mpuyango
Member
- Aug 17, 2016
- 60
- 68
Heshima yenu wana JF
Kama kuna mwenye historia ya huyu mwanamuziki anayeitwa Ntombi Mahrumbuni naomba anidadavulie kidogo maana leo nilikuwa nasikiliza radio moja hapa moshi nikasikia wanapiga wimbo wa huyu nguli wa muziki toka Afrika Kusini ikanikumbusha mbali kipindi hicho kule kwetu rombo kulikuwa kuna kitu kinaitwa "viarano" ambapo kila mwezi hujumuika pamoja kucheza mziki na basi bwana ilikuwa kama huna tape/ album ya huyu mwanamama basi lazima faini ikuhusu..
Mwenye nyimbo zake au historia yake naomba anisaidie tafadhali
Kama kuna mwenye historia ya huyu mwanamuziki anayeitwa Ntombi Mahrumbuni naomba anidadavulie kidogo maana leo nilikuwa nasikiliza radio moja hapa moshi nikasikia wanapiga wimbo wa huyu nguli wa muziki toka Afrika Kusini ikanikumbusha mbali kipindi hicho kule kwetu rombo kulikuwa kuna kitu kinaitwa "viarano" ambapo kila mwezi hujumuika pamoja kucheza mziki na basi bwana ilikuwa kama huna tape/ album ya huyu mwanamama basi lazima faini ikuhusu..
Mwenye nyimbo zake au historia yake naomba anisaidie tafadhali