Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
️ tizama nigerians sasa walivyoadvance katika tasnia ya filamu. Nigerian Movie zipo katika kiwango cha hollywood. Sisi huku tunalalamikia soko kila siku.
Tunamsubiri makonda atusaidie kututaftia soko.
Yan TZ kila kitu ipo mkiani. Tunajua tu kupiga deal.