kuvaa sare ipi? Au wanaume big NO mlangoni?
Haaaaaa wanawake Sare ya madera.. wanaume labda watavaa vikoi lok
Unamaanisha Msuli rafiki?