Nimebishana na jamaa yangu jana mpaka tukafikia kugombana anang'ang'ania huu mchezo ni wa kweli 100%, amenifanya usiku huu nikeshe nikifuatilia huu mchezo kwenye net na moja kati ya evidence...
wadau Jumatano ndo mwisho wa SO1 ya empire binafsi nimeipenda sana hii kitu and offcourse ina Break The internet kwa sasa Tv seried flan yenye real life no imagination nyingi #Cookie na #Jamal...
Habari za week end wakuu?
Tafadhali Naomba kwa yeyote anaeweza kunitumia audio music compilation ya nyimbo za tenzi za rohoni,au link ambayo naweza download compilation ya nyimbo za tenzi za...
Habari hii inasikitisha
TEMBA PHOTO NA VIJIMAMBO INAMASIKITIKO MAKUBWA KUWAAMBIA ILE SHOW YA YAMOTO MEMORIAL WEEKEND HAITAKUWEPO
Temba Photo na Vijimambo Media & Entertainment...
Udumu ujamaa..
Hip Hop ni Utamaduni wenye nguzo zake, njia moja wapo ya uwasilishaji wa utamaduni huu ni muziki.. Muziki wa RAP japo wengi tunaujua kama muziki wa Hip Hop..
Utamaduni huu...
Anaitwa JUSTIN KALIKAWE. (R.I.P).Muziki wa aina hii ndio aina ya muziki unaoweza kudumu milele. R.IP (Return If Possible )Justin Kalikawe
https://www.youtube.com/watch?v=AbSY1PFyQwA
Kuna hili wimbi la wasanii kwenda South Africa kufanya shooting za nyimbo zao. Binafsi sijaona ubora wowote wa video ya Ommy dimpoz na Wanjera yake, nilidhani kufunga safari all the way to South...
wakuu hii tv ilikuwa inaoneshwa na ITV miaka ya nyuma kidogo! je kuna yeyote anaweza kunisaidia kuipata hata kwa gharama kidogo...please please msaada kwa yeyote.
1.the ruins-kuna majani yanauwa watu humu ni noma.yanakuingia mwilini au yanakuviriga kama nyoka
2.untraceable-kuna jamaa anateka watu afu anarekodi kwa video camera.kisha anarusha kupitia...
Wimbo mpya wa Ally Kiba beat inafanana na wimbo wa Matonya (Unanimaliza).
Nadhani watalaamu wa muziki mnaweza kugundua Producer alifanya nini maana mi naona kilichoongezeka ni guitar tuu, ila...
Wiki moja imepita toka huu wimbo utoke. Swali: Je, unafanya vizuri kwenye radio stations na clubs kama ilivyokuwa kwa Mwana?
Yalisemwa mengi sana, wengine mbaya, wengine bonge la wimbo, wiki moja...
Ila una mafunzo sana ukifuatilia kwa makini, jamaa ana mashairi kibao.
https://www.facebook.com/video.php?v=1172953669385716&set=vb.157303284284098&type=2&theater
Heshima mbele wakuu,
Jana nimelipia tsh 20000 Azam tv ili niweze kuona channels zote ikiwemo VIASAT NATURE/HISTORY Channel lakin cha ajabu naambiwa access denied kwa baadhi ya channel ikiwemo...
Mwanamke anayedaiwa kuwa na sura mbaya duniani na mitandao inayomuonea ametoa filamu kuhusu maisha yake.
Maisha ya Lizzie Velasquez mwenye umri wa miaka 26 yalibadilika kabisa baada ya kuona kanda...
Kwa wote wanaohusudu huu wimbo na kuhisi kile kinachosemwa ni wao wanaowaambia adui zao, tiriririkeni hapa chini kwa ma verse ya mwendelezo wa wimbo huo.
Jamani mwenye link ya wimbo wa aslay na beka uitwao YA MOTO naomba aniwekee niudownload.
Hii ngoma naipenda sana kwa kweli. Hao madogo wana vipaji haswa.
Dogo Aslay kaiua hiyo aya ya kwanza...
MATAZAMIO YA HIP HOP KATIKA LUGHA LAINI
Hip Hop- ni aina ya muziki ambao unaimbwa kwa staili ya kurap/kufokafoka kwakuzingatia Vina vya Mashair.
Aina za HIP HOP
1:HIP HOP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.