Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mashindano ya Maisha Plus ambayo yamefahamika kwa kuwa na uhalisia zaidi yamerudi katika awamu nyingine tena. Majaji wa shindano hilo, Masoud Kipanya na Kaka Bonda Msimu huu mpya tutegemee...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu, naomba msaada ni site gani nzuri naweza kudownload audio miziki ya bongo
0 Reactions
2 Replies
7K Views
1. Army of the Pharaohs - War Machine 2. Ll Cool J- Its time for War 3. Common ft John Legend- The Believer 4. Slaughterhouse ft Slv- Who i am 5. Royce da 5'9 ft Talib Kweli & Raekwon-...
0 Reactions
1 Replies
714 Views
Kama wewe ni mfatiliaji mzuri Rap/ hip hop music, vichwa tajwa hapo juu utakua ina visoma ipasavyo,..... Nani mkaki? Nani Ana zile amsha popo kwenye stage? nani Ana fan base kubwa? Nani Ana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo JF members Nimependa kuuliza hili swali ili kuongeza ufahamu zaidi Binafsi nimebahatika kuona recorded video za shows za hawa stand up comedians wa Africa na nikagundua wako...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
  • Closed
Habari mabibi na mabwana, Kwa yoyote naejifahamu kua anaweza kuigiza nahitajika katika kampuni mpya ya uzalishaji film Tanzania.Underground ndio mnaohitajika haswa ili muweze kupewa mafunzo kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Msanii Dudubaya ambaye siku za karibuni ameachia wimbo wake mpya unaofahamika kwa jina la 'Kokoriko' amefunguka na kusema kuwa msanii Ray C ambaye alisaidiwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
SHOW YA ALIKIBA FT CHRISTIAN BELLA ILIVYONIKA NDIO ILIKUWA KAMA HIVI PART 1 PART 2
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Staa wa Africa na Bongo flava, Diamond Platnumz ameendelea kuonyesha nia yake ya kuwasaidia wengine kukua kimuziki baada ya kufikia hatua kumsainisha Rich Mavoko kwenye lebo yake ya Wasafi. “Rich...
1 Reactions
62 Replies
20K Views
Pande za chamwino,kongwa,mpwapwa,Bahi,kindoa,area c,kuhungu,area d kuna booonge moja LA shooooooow ya MWENDO KASI kutoka Kwa mwanadada lady Jay deeeeee & the band ze NDI NDI NDI usikubari kupitwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa jinsi walivyojipanga hawa jamaa na hili kundi lao linaiteka tz kwa sasa sioni wa kupangua hapo. Kuongezeka kwa rich movoko kuna radha flani ya muziki imeongezeka ktk kundi lao cha msingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ilikuwa ni rahaa mpaka basi pateni mapichaaaaa
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Habarini, naomba kujuwa wapi naweza pata nyimbo za capt Komba au ToT. Nimetafuta youtube bila mafanikio yeyote. Asante
0 Reactions
15 Replies
12K Views
1. Gnash ft Olivia O'brien - I hate you, I love you 2. Conor Maynard ft Olivia O'brien- I hate you, I love you (Acoustic Version) 3. Justin Timberlake- Can't stop the feeling 4. One...
1 Reactions
0 Replies
679 Views
Habari wana JF, Hivi karibuni kumezuka haka ka mchezo ka wasanii chipukizi kurudia nyimbo za wenzao, al maarufu kama cover. Je, hili linaashiria nini? Ni kwamba creativity imepungua maana mwanzo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Audio nimeisikia kwa mara ya kwanza na wacha tu niseme kipaji ni kipaji tu ametisha sana humu ndani ali kiba bila kumsahau M. I kiufupi ametisha sana ngoma ni nzuri kinoma Hamu yangu kubwa sasa...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari za jioni wanadarisalama na wenzetu wote mlio nje ya jiji la Makonda. Hapa town (darisalama-in Mbowez voice) mziki wa singeli umekuwa maarufu na umetokea kupendwa kwa kasi kubwa sana...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
wakuu na wapenzi wa tamthilia habari,naomba kujua hii tamthilia ya merlin namba 6 tayari imeshatoka na kama imetoka inapatikana wapi,hiyo ni moja. Mbili,na ile tamthilai ya legend of the seeker...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyuki aina ya Dondola ana kiuno gani kiasi cha kuteka attention ya Diamond kwenye wimbo wa Zigo? Kumbe sanaa ni ujuzi wa mambo si haba! Sikutegemea Diamond angejua lolote kuhusu wadudu wa mwituni...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Back
Top Bottom