Kuna makundi ya hip pop yalikuwepo miaka hiyo ambayo yalikuwa na nyimbo zao nazitafuta hasa baada ya kuzipoteza nlipoenda Majuu miaka ya 2000s . hawa jamaa walikuwa hatari sana makundi kama GWM...
Nimekaa na kujiuliza sana ni aina gani ya muziki ambayo ni identity yetu kama watanzania, nikakosa jibu. Kwaito ni South Africa, Reggae ni Jamaica etc, sisi ni aina gani ya muziki ikipigwa...
Aloo kumbe huyu mwana hip hop ni mnazi mkubwa wa washika bunduki wa london mchezaji anaempenda sana ni OZIL anakwambia akimuona tu uwanjani huwa ana asilimia flani za ushindi....tatu zake chafu...
Maisha matakatifu ya Bob Marley, jicho makini lenye kusoma mazingira. Mtu mwenye utu na mwenye Upendo wa hali ya juu. Siku zote Bob atabaki kuwa mfalme wa Maisha yangu.
Wanamuziki wa Congo DR
Wamesomea Muziki
Wanapiga Vyombo zaidi ya moja
Mazoezi yao ni ya Masaa nane ( 8 ) bila ya Kupumzika
Kabla ya kuanza kutumbuiza hufanya testing ya Saa 1 hadi Masaa 2
Wale...
Ninaomba msaada natafuta namna ya kuziangalia series za Prison Break hizi mpya bila kusubiri kila j tano wanapotoa vipande vipande vyao mm nataka, niangalie mfululizo pale, walipoishia...kwa utamu...
Serious mtu umekaa kwnye Game miaka zaidi ya mitano , leo unakuja kututolea Video umevaa feki T-shirt GUCCI ya K/koo .. inayouzwa 7500/=.
Unavaa Jampa Suti ...sijui zinaitwa hivyo ..zile za...
"...ni wapi tuna kwenda?'
Ni wapi tunakwenda?
Shule namaliza nabaki najiuliza nitafanya kazi gani?
kwenye kila kampuni kazi hazipatikani
heri kwa watoto wa wakuu
wanaopata kazi kupitia wazazi
hii...
13 Reasons Why (imepewa ubunifu wa jina Th1rteen R3asons Why katika video)ni tamthilia ya ki amerika iliyotolewa(kuuzwa) katika mtandao na televisheni.Imetokana na kitabu cha tamthilia kilichoitwa...
Kama kichwa cha mada kinavosema, umepewa nafasi ya ku-dedicate nyimbo mbili kwa mwenza wako au mtu umpendae/thamini e.g parents, friend, lover, siblings, secret admirer etc What songs will you...
STORY YA DEM WA ADMIN
ADMIN
Morning guyz
LUCY
typing..
ADMIN added George
GEORGE
typing...
LUCY
Morning bebz
ADMIN
typing..
GEORGE
Thanx for add Admin
ADMIN
Welcome bro,za siku
GEORGE...
Habari wakuu
Kuna hii nyimbo ya kundi la Mafikizolo iitwayo Emlanjeni (meet me at the river). Ni nyimbo ambayo kwa kweli inaugusa moyo wangu hasa.
Kuanzia mapigo ya muziki, mpangilio wa sauti na...
HAYA NDIYO MASHINDANO TUNAYOTAKA YAKUSAIDIA TAIFA
Zikiwa zimepita wiki mbili toka Mwimbaji mwingine staa wa Bongofleva Diamond Platnumz kuzindua Perfume yake, leo May 11, 2017 kupitia 255 ya XXL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.