Hadithi: Rehema wa njia panda kitabu cha kwanza

Katika hadithi hii

  • Mwandishi kaiangusha hadhira

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    6
May 20, 2017
7
0
RIWAYA; REHEMA WA NJIA PANDA

MTUNZI: Moringe John Mhagama

NITAFUTE; simulizizakasuku@yahoo.com au 0717308038 (Whatsap pekee) au

(0621081076 Meseji pekee)

KITABU CHA KWANZA


“Oyaa , madenti subirini abiria waingie!’’

‘’We dogo nitakufumua hembu sogeza kongoro zako pembeni" hizi zilikuwa ni miongoni mwa kauli zikaharishazo za makondakta kila asubuhi na mchana wanafunzi waelekeapo na watokapo shuleni.Ni wakati ambao makondakta wanakuwa na kiburi kwani wanakuwa na uhakika wa kuwapata abiria ambao wakati huo huwa wanaenda na kutoka kwenye mihangaiko ya kutafuta riziki.

Matusi na kusukumwa na hata kichaniwa sare za shule ni mambo yaliyoonekana kuzoeleka masikioni na machoni mwa watu japokuwa palionekana wachache waliokuwa wakikereka na hali hiyo huku kauli za kejeli kutoka kwa watu wengine zikiwakatisha tamaa watu hao walikuwa wakijaribu kuwatetea wanafunzi ambao serikali iliwapa haki ya kulipa nusu ya nauli ya kawaida.

Hayo yote yalikuwa yakitokea katika kituo kidogo cha mabasi cha Njia ya ng'ombe kilichokuwa nje kidogo ya mji wa Moshi.

Miongoni mwa wahanga wa kauli na manyanyaso hayo alikuwa Rehema Martin aliyekuwa akisoma darasa la tano katika shule ya msingi Kiwanja cha Ndege karibu kabisa na kituo hicho kidogo cha magari.Kama mwenye damu ya kunguni kwani alionekana kuchukiwa na karibu kila konda aliyekuwa pale stendi.Hiyo ilitokana na tukio lake la kudai kuwa alikuwa ameibiwa nauli ndani ya gari kila alipotakiwa kutoa nauli mara tano mfululizo tena kwenye magari tofauti kitu kilichomfanya kila kondakta na hata madereva kutomruhusu kupanda garini hata kama angewaonesha nauli kitendo chake cha kusafiri bure wiki nzima kilionekana kuwachukiza hata wanafunzi wenzake ambao wakifika stendi ilikuwa ni lazima kwao kumtambuilisha kwa kinda kuwa huyo ndo REHEMA WA NJIA PANDA kwani wiki alilokuwa akisafiri bure kama mchezo kila walipofika eneo lililoitwa Njia Panda alipotakiwa kutoa nauli alidai kuwa alikuwa ameibiwa hatimaye Rehema likawa jina lake na Njia Panda likawa jina la baba yake.

Baadaye ilikuwa ni vigumu kwake kupata gari la kupanda si asubuhi si mchana hata kama angekuwa na nauli na kupelekea kufikia uamuzi wa kuanza kutembea kwa miguu mara chache alibahatika kupata rifti mwenye magari mengine yasiyo ya abiria.

Kutoka kwao Rehema hadi shuleni alitumia saa moja na dakika kumi na tatu kutembea hivyo alikuwa akifika shuleni na nyumbani kwa kuchelewa tena akiwa hoi hali iliyopekea kuanza kushuka kitaaluma.

Alishawaeleza walimu wake na mama yake ambao waliguswa na jambo hilo.Kwa upande wa walimu hawakulichukulia umakini jambo hilo kwanza Rehema hakuwa miongoni mwa watoto watu waliokuwa wakifahamika pale shuleni ama kwa mali zao au umaarufu wao pia hakuwa miongoni mwa wanafunzi walikuwa na akili sana darasani hivyo mateso yalionekana ni haki yake kuipata.Kwa upande wa mama yake hakuwa na cha kufanya zaidi ya kumwombea kwa Mungu wake ambaye kwake aliamini kama akimwadhibu kwa dhambi alizokuwa amezitenda ujanani mwake.

