Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Habarini wakuu..... Nahitaji mwalimu wa kunifundisha music wa noten, mimi napatikana mwanza.... Kwa alietayari ani pm, malipo yatakuwepo! Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu Asanteni
0 Reactions
0 Replies
649 Views
the walkers sio hasa jina lake, the walking dead inatisha. nimeshaona season 1-3 ya mwaka 2013 kwa wale wenzangu wa haya mazombi naomba kujua season zimazoendelea mji ulivamiwa, governor...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari wanajamvi,kuna mambo kadhaa naona hayako sawa na ndio mana sanaa yetu inaonekana iko nyuma kila siku. Inadaiwa kuwa ili kuwa wakimataifa lazima kazi zako zionekane kwenye vituo vya...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wanajamvi,kuna mambo kadhaa naona hayako sawa na ndio mana sanaa yetu inaonekana iko nyuma kila siku. Inadaiwa kuwa ili kuwa wakimataifa lazima kazi zako zionekane kwenye vituo vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Moshi Katemi ametoa wimbo wake mpya leo, wadau sikilizeni HAPA
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Get your VIP GOLD CARD Delivered to you personally by our Beauty Queen Nelly_kamwelu the Miss Universe Tanzania 2015. For more information about tickets please contact (+255 768 129 974) ASAP...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fikra za kuwatafuta wazazi wake ziliyeyuka kabisa na kujikuta akipenda kitendo ambacho anakifanya na bi zuwena. Miezi miwili tangu waanze kufanya tendo hilo na wamekua mithli ya mke na mume. Mzee...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Hii choice fm leo nimeisikiliza, mwanzo mwisho ni kiswahili. Imenishangaza sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Miezi mitatu sasa tangu Hashir aanze kazi kwa mzee ochu, mshahara wa hapo ulimfurahisha sana Hashir mpaka alijikuta akifungua genge kwa bibi yake huko magomeni. Maisha kwao yalianza kua mazuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa jamvi hili, hususani wapenzi wa rnb, Leo tena nawaletea mbili kali za kukuliwaza: Ya kwanza ni Have a little mercy kutoka kundi linaloitwa 4.0 Na track ya pili kwa siku ya leo ni All...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
samahani wadau kama kuna mwenye huu wimbo auweke kwani nimeutafuta sana nimeukosa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
,''Kweli dokta umepima vizuri??'' aliuliza karima kwa mshangao, ''Ndio dada vipimo vyetu hua havisemi uongo kabisa!!'' Alimhakikishia nesi. Ilikua ni vigumu kwa karima kuamini kwa kile...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Wimbo wa '''BAO''' wa WAGOSI WA KAYA Umejaa 'Ubunifu' sana mle ndani... Lakini ukiusikiliza Juu Juu unaweza sema jamaa wameimba Matusi... Mstari upi unaoupenda mle ndani???
0 Reactions
10 Replies
3K Views
samahani wadau kama Luna mwenye huu wimbo auweke kwani nimeutafuta sana nimeukosa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
STAA wa filamu za Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ yamemkuta baada ya ile ishu yake ya kutengeneza filamu inayoitwa Sister Marry ambapo mapadri wamemtaka asiipeleke sokoni milele. Ishu hiyo ilitokea...
0 Reactions
433 Replies
37K Views
Yeyote anayejua historia yote kuhusu huyu mwanamuziki mashuhuri wa enzi izo katika democrasia ya congo anaitwa MAYAULA MAYON anijulishe nipate kujua,maana ninamkubali sana.pia anitajie na majina...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndugu wana jamvi kuanzia leo nitakuwa nawapa rnb kali za kumalizia siku yako. Kwa leo tunaanza na Tank na kibao chake better than me, angalia usije dondosha chozi kwani ni track yenye hisia sana...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Ni Nyimbo ya nikk wa pili ft joh makin ila kiitikio ipo saut ya msanii wa bongo fleva kachngny kngerza n kiswahil manen nayo kumbka n (ME AND YOU)...tafadhal mwny kuifahamu naomb aniwke link au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
walikuwa wazee wa silent inn kila jumamos. kwa wakubwa wenzangu wa kitambo hicho yupo yule rapa wao Allan mulumba??!!
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Back
Top Bottom