Sibuka sio kila mtangazaji anaweza kutangaza mpira

kirimirimi

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
287
194
Mambo anayotufanyia mtangazaji Wa sibuka FM, in mambo ya ajabu anaacha kutangaza Mpira anatangaza matukio.
Sio lazima kama hamna uzoefu Wa kutangaza Moira sio lazima mpekeke mtangazaji ni bora angekuwa anapiga cm kutulwtwa matokeo kulikokutangaza mile ningewashauli msieudie tena huu upuuzi wenu.
 
kwani lazima uangalie Sibuka?mbona radio nyingiii tu za kusikiliza tz hiii jaman!?

Vitu vingine kupotezeana muda tu
 
Back
Top Bottom