Alikumbuka historia yake iliyokuwa ikimuumiza siku zote huku akimwomba Mungu kumuadhibu kwa namna yoyote lakini si kwa kumfanya mwanaye apitie maisha kama yake akiwa hai ama akiwa mfu.Alijua kabisa hakumjua baba halisi wa mwanaye kutokana na matumizi ya ujana wake.

Siku zilikatika huku Rehema akizidi kuporomoka kitaaluma kutokana na mateso aliyoyapata kutembea masaa mawili na nusu kila siku ilikuwa ni zaidi ya mazoezi ya marathoni waliyokuwa wakiyafanya wanariadha kila ilipokaribia Februari ya kila mwaka.Marafiki wachache walianza kumpa sapoti hasa nyakati za jioni ili kumpa faraja binti huyo ambaye hadi umri huo hakumfahamu kwa jina wala sura baba yake ambaye mama yake alimwambia kuwa alifariki kwa ajali mbaya ya gari iliyotokea siku mbili baada ya kuzaliwa kwake.

Alionekana ni mtu aliyekuwa na mateso makubwa sana kwa kila aliyemwangalia licha ya kulazimisha tabasamu usoni pake ,tabasamu ambalo lilikosa afya liliupoteza uzuri wa sura yake huku nywele zake ndefu nyeusi na rangi nyeupe iliyouficha weusi ulioonekana kwa mbali kwenye ngozi yake vilimfanya kila mtu amuweke kwenye kundi la watu waliochanganya damu ya kiafrika na kizungu.Lakini licha ya uchotara wake Rehema alionekana kuing'ang'ania sura ya kirembo aliyokuwa nayo mama yake Tumaini Martin ambaye kama si moshi wa kuni wakati wa kupika pombe ya kienyeji maarufu kwa jina la 'Dadii' ili kuikimu familia yake pangelitotea mashindano ya urembo basi angelikuwa miongoni mwa kumi bora ya akina mama warembo mjini Moshi.Miaka thelathini na sita aliyokuwa nayo aliiamini yeye pekee lakini kila aliyemwangalia alimwona kama binti wa miaka kumi na tisa ama ishirini na mbili.

Hakuwa na mtoto ama ndugu mwingine pale Moshi zaidi ya bintiye Rehema ambaye tangu akiwa mdogo alianza kukutana na mateso makali baada ya kuugua ugonjwa wa ajabu uliomfanya avimbe kichwa upande mmoja.

******

Tumaini Martin wengi wakipenda kumwita Tuma alikuwa mtoto wa tatu kati ya watoto watano wa mzee Martin Kasuku na Lydia Kilongo waliokuwa wafanyabiashara mkoani Dodoma ,alikuwa miongoni mwa askari wastafu wa Jeshi la Wananchi aliyekuwa na cheo kikubwa jeshini.
Mzee huyu alikuwa na watoto wakiume wanne waliokuwa na sura za kutisha na mtoto mmoja wa kike ambaye alikuwa na sura nzuri illiyokuwa ikimvutia kila aliyeiona ama kusikia sifa zake.Wengi walimtuhumu Bi Lydia kuwa huenda alichepuka alivyoenda kuwasalimia wazazi wake huko Kyela kwani binti alikuwa mrembo haswa.Uzuri wake ulivumbuliwa tangu akiwa mdogo na kadri alivyokuwa akikua ndivyo vitu vingi vilivyokuwa vimejificha kwenye mwili wake vilijitokeza na kumfanya kila mzuri mjini pale alinganishwe kwanza na binti huyo ambaye aliiibua matumaini ya wazazi wake kupata mtoto wa kike na kupewa jina la Tumaini.

