Hakuchoka kumuomba mungu msamaha na amjaalie aweze kupata mtoto, japo kwake ilikua ni ndoto ya alinacha. Ochu furaha yake aliokua nayo ilianza kufifia, hata wafanyabiashara wenzake hawakuelewa...
Ochu akiwa na mkewe zuwena wameketi kwenye sofa kubwa baada ya kupata chakula cha mchana, mfanyakazi SADA alikusanya vyombo vilivyokua mezani na kwenda kuviosha, aliwaacha Ochu na zuwena...
Adele ni moja kati ya wanamuziki wanaonibamba sana nikisikia nyimbo zake huwa zinavuta hisia..
ukianza na Someone like you, Rollin in the deep, Skyfall etc
Alikuwa kimya kitambo lakini sasa hivi...
''Enhee,kuna nini tena hapa?'' Aliuliza mkuu akiwa na mikunjo kwenye paji lake la uso ikidhihirisha hamu alokua nayo mwalimu huyo kujua nini kinaendelea. Hakupenda hata kidgo wanafunzi wake...
Habari za asubuhi jamani. Mimi naomba kujua bei za kumbi za harusi za Tabata, Sinza, Mabibo, Manzese, Buguruni. Sinza ningependa kujua being za kumbi hizi: Kuala Lumpur, Mwika, Deluxe, Mirado...
Habari za asubuhi jamani. Mimi naomba kujua bei za kumbi za harusi za Tabata, Sinza, Mabibo, Manzese, Buguruni. Sinza ningependa kujua being za kumbi hizi: Kuala Lumpur, Mwika, Deluxe, Mirado...
Hakujua amwambie nini mwalimu ili aweze kumruhusu aingie ndani na kujiunga na wenzake ili wasome. Mwalimu mashaka alijulikana shuleni hapo kwa ukali na tabia yake ya kuwaonea watoto wa kiume na...
Hali ya nyumbani hapo ilikua ni ya kusikitisha sana,kimali mzee kauchume alikua maskni sana,ni mtu wa kabila la wafipa aliezaliwa huko mkoani rukwa wilaya ya sumbawanga, hakua mzuri sana wa...
Mama yangu yuko wapi?? Baba yangu yuko wapi?? Ndugu zangu kina nani? Ni maswali niliyokua nikijiuliza kila siku bila kupata majibu,maisha ya tabu na shida niliyazoea nikiwa bado mbichi sana huku...
Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa wimbo mpya wa nguli wa Hipphop ROMA MKATOLIKI wa Vivaaaa roma umepigwa marufuku kuchezwa katika vyombo vyote vya habari nchini.
Wanabodi,
Kati ya vitu vinavyompa raha sana binadamu, kumburudisha, kumliwaza, kumfariji, ni pale anapopata ile kitu roho inapenda, hivyo kwa upande wangu baada ya maumivu ya uchaguzi mkuu...
Sandra Bullock will star in an all-female ?Ocean?s Eleven? reboot.
The 51-year-old actress is in talks to take on the leading role in the third incarnation of the movie, with Frank Sinatra...
Umeisikiliza nyimbo mpya ya Chid Benz "benzino" a.k.a Chuma!?
..msituletee habari hizo, msijifanye mnataka sana mabadiliko hata kumpa mwizi, ukiwa mwizi uraiani huwezi kuacha ikulu.
...sichagui...
Wapenzi wa sinema za kutafsiriwa kwa kiswahili tumepata pigo la kuondokewa na mtafsiri maarufu wa sinema anaeitwa DERICK MUKANDARA RUFUFU "rufufu" ambae inasemekana amefariki kwa presha siku mbili...
Video mpya ya mwanamuziki Belle 9 inayoitwa'shauri zao' imeanza kuonekana kimataifa kwa kuchezwa kwa mara ya kwanza kwenye kituo cha trace tv cha afrika kusini. Hii ni furaha sana kwa belle 9 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.