Mwaka jana muziki wa singeli muziki ulioibuka kutoka uswahilini na kutapakaa nchi nzima ghafla na kutishia mustakhabari wa muziki wa bongo fleva hasa hip hop sasa umefikia mwisho
Kama aina ya...
Akiongea na waandishi wa habari mwenyekiti wa maandalizi ya team ya serengeti boys kasema wimbo utakao tumiwa kutoa hamasa kwa timu ya serengeti boys umeimbwa na wasanii kadhaa wakiwamo diamond...
Habari za asubuhi wana JF,
Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kama maada inavyojieleza hapo juu, ninaomba mwongozo kwa yeyote anayefahamu mamlaka ambazo inabidi kuzitembelea ili kupata vibali...
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps...
Wadau nimeusikiliza leo kwa mara ya kwanza huu wimbo wa huyu jamaa, Ki ukweli ni booonge la wimbo na Jamaa atapata show nyingi sana kwa huu wimbo ila sielewi maudhui yae hasa ni nini.
Inasemekana...
nikisema kuna watu wenye maono alikuwepo justin kalikawe aliimba nyimbo nyingi sana ambazo zinamaana mpaka sasa,hasa ninaposikiliza wimbo wake anaosema usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa...
FANI KATIKA MAISHA,
ni track ya muda mrefu, kama kitu live hivi jamaa walitoa na video, naomba kujua ulipo
verce "Mpiga debee ilikuwa kazi yangu, fani katika maisha ikaja kuniokoa, "...
Salamu wana jamvi naomba kwa anae fahamu wasanii walio imba na jina LA Nyimbo original ambazo zpo kama remix kwenye
1.jemedari ya Nikki mbishi
2.marafiki wa uongo ya zaidi
Natanguliza shukran
MASHAIRI YAKO HIVI........(Unaweza kurekebisha though)........
Wanasiasa Bungeni wengine ni……yooh….yooh! tu
Haters wakikosa cha kuongea nao ni……. yooh….yooh! tu
Mwalimu wa madada zenu naye ana……...
............Nafiiicha mbeleko kwajili yako,Jiachie tu nikubebe,we kama mtoto ninavyokudekeza, na jicho lako la kungu kama lanikonyeza .......
Hiyo ni baadhi ya mistari ambayo imekaa ipasavyo na...
There's a natural mystic
Blowing through the air
if you listen carefully now you will hear.
This could be the first trumpet
might as well be the last
Many more will have to suffer
many more will...
Wale waliokua wanamsema kua hamorapa hana hata nyimbo sasa kuwamaliza na hii, wengi wameenda mbali na kusema ngoma yake hiyo aliyomshirikisha mkongwe na muanzilshi wa bongo fleva j nature kwa...
Wakuu mpaka muda huu kipindi cha shilawadu hakijaanza kuruka hewani.Badala yake kuna kipindi cha MUSIC MIX na muda unazidi kuyoyoma.Kuna tatizo gani? Tujuzane tufahamu ni nini kimesababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.