Msaada jamani kama unayo naomba unisaidiee...huu wimbo sijui umeimbwa na nani lakini huwa nausikia tu redioni....naupenda sana.
"Mungu ni Mungu tu....atabaki kuwa Mungu tu"
Msaada jamani kama unayo naomba unisaidiee...huu wimbo sijui umeimbwa na nani lakini huwa nausikia tu redioni....naupenda sana.
"Mungu ni Mungu tu....atabaki kuwa Mungu tu"
Christopher Mahangila. Huo wa Youtube umeishia katikati, nunua CD yake zipo madukani tayariMsaada jamani kama unayo naomba unisaidiee...huu wimbo sijui umeimbwa na nani lakini huwa nausikia tu redioni....naupenda sana.
"Mungu ni Mungu tu....atabaki kuwa Mungu tu"