Wasanii wa bongo fleva msitishwe na mafanikio ya WCB

bombadier

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
438
305
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?
 
Kwanini mnahangaika na mafanikio ya mtu ssi tunachojua Diamond msanii Mwenye mafanikio jiunge we tuone kama utamfikia fikiria yako acha upimbi.
Not like that kind of successful we er talking but w talk about true successful of man honor to his God not devil's
 
Kwanini mnahangaika na mafanikio ya mtu ssi tunachojua Diamond msanii Mwenye mafanikio jiunge we tuone kama utamfikia fikiria yako acha upimbi.
Not like that..!! kind of successful we er talking but w talk about true successful of man honor to his God not devil's
 
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?

Kwa uandishi huu wako wa dhana, sononeko, chuki, unafiki na roho mbaya sijui utafika wapi kimaisha, Ina maana wasio wanachama wa freemason hawafi?, Diamond kuwa freemason anakukosesha ugali kwako?
Kupanga ni kuchagua na yeye Kachagua maisha yake, na wewe unayako
 
Wabongo wivu tu....Diamond kaanza na kamwambie kaja mbagala then binadamu wote tunashuhudia.Unaweza kusema uo umason kaanza lin au unaleta akil za kuambiwa hapa.Bongo hatuendelei sababu ya majungu ya maskin kama hawa.
 
MTU akifanikiwa Tanzania ,wataanza kumzushia


1.kawatoa kafara ndugu zake

2.anauza sembe
3.Freemason
4.mkwepa kodi,mpiga dili nk

Nakumbuka wakati nakua kuna demu tokea primary alizushiwa ana ukimwi ,sec mpaka kawa mkubwa na kaolewa juzi tu na watu wametembea hamna kitu

Tatizo uafrika ase ,wa Afrika tunapenda hali zetu zifanane ,
 
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?
Wavivu wanaamini kila fanikio ni matokeo ya mganga so endelea kuliwa hela zako kwa waganga ili na wewe ufanikiwe.
 
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?
Jinsia yako tafadhari!!!
 
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?
Ujinga ni mzigo
 
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku ukimwamini Mungu! Wapo wapi akina Michael jackson, Kanumba na freemason yao?
Acha wivu wa kike wewe
 
zari karudi south kwa mumewe mtoa mada hamia madale kabisa uthibitishe,Dangote wa bongo anarudi mda si mrefu peke yake
 
Sitaki kuamn ktk hlo. Tangu antoa nenda kamwambie. Ninyimbo ngapi katoa na nizp zmemtambulisha ktk ulimwengu wa muzk. Think about your successful. Au kwa kua nmuzki?? Ivi unajua klicho nyuma ya douj Mohammed!? Au said sud barcklesor.?
 
Back
Top Bottom