Kutokana na Taarifa zinazotolewa na watu kwenye mitandao kuhusu kikundi cha mziki YAMOTO BAND kuvunjika leo,
Mkubwa Fella amewatoa hofu mashabiki na wapenzi wa kundi pendwa la Yamoto Band kuwa...
wakuu kwa aliyeiona hii DEAD MEN TELL NO TELLS,vipi ipo mubashara?mimi ni mfuasi mzuri wa hii series ya PIRATES OF CARRIBEAN,nishaziona zote kuanzia
1)THE CURSE OF THE BLACK PEARL,
2)DEAD`S MAN...
Nyota aliejipatia umaarufu katika kiwanda cha filamu baada ya kuigiza kama Vampire-Edward Cullen katika filamu za Twilight saga, amefunguka wiki hii alipokuwa akihojiwa na The Newyork times na...
[emoji121]️ tizama nigerians sasa walivyoadvance katika tasnia ya filamu. Nigerian Movie zipo katika kiwango cha hollywood. Sisi huku tunalalamikia soko kila siku.
Tunamsubiri makonda atusaidie...
RIWAYA; REHEMA WA NJIA PANDA
MTUNZI: Moringe John Mhagama
NITAFUTE; simulizizakasuku@yahoo.com au 0717308038 (Whatsap pekee) au
(0621081076 Meseji pekee)
KITABU CHA KWANZA
“Oyaa , madenti...
Jaman mwenye kumbukumbu na wimbo wa kingereza wa vijana wawili wa kike na kiume, wakiimba pembezoni mwa bahari na sehemu nyingine. ulikua na mashairi haya kama sikosei "...you give every thing...
Kwa wale wapenzi wa movies za kibabe nadhani mnajua mfululizo wa Undisputed kuanzia 1 mpaka 3 lakini mwaka jana ilitoka sehemu ya 4. Katika hii filamu mtaalamu wetu Scott Adkin ameendelea kufanya...
Tazama huu wimbo !
Kisha comment kuhusiana na matumizi ya jukwaa kwa wasanii wa nje , ukilinganisha na wasanii wetu hapa nyumbani.
Kwenye huu wimbo kuna mengi ya kujifunza kuhusiana na matumizi ya...
Nimevutiwa na huu wimbo ambao jina lake sijajua vizuri nafikiri ni jubilei unazungumzia jubilei ya miaka mia ya radio maria iliyofanyika mbeya mwaka huu, asante
Habari za j2,
nimekuja mbeya kama miezi 2 imepita ila weekend huwa naboreka, maana huwa napendelea zile live band (mziki wa watu wastaarabu) ila sijua kwa mbeya zinapatikana wapi.
Sasa wazee...
Jana msanii diamond aliweka wazi kwamba hataki mwanae Tiffah awe msanii na kwamba wasanii wenhi wa kike hufanya mambo mengine tofauti ili kuweza kufanikiwa na kuishia pabaya haya amesema diamond...
Ni udhalilishaji kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini kwa kauli kama ile kutoka kwa Diamond(kama ni kweli)
Amedhalilisha wanawake wote duniani na hasa kwa kinadada wanamuziki. Dharau hii nadhani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.