wakuu habari!
naomba kwa mwenye softcopy za tamthiliya (plays) za kiswahili au kiingereza anisaidie. au kama kuna mtu anajua mahali ninapoweza kuzipata anielekeze.
natanguliza shukrani
Binafsi ni mdau na shabiki wa nyimbo zake....nimepata kuzipenda album zake mbili sanjari na ile ya jina ramadhan....Nimepata kusikia pasi na kupata uhakika juu ya uwepo wa huyu mwimbaji..Yupo hai...
Mada inajieleza vizuri, Dogo kacheza dk zote na kwa kiwango bora tumpgie kura ashinde. Kwa sasa Msuva anaongoza
Link ya kupiga kura hiyo
Ni mchezaji gani bora wa VPL kwa mwaka 2016/2017 - Poll...
Mimi nilikuwa miongoni mwa watu Wa mwanzo kabisa kufanya tathimini na kutoa maoni yangu khusiana na wimbo Wa Darasa hasara roho, ambapo nilisema kuwa inaonekana hata ule wimbo Wa muziki...
Hii chemistry ilikuwa balaa kila wimbo waliotoa ilikua hit song kwa mfano Hawajui,Wanaume kama mabinti remix,Msiache kuongea,Sikiliza featuring Mangwea-RIP,Alikufa kwa ngoma.
Alafu kuna collabo...
Wiki kadhaa nyuma kulikuwa na maandamano ya wasanii wa Bongo movie wakilalamika juu ya kudorora kwa bidhaa zao mbovu. Narudia tena kudorora kwa bidhaa zao mbovu.
Hawajui ni wapi walipoteleza...
Salam wakuu.[emoji26] Nimeitafuta mitandao yote duniani nimeikosa. Kuna Dada tulikua wote Johannesburg alikua nayo ila nikashindwa kumuomba. Maana tulikua kwenye msiba wa mama yake. Nikaona...
"How I Became The Sea"
June was the lobster shell
I dug by hand
A haven that hid me well
Beneath the sand
The wide windy waves washed in
But I stayed dry
The great breakers broke again
As I...
jaman mwenye hizi series na yupo dar naziomba......ARROW, mission, 24 HOURS, PRISON BREAK, QUANTICO, ELEMENTARY, LOST, THE ORIGINAL, STRIKE BACK, SCI, THE WIRE, BREAKING BAD, CRIMINAL MINDS, WHITE...
___________________
Habari za kifo cha muigizaji Shahrukh Khan zilienea kwa kasi mapema wiki hii na kusababisha wasiwasi miongoni mwa mashabiki wake duniani kote.
Hata hivyo taarifa hiyo...
ikiwa imefikia Ukingoni mwa michuano ya ligi kuu mbalimbali duniani,
Weka mtazamo wako hapa nani unaona anafaa kuwa mchezaji bora wa ligi usika tajwa hapo ;
1:ligi kuu Tanzania bara(Vpl)
2:ligi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.