wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana.
...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
Bila kuweka mbwembwe ambazo mara nyingi huharibu muziki badala ya kuboresha,ningependa watu kama Twanga pepeta na albamu zao kama Kisa cha mpemba,Ukubwa jiwe nk zirekodiwe upya maana ni nyimbo...
​for me these are the best of the best;they are not classics per-se its a mixture of CLASSICS,JAZZ,BLUES AND ROCK AND ROLL .kwa wale wadau endelea kutupia nyingine
what a wonderful...
Kwa wale wapenzi wa Fast & Furious ambao hawakuwa na uhakika kama itaendelea. Jana Vin Diesel ame-confirm fast8 itakuwa in theaters April 14, 2017. Tukae mkao wa kula japo naona mbali kinoma.
Fast & Furious 7 becomes quickest film ever to reach $1bn globally
Fast and Furious 7 led the US box office over the weekend for the third consecutive week, scoring another $29.1m (£19.5m) to...
Habari gani wadau wa Jukwaa hili!
Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo;
A. PEPE KALLE
1...
Kwa wale wapenzi wa series hebu niambieni mnaona nini kinaweza kua ni common kwa waigizaji hawa
1.Lagnar Lothbrok(vikings)
2.Demon(vampire dairy)
3.T-bag(prison break)
⁴.Flok(vikings)
wakuu tumezoea kuangalia mashindano ya BIBI BOMBA, sasa kama ingekuepo BABU BOMBA unadhani ingefana zaidi ya bibi bomba. na katika babu bomba,wewe ungempendekeza nani?
Bruce Lee was a phenomenon. When he emerged into stardom in the early 1970′s, the world was blown away. A martial artist at the top of his form, a captivating presence on film and in...
Ukiangalia wasanii waigizaji wa sinema wa nje uwa wanaongea taratibu na wanaeleweka vizuri tu yaani movie hazina makelele na huwezi kuona wakipayuka hovyo hovyo.
Hii ni tofauti na wasanii wetu...
Wana jamvi, kama kuna mtu mwenye wimbo wa ndugu Che Mundugwao (marehemu kwa sasa, RIP) aniwekee/atuwekee hapa angalau tuburudike na kumuenzi Mwenzetu huyu. nimetafuta kwenye source zote nimekosa...
Habari zenu wana-JF,
naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye audio ya wimbo wa kimakonde 'kila munu ave na kwao' anielekeze jinsi ya kuupata au aniwekee hapa niweze kuu download.
Natangulza shukran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.