Akiwa darasa la saba Tumaini alikuwa ni miongoni mwa wanawake waliokuwa wakifuatiliwa kimapenzi na wanaume wengi mjini Dodoma.Wazee,vijana,matajiri , masikini waliokuwa na kazi na wale wenzangu na mimi kula kulala kwa mama walijaribu bahati yao suala alilolifikisha kwa baba yake kupitia mama yake ambaye hakuacha kuwaadhibu vijana aliokuwa akiwakuta na binti yake,adhabu za kikatili na mateso makubwa.

Siku moja jioni kama ilivyokuwa kawaida yake wakiwa jikoni na mama yake Tuma alionekana mtu mwenye wasiwasi sana hali iliyomfanya mama yake ahisi kuwa binti yake alikuwa na jambo lililomfanya awe katika hali hiyo.

"Mbona hivyo Tuma , kuna tatizo?" Aliuliza Lydia.

" Hakuna tatizo mama " alijibu Tuma huku akizuia machozi kushuka.

"Niambie mwanangu mie ni mama yako niambie jambo likusumbualo nitakusaidie"Alibembeleza mama yake.

" Hutoniamini mama"

"Niambie mwanangu nitakuamini ,mangapi umeniambia nikakuamini?"

"Yote yalikuwa madogo hili hamtaliamini mama"

" Au ndo hao wanaume wa kila siku ? We u mrembo lazima wakusumbue cha msingi kuyazingatia tuliyokueleza umri na wakati haujafika mwanangu" mama mtu alizidi kutoa nasaha.

" Ndiyo wanaume mama"

"Wanakutisha Leo?"

"Hata hawanitishi , ila huyu wa leo amenitisha"

"Namfahamu?"

"Ndiyo"

"Nani"

"Baba Zita"

"Acha kuchuma dhambi binti yangu , Baba Zita mchungaji? We mtoto unataka kugombanisha watu si bure"

"Ndo maaana nilise,,,,,,,"

"Kimya shetani wewe umetufanya watoto" Aliongea Bi Lydia kwa hasira akimalizia na kofi lililokwepwa kiustadi na kutua juu ya sufuria iliyotoa ukelee baada ya kufika sakafuni na kumshtua Mzee Martin aliyekuwa sebuleni na wanawe wa wawili mwisho na kuelekea jikoni.

Anord Mwakibale au Baba Zita kama wengine walivyozoea kumwita alikuwa Mchungaji wa kanisa la "These days" lililokuwa limeingia nchini miaka ya tisini huku likisifika kwa kuwa miongoni mwa makanisa machache yaliyokuwa na uwezo wa kuwaponya wagonjwa, kuwafanya vipofu waone,viziwi wakasikia na hata viwete wakatembea.Mchungaji Mwakibale alifahamika si tuu Dodoma pekee bali hata nje ya Afrika kutokana na kazi yake kubwa ya kuokoa maelfu ya wanadamu waliokuwa na shida mbalimbali kwa miujiza na wokovu.

Urafiki wake na mzee Martin ulianza miaka mingi iliyopita kipindi wapo shule ya sekondari ya wavulana Tabora.Walitengana kwenye mafunzo ya Jeshi La kujenga Taifa ambapo Martin alipelekwa Oljoro na Anord akipelekwa Kanembwa.Walikuja tena kukutana Chuo Kikuu cha Dar es salaam ambako waliurejesha urafiki wao hadi walipomaliza na Martin aliporejea jeshini kwa Mara ya pili safari hii akiingia Jeshi la wananchi na Anord akipangiwa kazi mkoani Tabora kama Afisa manunuzi wa Mkoa
Miaka mitano baada ya kuanza kazi Anord alipatwa na ugonjwa wa ajabu.

Ilikuwa Siku ya jumamosi kama kawaida yake alikuwa na mazoea ya kufanya ziara za kushitukiza kwenye idara zilizokuwa chini yake wilayani.Akiwa ndani ya gari la serikali ambalo lilitumika tangu zama za ukoloni Anord alimwona mtu ambaye kama aliwahi kumwona mahali.Alimwamuru dereva wake asimamishe gari , kisha alishuka na kuelekea upande aliomwona yule mwanamke .Baada ya hatua kama tatu macho yake yakakutana na mwanamke aliyekuwa akimfuata akiwa amekaa chini ya mti wa maembe.

Alijikuta akishindwa kabisa kusogea ,akajaribu kunyanyua mdomo wake aseme kitu lakini mdomo wake nao ukawa mzito kutamka kitu .Wakabaki wakitazamana tuu bila kuongea chochote.

Macho yao yalijaribu kuzungumza lakini nayo yalipoteza uwezo huo, kila alipojaribu kumwongelesha kwa macho alishindwa.

Baada ya kuduwaa kwa takribani dakika mbili ,hatimaye macho yao yakazungumza.

" Njoo, mwenzako nateseka hapa"

" Mie siwezi mrembo wangu ,njoo wewe"

" Mie siwezi nipo kifungoni"

"Kifungoni! Kakufunga nani ? "

Waliendelea kujibishana kwa hisia huku kila mmoja akionekana kumhurumia mwenzake.

" Bosi si unaliona wingu twende barabara itachafuka" Sauti ya dereva wake ilimshtua Anord ambaye ni kama alikuwa amerudishwa kwenye ulimwengu mwingine na kumfanya afikiche macho kuhakikisha kama alikuwa akiota ama la.Hakumwona mtu mmoja bali watu wengi wakiendelea na shughuli zao za kila siku huku wakionekana kuchukua tahadhari ya mvua iliyoonekana kutarajiwa kunyesha.

" Hivi nimetumia muda mrefu sana?" Aliuliza baada ya kuingia garini.

" Umemaliza dakika arobaini ukishangaa watu"

"Acha uongo wako wewe hata dakika tano hazijafika"

" Tano?, we kweli umechanganyikiwa" aliongea akiondoa gari.

" Nimechanganyikiwa , mpumbavu mkubwa wewe kwa hiyo bosi wako amechanganyikiwa? Hembu nipishe hapa nimekuajiri upate kulisha familia yako nawe unajitia kidume kuniona nimechanganyikiwa, toka mpumbavu wewe" aliongea Anord kwa hasira huku uso wake ukibadilika na kuwa mwekundu.

Tangu aanze kufanya kazi kama dereva wa Afisa manunuzi wa mkoa ule miaka minne iliyopita hakuwahi kumwona bosi wake akiwa amefura kiasi kile huku akisifika kwa kuwa na utani mwingi kwa wafanyakazi waliokuwa chini yake.Alimtania na kutaniwa na kila mtu bila kujali nafasi yake au jinsi , mabinti walitania na kumaanisha kuhitaji ndoa naye lakini aliishia kuwaambia ataoa Mbeya tena mke wa kutafutiwa na bibi yake .

Lakini kwa wakati ule alionekana kutokuwa Anord aliyezoeleka, dereva alitoka garini kuzuia jambo lolote baya kumfika kutoka kwa bosi yule kinyonga aliyegeuka mbogo ghafla.

Baada ya dereva wake kushuka aliusogelea usukani akiwa na hasira na kutaka kuendesha gari lakini alijikuta akilegea na kuangukia usukani jambo lilimfanya dereva wake aliyekuwa akimwangalia arudi garini na kumwangalia bosi wake ambaye licha ya kumtimua garini muda mfupi uliopita alikuwa akimwona kama ndugu yake wa damu tangu siku ya kwanza ambapo alimchukua kwa shangazi yake miaka mitano iliyopita na kupeleka chuo cha ufundi Ifunda alikojifunza Umakanika na udereva kisha kumwajiri kama dereva wake.

Aliingia garini na kujaribu kumwinua ,Anord alijaribu kumzuia huku akijaribu kuzungumza kitu lakini alionekana kuishiwa nguvu kabisa hata zile ndita zilizokuwa usoni lake zilikosa nguvu na kuonesha sura iliyojaa unyonge.Alifanikiwa kumweka kwenye siti ya pembeni na kumfunga mkanda kabla ya kuwasha gari kwa kasi ya ajabu kuelekea hospitali.

Akiwa amefanikiwa kuiweka gari lile la kizamani barabarani kisawasawa hakuwaza kitu kingine zaidi ya kutaka kujaribu kuokoa maisha ya bosi wake.Akiwa katika kasi ya ajabu alishtuka kuona roli la kampuni ya tumbaku ikiwa ipo katikati ya Barabara huku watu kadhaa wakihangaika kufungua tairi la mbele , hakufanikiwa kufikiria kitu zaidi na kujikuta akijigonga kwenye kitu kizito na giza totoro lilikamata macho yake.

Mafundi waliokuwa wakitengeneza Lori walipoona gari ikija kasi mahali walipokuwa wamesimama waliamua kuyanusuru maisha yao kwa kukimbilia pembeni ambako waliamini wangekuwa salama.

Kilichofuta wengi walishindwa kukisimulia japokuwa walikuwa wamekishuhudia kwa macho yao mawili mazima bila hata kasoro yoyote.Kilichoshuhudiwa ni mwili mmoja kutolewa kupitia kioo cha mbele cha gari kabla ya kutua juu ya lori na kutua chini ambapo mapande ya nyama zenye damu yalionekana yakiwa yamesambazwa barabarani.

Gari liligonga lile lori na kutupwa pembeni na kama ilivyokuwa kawaida watu walilisogelea na kuanza kuchungulia kilichokuwemo ndani mwake.

Hakuna aliyeamini alichokishuhudia ndani ya lile gari dogo na kumfanya kila aliyeona asogee pembeni na kumtaka mwenzake aone alichokiona na kuhakikisha kama naye ataamini.

*****

"Mambo Anord"Sauti nyororo ilipenya kwenye ngoma za masikio ya Anord na kumfanya achungulie nje kupitia dirishani ili amwone mtu aliyemsalimia kwa nje.

" He! hata kama ni haraka ndo tunasalimiana nje nje tuu?" Anord aliuliza baada ya kumwona mtu aliyekuwa akimsalimia, japokuwa hakuwa akimfahamu alijikuta akitamani kuwa karibu na yule mtu.

"Nina haraka kidogo ndugu yangu naomba niende nipeleke mzigo huu kwa shangazi halafu nitakuja tusalimiane vizuri" Aliongea yule mrembo huku akionesha kikapu kilichokuwa na makopo.

" Jamani si unakaa kidogo tufahamiane halafu nakupeleka na gari yangu?" Anord alibembeleza.

" Mhhh kwa sababu umeniomba sana basi sikai sana shangazi yangu mkali sana" Alideka yule mrembo.

" Hapo umenena, karibu mgeni" Aliongea Anord akimpokea kikapu.

" Mhhh , mbona kikapu kizito sana umebeba majini nini?Alitania Anord akimpigapiga yule mrembo begani.

Japokuwa alihisiwa kuwa mwaminifu na mwenye msimamao sana kuhusiana na masuala ya mapenzi ofisini kwake Anord alijikuta amepoteza msimamo wake kwa yule mrembo.Ingawa hakumkumbuka kwa jina yule mrembo lakini alikuwa na uhakika kuwa alikuwa ni mtu aliyekuwa akionana naye kila siku kama siyo Urambo Bar alikokuwa akipoteza muda wake kwa kupata mishikaki na bia mbili tatu basi kazini kwao.

" Karibu ndani mgeni nikuandalie chakula gani? " Aliuliza Anord

" Umesema tusalimiane vizuri hujasema kula , kama chakula nitalamba asali basi nalidhika"

" Mbona nimeishiwa asali "

" Usijali mie ninayo hapa " aliongea yule mrembo akitoa moja ya makopo yaliyokuwa ndani ya kile kikapu.

" Mhh kwa hiyo hii yote asali?" Aliuliza Anord huku mate ya tamaa ya asali yakimshuka.

"Ndiyo kanituma baba nimpeleke shangazi " Alijibu yule mrembo na kumfanya Anord amkumbuke yule binti , alikuwa ni binti wa muuza asali maarufu kwenye soko la mjini.

" Si za kuuza hizi niuzie na mimi Sikujua" Alimkumbuka kwa jina.

" We unazitaka za nini wakati huna hata mke hapa?"Aliongea Sikujua akicheka.

" Halafu na jina langu nani kakutajia?"

" Jamani nisikujue mtoto wa mzee Masoud wa Bukene?"

" Haya tuachane na hayo we asali unaitumia na nani?"

"Peke yangu"

" Peke yako, unaitumiaje?"

" Nailamba"

" Mhh ngoja nikufundishe jinsi ya kuitumia"

"Kwa hiyo unataka kuipika?" Anord aliuliza baada ya kuingia jikoni.

''Nataka nikaoge kwanza ndo nije kukufundisha''

''Kuoga, hayo maji?"

''Ndiyo kuna tatizo?"

''Ndiyo tena kubwa tuu''

''Kuna tatizo mie kuoga maji ya moto?"Aliuliza Sikujua akimwangalia Anord kwa jicho la kichokozi ambalo bila hata kuelezwa alikuwa ameshaanza kupagawa na mikao ya kihasara hasara ya yule binti mara afungue kanga yake mara aifunge mara ajifanye kupandisha na kuliweka vema kufuri lake akishika nguo zake na kuibana kwa vidole vyake.Japokuwa Sikujua alikuwa binti mrembo hakuwahi hata siku moja kumshawishi Anord kimapenzi kwani akili yake siku zote ilikuwa kwa mchumba wake aliyekuwa huko kwao.Lakini siku ile alimwona Sikujua kama binti mpya aliyekuwa na kitu cha ziada tofauti na alivyodhania kabla.

''Mbona unaniangalia sana, hembu niletee chupa ya chai hapo''Sikujua aliongea kwa ukali wa kuigiza huku akimwangalia kwa macho ya kichokozi Anord ambaye akili yake haikuwaza kingine zaidi ya kutaka kumla samaki aliyekuwa mbele yake alianza kujilaumu kuchelewa kufikiria uzuri wa yule binti.Mawazo kwa mchumba wake ndiyo yaliyokuwa sababu ya kutoanza kuangalia uzuri wa wananawake wengine.

" Twende kuoga basi''Sikujua aliongea kwa sauti ambayo bila mashaka nyoka huweza kuliacha pango lake kutaka kujua nani aleyeitoa sauti.

''Kuoga nenda maji ya moto bafuni yapo nilikushangaa unajifanya kutenga maji ya kuoga kumbe unataka kahawa, hii nyumba ya kizungu hii kila huduma ipo ''Alijisifia Anord lakini kila alipomtazama Sikujua alijikuta akitamani kuwa naye mahali fulani akiutafiti uzuri wa msichana huyo.

"Twende wote we vipi?"

''Wote?"

''Ndiyo twende''Sikujua aliongea na bila kutarajia Anord alijikuta akivutwa kama mbuzi mtiifu hadi bafuni ambako hapakuwa mbali sana na walipokuwa wamesima.
Sikujua alifungulia maji yaliyomlowanisha Anord na kuyafunga kisha akutoka nje ambako alihakikisha kuwa mlango ulikuwa umefungwa na kurejea bafuni alikokuwa amemfungia Anord akiwa na kanga moja na sabuni fulani za kuogea zilizokuwa na marashi makali sana.

Anord alijikuta akilegeza msimamo wake kadri muda ulivyokuwa ukienda kwani hata pale Sikujua alipoanza kufungua vifungo vya shati lake lililokuwa limelowa upande mmoja na kisha suruali na kufungulia bomba mvua ambalo lilitoa maji ya vuguvugu yaliyotoka kwenye tanki lililokuwa juu ya nyumba ile kwa ajili ya kupasha maji , mfumo uliowekwa tangu zama za ukoloni na wafanyakazi wazawa wakawa wakiishi humo baada ya Tanganyika kupata Uhuru.

''Anord alijikuta akitoa sauti za kugugumia raha ya kusuguliwa mwili wake kuanzia kichwani hadi kwenye kucha zake ambazo zilioshwa na kung'aa kweli kweli.Harufu ya ile sabuni iliifanya bafuni paonekane kama mahali penye harufu nzuri kuliko pengine popote pale ndani ya ile nyumba.

Baada ka kumwogesha Anord Sikujua alimtaka naye amwogeshe huku akitoa kanga yake iliyokuwa imelowa na kugandiana mwilini.

Anord bila kupinga alianza kumwogesha huku Sikujua akiwa ameukomalia mwili wa Anord ambaye alijikuta yupo kwenye sayari nyingine huku zoezi la kumwogesha likikomea njiani bila kutarajia.

Anord alijikuta akivunja dafu mara mbili huku hamu ya kutaka kulila tunda ikiongezeka kadiri Sikujua alivyokuwa akizidisha manjonjo yake lakini alizuiwa na Skujua ambaye alitambua hilo baada ya Anord kumsogeza karibu tayari kulishambulia lango la timu pinzani.

''Wee! unataka kufanya nini? '' Sikujua alichoropoka mikononi mwa Anord na kukimbilia kanga yake kisha kujifunga na kukimbilia chumbani kwa Anord.

Kuna wakati Anord alikuwa akijiuliza imekuwaje yule dada aliizoea ile nyumba japokuwa hakuwahi kuingia pale nyumbani tangu akae pale na kabla yake nyumba ile ilikuwa ikikaliwa na DC wa kikoloni aliyekuwa na familia yake lakini nguvu ya kuhoji zaidi ilizidiwa na mambo aliyokuwa akifanyiwa kila dakika ilivyopita kwani baada ya kufika chumbani Sikujua alimfuta maji Anord kwa taulo safi ambalo lilitolewa chini ya kile kikapu kilichokuwa na makopo ya asali.

Baadaye alitoa marashi aliyoyapulizia mle chumbani na kumfanya kuwa mahala fulani penye harufu ya kuvutia sana.Hapo ndipo Anord alipojua kuwa kikapu kile hakikuwa si tuu na asali bali vitu vingi ambavyo vilikuwa na matumizi maalum.

Mbali na manukato pia palikuwa na kanga nyepesi nyeupe zilozokuwa zimekunjwa vizuri na kuweka chini ya zile chupa.Sikujua alitoa kanga mbili na moja akajifunga mwenyewe akiacha nusu ya kifua chake kichanga nje na nusu nyingine ikiwa ndani ya kanga.

Kanga nyingine aliikunja nusu na kumfunga Anord kiunoni ambaye muda wote alionekana kupoteza akili yake ya maamuzi kwani alifanya kila alichoelekezwa.

''Sasa ngoja nikufundishe jinsi ya kutumia asali si kujaza tumbo tuu'' alijigamba Sikujua akimpaka asali miguuuni sehemu za nyuma ya magoti na unyayoni kabla ya kuanza kuilamba asali hiyo taratibu na kumfanya Anord atoe sauti kana kwamba alikuwa akipoteza pumzi.

Sikujua aliendelea na zoezi hilo mgongoni kabla ya kumalizia kifuani ambako kulimfanya Anord apate raha za ajabu sana na kuvunja madafu kwa fujo.

