Mduara na Baikoko vinaharibu Taarabu

Mduara na Baikoko vinaharibu Taarabu

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana
cha msingi wasanii wazingatie maadili
na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
 
Mduara taarabu na baikoko ni aina ya mziki tofauti na ina maadili na sifa tofauti, tatizo wanachanganya vyotevyote
 


Hope ile sheria bado haijasainiwa


na huu pia sio uchezaji wa Baikoko.
Baikoko mwenzie meza, watu hucheza kwa kuzungushanyonga zao huku wakiwa wameshikilia meza hivyo meza moja hushikwa na watu wengi laa si mmoja.

haya ya kucheza kama huyu ni kwamba kaongezemo manjonjo, na hii ni staili mpya kabisaa nafkiri ni ya kangamoko
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom