Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau naomba mwenye wimbo wa Salam Nimpe nani uliopigwa miaka ya nyuma na WESTERN JAZZ BAND. ===== Wimbo: Salaam Nimpe Nani...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Hebu sikiliza kwa makini hii kitu, then kumbuka ulikuwa wapi enzi hizo. acha kabisa haya mambo.
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Mwaka jana muziki wa singeli muziki ulioibuka kutoka uswahilini na kutapakaa nchi nzima ghafla na kutishia mustakhabari wa muziki wa bongo fleva hasa hip hop sasa umefikia mwisho Kama aina ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Akiongea na waandishi wa habari mwenyekiti wa maandalizi ya team ya serengeti boys kasema wimbo utakao tumiwa kutoa hamasa kwa timu ya serengeti boys umeimbwa na wasanii kadhaa wakiwamo diamond...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana JF, Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kama maada inavyojieleza hapo juu, ninaomba mwongozo kwa yeyote anayefahamu mamlaka ambazo inabidi kuzitembelea ili kupata vibali...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps...
0 Reactions
6 Replies
915 Views
Wadau nimeusikiliza leo kwa mara ya kwanza huu wimbo wa huyu jamaa, Ki ukweli ni booonge la wimbo na Jamaa atapata show nyingi sana kwa huu wimbo ila sielewi maudhui yae hasa ni nini. Inasemekana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kuna mtu ana nyimbo ya chindo man story ya nyokaa aniasaidie
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nikisema kuna watu wenye maono alikuwepo justin kalikawe aliimba nyimbo nyingi sana ambazo zinamaana mpaka sasa,hasa ninaposikiliza wimbo wake anaosema usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
FANI KATIKA MAISHA, ni track ya muda mrefu, kama kitu live hivi jamaa walitoa na video, naomba kujua ulipo verce "Mpiga debee ilikuwa kazi yangu, fani katika maisha ikaja kuniokoa, "...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Salamu wana jamvi naomba kwa anae fahamu wasanii walio imba na jina LA Nyimbo original ambazo zpo kama remix kwenye 1.jemedari ya Nikki mbishi 2.marafiki wa uongo ya zaidi Natanguliza shukran
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu tukumbushane mwendesha pikipiki bora unayempenda aliyewaikutokea.Wangu mimi 1.valentino Rossi 2.Noriyuki Hagga 3.Marehemu Marco simochelli. Wako niyupi
0 Reactions
0 Replies
552 Views
MASHAIRI YAKO HIVI........(Unaweza kurekebisha though)........ Wanasiasa Bungeni wengine ni……yooh….yooh! tu Haters wakikosa cha kuongea nao ni……. yooh….yooh! tu Mwalimu wa madada zenu naye ana……...
8 Reactions
42 Replies
9K Views
............Nafiiicha mbeleko kwajili yako,Jiachie tu nikubebe,we kama mtoto ninavyokudekeza, na jicho lako la kungu kama lanikonyeza ....... Hiyo ni baadhi ya mistari ambayo imekaa ipasavyo na...
4 Reactions
32 Replies
15K Views
Sync Lyrics
0 Reactions
0 Replies
759 Views
There's a natural mystic Blowing through the air if you listen carefully now you will hear. This could be the first trumpet might as well be the last Many more will have to suffer many more will...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
Wale waliokua wanamsema kua hamorapa hana hata nyimbo sasa kuwamaliza na hii, wengi wameenda mbali na kusema ngoma yake hiyo aliyomshirikisha mkongwe na muanzilshi wa bongo fleva j nature kwa...
7 Reactions
146 Replies
28K Views
Wakuu mpaka muda huu kipindi cha shilawadu hakijaanza kuruka hewani.Badala yake kuna kipindi cha MUSIC MIX na muda unazidi kuyoyoma.Kuna tatizo gani? Tujuzane tufahamu ni nini kimesababisha...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
na hii Nadhani kuna mmoja alitembelea Nyota ya mwenzake
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom