Nollywood films kutengenezwa kwa kiwango cha Hollywood. Sisi huku tunamtegemea RC atusaidie soko

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654


️ tizama nigerians sasa walivyoadvance katika tasnia ya filamu. Nigerian Movie zipo katika kiwango cha hollywood. Sisi huku tunalalamikia soko kila siku.

Tunamsubiri makonda atusaidie kututaftia soko.

Yan TZ kila kitu ipo mkiani. Tunajua tu kupiga deal.
 


️ tizama nigerians sasa walivyoadvance katika tasnia ya filamu. Nigerian Movie zipo katika kiwango cha hollywood. Sisi huku tunalalamikia soko kila siku.

Tunamsubiri makonda atusaidie kututaftia soko.

Yan TZ kila kitu ipo mkiani. Tunajua tu kupiga deal.

huyu jamaa si nilisikia aligomea ubunge kwao na akashinda,
 
Kukosa soko kunakatisha tamaa

Na lack of seriousness inakosesha soko
 
Back
Top Bottom