Hamasa talk show ni show mpya kwa wakazi wa Kagera,na watanzania wote kwa ujumla.Lengo ni kujadili changamoto mbalimbali na kuzitafutia ufumbuzi,lengo likiwa kusukuma maendeleo.
Show inakutanisha...
Hii ngoma ya nature bana ilinilizaga sana kipindi flani.
Jinsi jamaa alivyo mkali wa chorus na kulalamika dahhhh kweli iliniuma sanaa nikifkiria huwa me nalia hata watoto wadogo wananicheka sana...
Kwa habari toka ofis ya uhamiaji na polisi mmoja pia amesema kuwa bwana huyo yupo Rumande kwa siku kadhaa kutokana na tuhuma za Utapeli.
Kwa wengi wanaomfaham Mkongo huyu wamekuwa na malalamiko...
Nimekuja huku, na vina bila pozi
Mvumbo ni kapuku, kama ze Bitozi
Twende habari kwa vina, nina maana kuandika kwa kuchana
Iwe habari za kina kinana, ama wana wanaolalama life imebana
Hakuna...
Jamani naombeni msaada hivi hii blue link naipataje YouTube? Maana nahitaji kuangalia London has fallen nashindwa au kama kuna link naweza itumia nikaangalia hii movie naomba msaada
Samahani wakuu. Naomba mwenye wimbo mmoja wa kitanga unaitwa 'Nimdodo' afanye kuuweka hapa jukwaani watu tupate kuburudika. Nimejaribu kuutafuta mtandaoni bila mafanikio yoyote...
Wakuu, kama mnavoona siku hizi hakuna matamasha yanayoshirikisha vikundi vya ngoma za asili kama zamani hivo kuhatarisha utamaduni wetu. Mie ni mpenzi wa ngoma za Kiswezi lakini sizioni zikipigwa...
kwa wale wapenzi wa movies, ninacollection za movies zaidi ya mia moja (ila sio bongo movies) kwa anahehitaji tuwasiliane bei ni nafuu tu, kuna series ya game of throne kuanzia season 1, narcos...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.