Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

wadau mimi ni mpenzi wa series hizi za wakorea... ingawa sijafuatilia nyingi sana lakini nimejifunza kitu.. 1. steringi anaweza kuumizwa sana na ni wepesi sana kutoka damu lakini ndani ya muda...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
habari wakuu naomba kujuzwa jinsi gani naweza kuangalia tv online kupitia cm....na channels za bongo
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Ni ktk kipindi cha FNL cha tar 17/03/2017.. Kifupi Kiba amekataa kujibu maswali aliyoulizwa na Sam... Mwisho wamekatiana simu.. muziki wa Bongo una safari kubwa Sana kufika kilele
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Ni hivi katika pitapita zangu nikamkuta ndugu yetu wa kutuinspire kupambana bwana fursa mtu mzima Harmorapa katupia dubwasha moja youtube la ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Shilingi...
7 Reactions
22 Replies
7K Views
Wadau Clouds Tv kwa sasa inapatikana online, unaweka kuitazama kupitia hii link CLOUDS TV on USTREAM: . Kwa wale ambao wako nje ya Dar hii inaweza ikawafaa zaidi.
2 Reactions
23 Replies
80K Views
[/ATTACH]
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau karibuni katika uzi wangu huu, mimi ni mtunzi wa simulizi ninayemiliki blogi ya nasmgambo.blogspot. com nawakaribisheni katika uzi huu kupata uhondo wa mastori yangu. ambayo huwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tupia mashairi yako binafsi uliotunga mwenyewe, yakiwa na vina vyenye kuleta maana tuonyeshane mauwezo mimi naanza hivii.... Kazana kula kitabu Kwani ndio mwisho wa tabu Unayokila sababu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
jamani kwakweli ne-yo hatakuja kusahaurika kwenye gemu ya mziki,,, nakumbuka wimbo wake miss independent,,ulivyo mpa tuzo. pia yule dada alieshoot nae alinogesha sana video yake,,,,vipi wewe wimbo...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Karibu wana forum humu ndani nitakuwa nawapostia simulizi yangu iitwayo Fahari, Simulizi inayomuhusu kijana Leo, anayeonekana kuwa mwenye akili sana na mzee tajiri aitwaye Habib Nasri, tena mzee...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
RIWAYA: HOFU MTUNZI: George Iron Mosenya SIMU: 0655 727325 MWAKA WA KUANDIKWA: 2013 "Tunayaweza yote ambayo akili zetu zinafikiri, lakini kamwe hatutaweza kuyatekeleza vyema kwa kuziamini akili...
3 Reactions
88 Replies
24K Views
Hadi huruma!! Hicho kioo kimeandikwaje vile?
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Kuna movie inaendelea je kwa mtazamo wako starring atakufa au atawateketeza wapinzani wake, ni movie gani unakumbuka starring alikufa na starring mwenyewe alikuwa na bwembwe kibao kurusha ngumi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hebu tusiwafanye watu kilo ya unga kuwajadili kila siku tafuteni kazi za kufanya, shilawadu akishafunuliwa na flast kudabwa ndio mwisho wake.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikiaaa utaaaaaamu rahaaa the people station Haya ndio mambo Maraia wa brand kubwa tunataka kuyanyakwise pisee mndanise Ule uleeee kata kiuno kata kata... mweeeeeeh..! Ukichora sifuri...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekumbuka baada ya kusiliza nyimbo mbili alizoimbaga zamani kidogo ..Kuna wimbo aliimba unaitwa ..Ndio Mzee.. Na ule sio mzee...nimezikumbuka sana naomba wadau msikilize hizo nyimbo ..nataka...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
kwa hali ya kawaida kuna nyimbo ambazo zitakufanya ukumbuke tukio fulani, mpenzi wako au pengine hata sherehe mbalimbali. wale wapenzi wa nyimbo za rnb pamoja na loves songs tujikumbushe kwa...
1 Reactions
81 Replies
18K Views
Hii ngoma ukweli kwa upande wng nimeielewa sana kweli jay mo ni level zingne.......ambaye hajaipata anakosa flava sana ya good music kutoka kwa huyu bongo flava legend
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom