Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Leo nimepanda tena hapa JF nikiwa upande mmoja na upande huo siyo mwingine bali ni ule upande wa ile bongo flava ya P-FUNK MAJANI, MWIKA MWAMBA, MJ na wakali wote waliowahi kukipiga vyema katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Radio hii sio siri itachana mawimbi ujio wa hando na pj unaongeza nguvu kipind chao cha joto la asubuhi nakumbuka walivyokuwa wanasoma vuzur magazet na kudadisi yafaa sasa na magazet yawepo hapo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nikiwa kama mfuasi namba moja hapa Tanzania kama siyo Afrika ya Mashariki wa Bendi ya Wenge Musica BCBG inayoongozwa na Bingwa au Fundi au Mtaalam mwenyewe Kiongozi Jean Bedele Tshituka Mpiana...
1 Reactions
2 Replies
984 Views
Jumatatu ya tarehe 2 May ndio utambulisho rasmi wa magwiji wa vipindi vya asubuhi redioni Gerrard Hando aka Mzee Mkuda na Paul James aka PJ wakiwa ndani ya kituo kipya cha E.FM 93.7 Unadhani kati...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ebwana wanaJF Mzuka! Sikufaham kabisa huu wimbo wa Wake up Papa Wemba fet Kofi Olomide. Nimeusikiza Leo mara nying Youtube. Ni wimbo mzur sana. Cha kushangaza hauna promo hata viewers na likes Ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
There's a day of feasting and a day of famine Day of sadness and a day of joy You could see in the day of feasting Life isn't just a little play-like toy. So the day arrived when you least...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JOSEPH KUSSAGA(kushoto) na RUGE MUTAHABA (kulia) (wadogooo) wakiwa na DJ MIND MOTION (katikati) wakati huo alikuwa ni NUMBER ONE DJ wa SAN FRANSISCO, hapo ilikuwa ni MAREKANI mwaka 1998...
1 Reactions
8 Replies
11K Views
Nimebatika kuona video ya huyu Snura Mushi ya wimbo unaitwa Chura. Kusema kweli hajatundea haki huu wimbo kabisa yaani kwanza wametumia location mmoja ya beach. Okey, location sio ishu ila wale...
0 Reactions
137 Replies
33K Views
Mbunge wa mbeya mjini na mkongwe wa muziki wa hip hop bongo Sugu a. K. a Mr II hivi karibu aliiachia wimbo wake mpya audio pamoja na video ujulikanao kama FREEDOM' Baada ya kuwa ahidi...
3 Reactions
141 Replies
23K Views
habari za sasa wana JF. Mimi ni kijana mwenzenu, nahitaji msaada kwa mlioko katika section za production katika tasnia ya filamu Tanzania, nahitaji kujifunza sana kuhusiana na filamu katika...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Rapa Nay wa Mitego baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Shika Adabu Yako’, Jumatatu ijayo anatarajia kuachia ngoma mpya na kali iitwao ‘Saka Hela’. Akizungumza hivi karibuni, Nay amesema mara nyingi...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani. naomba kwa mara nyingine kwa alie na details na Linah na shida na number yake...thanks... It's for personal issue.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nakumbuka Miaka ya Mwishoni Mwishoni mwa 90 na Mwanzoni Mwa 2000 kuna mzee mmoja alikuwa ana bamba sana na kibao hiko aliku Mwembamba Mweusi na nimrefu kile kibao nimekitafuta iatandaoni lakini...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Uzi huu kuhusuiana na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas de Fabré,Magdalena Reverté...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ulikuwa wapi enzi zao na ulikuwa na miaka mingapi?....
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna wimbo mmoja wa Papa Wemba kaimba kwa kiswahili nautafuta youtube siuoni kuna anaejua any link? nimeona Azam Two wameuonesha kwenye taarifa zao
3 Reactions
38 Replies
12K Views
Msaada wenu tafadhali nimeutafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo ina maneno yasemayo"HATA DINI UMEBADILI, SUPU UMETIA NAZI LADHA YA SUPU NI CHUMVI NDIMU NA PULIPILI TU" Ameimba...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Jaman wakuu kwa jamvi hili naleta uzi hata kama hauna maana yoyote kwako, lakn ningependa kumfahamu msanii aliyeuimba wimbo wenye maneno kama title nilonge nisilonge,... longaaaa. mpenzi wangu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuuu naomben hii link ilyowekwa na member wa humu link ya wimbo wa baba paroko ============== usser Ingia kwenye hii LiNK hapa Chini Baba Paroko
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Back
Top Bottom