Leo nimepanda tena hapa JF nikiwa upande mmoja na upande huo siyo mwingine bali ni ule upande wa ile bongo flava ya P-FUNK MAJANI, MWIKA MWAMBA, MJ na wakali wote waliowahi kukipiga vyema katika...
Radio hii sio siri itachana mawimbi ujio wa hando na pj unaongeza nguvu kipind chao cha joto la asubuhi nakumbuka walivyokuwa wanasoma vuzur magazet na kudadisi yafaa sasa na magazet yawepo hapo...
Nikiwa kama mfuasi namba moja hapa Tanzania kama siyo Afrika ya Mashariki wa Bendi ya Wenge Musica BCBG inayoongozwa na Bingwa au Fundi au Mtaalam mwenyewe Kiongozi Jean Bedele Tshituka Mpiana...
Jumatatu ya tarehe 2 May ndio utambulisho rasmi wa magwiji wa vipindi vya asubuhi redioni Gerrard Hando aka Mzee Mkuda na Paul James aka PJ wakiwa ndani ya kituo kipya cha E.FM 93.7
Unadhani kati...
Ebwana wanaJF Mzuka!
Sikufaham kabisa huu wimbo wa Wake up Papa Wemba fet Kofi Olomide. Nimeusikiza Leo mara nying Youtube. Ni wimbo mzur sana. Cha kushangaza hauna promo hata viewers na likes Ni...
There's a day of feasting and a day of famine
Day of sadness and a day of joy
You could see in the day of feasting
Life isn't just a little play-like toy.
So the day arrived when you least...
JOSEPH KUSSAGA(kushoto) na RUGE MUTAHABA (kulia) (wadogooo) wakiwa na DJ MIND MOTION (katikati) wakati huo alikuwa ni NUMBER ONE DJ wa SAN FRANSISCO, hapo ilikuwa ni MAREKANI mwaka 1998...
Nimebatika kuona video ya huyu Snura Mushi ya wimbo unaitwa Chura. Kusema kweli hajatundea haki huu wimbo kabisa yaani kwanza wametumia location mmoja ya beach.
Okey, location sio ishu ila wale...
Mbunge wa mbeya mjini na mkongwe wa muziki wa hip hop bongo Sugu a. K. a Mr II hivi karibu aliiachia wimbo wake mpya audio pamoja na video ujulikanao kama FREEDOM' Baada ya kuwa ahidi...
habari za sasa wana JF.
Mimi ni kijana mwenzenu, nahitaji msaada kwa mlioko katika section za production katika tasnia ya filamu Tanzania, nahitaji kujifunza sana kuhusiana na filamu katika...
Rapa Nay wa Mitego baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Shika Adabu Yako’, Jumatatu ijayo anatarajia kuachia ngoma mpya na kali iitwao ‘Saka Hela’.
Akizungumza hivi karibuni, Nay amesema mara nyingi...
Nakumbuka Miaka ya Mwishoni Mwishoni mwa 90 na Mwanzoni Mwa 2000 kuna mzee mmoja alikuwa ana bamba sana na kibao hiko aliku Mwembamba Mweusi na nimrefu kile kibao nimekitafuta iatandaoni lakini...
Uzi huu kuhusuiana
na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas
de Fabré,Magdalena Reverté...
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
Msaada wenu tafadhali nimeutafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo ina maneno yasemayo"HATA DINI UMEBADILI, SUPU UMETIA NAZI LADHA YA SUPU NI CHUMVI NDIMU NA PULIPILI TU" Ameimba...
Jaman wakuu kwa jamvi hili naleta uzi hata kama hauna maana yoyote kwako, lakn ningependa kumfahamu msanii aliyeuimba wimbo wenye maneno kama title
nilonge nisilonge,... longaaaa.
mpenzi wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.