Wakuu ninatafta mdau mwenye namba ya studio ya mzik nzuri iliyopo mjini dodoma aniwekee namba hapa nataka kurekodi wimbo ila ni mgen maeneo haya ya dodoma plz sihitaj matus kama haujui uscoment
Kijana anaetafuta ugali kwa jina la S kide amedondosha ngoma kali inayokwenda kwa jina la Hamo rapa na humo ndani amefanya 'matusi' sana juu ya msanii anaekuja kwa kasi, Harmorapa.
Baadhi ya...
NGADA!
Frank alimkazia macho kaka ake, na kuvimbisha uso wake, na kukaza sauti, na kumwambia tena na tena.
“usim ‘shoot’, achana nae”
“Aroni, achana nae ushampiga, kaumia, achana nae...
Habari wanajamvii.
Kabla ya yote napenda niwasifie hawa vijana wetu kwa kufanya kazi nzuri.nadhan wameweza kuitumia sanaa vizuri.wametupa changamoto za kuufikirisha ubongo wetu vizuri.
Sio kama...
Pamoja na kwamba tuliufunga mwaka vizuri na wimbo wa taifa Muziki ya darasa, naona huu wimbo wa mkongwe Ditto kama ndo tunafungua nao mwaka maana naona sehemu mbalimbali za burudani ukipigwa tu...
Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya
Verse 1:
Unachokipanda leo ndicho
utachovuna kesho.
Imeandikwa Mwanaume kula kwa
jasho.
Najiuliza hivi ni nani kaiona...
List za ngoma zinazopanda na kushuka tz kila wiki....
10: Rayvan-kijuso
09: Young killer- sinaga swaga
08: Madee-hela
07: Nandi ft chege- kelele za chura
06: Ben paul- phone
05: Chege &temba - go...
Kazi yako ya Nisaide kushare imesimama sana bro, hongera sana. Umeonesha kwamba wewe ni mkongwe katika hip hop, huyumbi na hugeuki. Kaa hata mwaka mzima lakini ukija kurealese unafanya ile kitu...
SEHEMU YA PILI.
Miaka mitatu tu tangu Raisi atoke Syria lakini malalamiko yalikuwa mengi sana wengi walisema Raisi Nobert amebadilika sana amewageuka wapiga kura wake wakiwa hawajui kuwa Yule si...
Habar wadau,
aic chang'ombe ni moja ya kwaya ya nymbo za injil ambayo albam zake tatu zilizopita zinafanya vizur sokon had leo
1.VUNJA
2.GUSA(2006)
3.MPINGA KRISTO(2009)
naulze je wametoa...
Hip Hop na moja ya mziki ambayo hukememea uovu pale unapotokea kwenye jamii.Kuna wasanii maarufu ambao tumewashuhudia awamu ya Nne wakiikosoa serikali bila kuogopa mkono wa dola kama vile ROMA...
Timu yetu Arsenal! Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji...
-Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
-Kim Kardashian alikuwa bikra
-Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa
Tandale
-Nick Minaj alikuwa flat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.