Sikujua alimwamuru Anord atoe ile kanga ili amalizie shughuli ya kulila tunda naye huku akiwa amepandwa na mori alishuka kitandani ili atoe hiyo kanga ambayo ilikuwa imeloa madafu sehemu ya mbele.Wakati akishuka kwa bahati mbaya alikanyaga moja ya makopo yaliyokuwa na manukato na kuteleza kabla ya kupigiza kichwa sakafuni na kumfanya atoe ukele wa maumivu.

_____________________

Watu wote waliokuwa wamelizunguka lile gari huku wakishangaa kuona mtu ambaye alikuwa kwenye ajali mbaya kama ile kusinzia ndani ya gari na kuota ndoto ambayo bila shaka na ilikuwa ya mahaba kutokana na jinsi alivyokuwa akifanya kabla ya kujibamiza kwenye Chuma kilichokuwa kimechomoza na kumsababishia jeraha kubwa lililokuwa likitoa damu nyingi sana zikirukia hata nje.Walimtoa mtu yule na kumpa huduma ya kwanza kuzuia damu kutoka kisha kumpakia kwenye gari lingine lililokuwa limesima baada ya njia kuzibwa na magari yaliyokuwa yamepata ajali.

Anord licha ya kuwa na jeraha kubwa lililokuwa likimtisha kila mmoja aliyeliona hakusikia maumivu yoyote huku akikumbuka ndoto aliyokuwa akiiota.Alimkumbuka Sikujua lakini aligundua Sikujua yule alikuwa na nywele ndefu na mweusi zaidi ya Sikujua aliyekuwa akimfahamu.Lakini zaidi alikumbuka kuwa Sikujua alikuwa ameolewa huko Dodoma miaka miwili ikiyopita na ni yeye ndiye aliyempeleka stesheni ili akapande treni.

''Hapana !'' Anord alijikuta akiongea kwa sauti kubwa na kuwashtua wauguzi waliokuwa wamembeba kwenye machela kumwingiza wodini.

Baadaye aliamua kulala tena baada ya kugundua kuwa kushtuka kwake kuliifanya damu iendelee kutoka kichwani pake.Ndani ya wodi madaktari waliendelea kuhangaika kuokoa maisha yake lakini akili ya Anord ilikuwa ikimfikiria mrembo ambaye alikuwa amempa raha usingizini.Hakutaka kabisa kufanya kitu kingine zaidi ya kutaka kupata utamu ambao Sikujua wa usingizini alikuwa akiendelea kumpatia.

Masaa kadhaa ya kusafisha na kushona jeraha lililokuwa kichwani kwa Anord alijaribu kurejesha kumbukumbu kichwani mwake na kurejesha akili hiyo kwenye ulimwengu wa kawaida , alikumbuka tangu alipomwona msichana mrembo ambaye walijibishana kwa macho ,ugomvi na dereva wake na kisha kumfukuza.Akili yake ilimkumbusha pia chanzo cha ugomvi wao, ambacho alijua kabisa kuwa hakuwa sababu ya kumfukuza ndugu yake ambaye alikuwa ameenda kumchukua kijijini kwao.Hakujua kabisa kuwa ndugu yake huyo ambaye ndiye dereva wake aliyekuwa amemfukuza masaa machache yaliyopita hakuwa tena hapa duniani bali alikuwa ameshafariki.

Akili yake haikumwambia kuwa aliyekuwa akiendesha gari alikuwa si yeye bali dereva wake aliyekuwa amefariki.Alifikiria mahali ambako ndugu yake huyo angekuwa, alijua kabisa alikuwa amemsababishia mateso bila sababu yoyote ikizingatiwa kuwa alikuwa ugenini ambako kwa haraka haraka suluhisho lingekuwa ni kushinda kwenye mashamba ya tumbaku kufanya kazi jambo ambalo hakutaka kabisa litokee.

Majira ya saba mchana gari la serikali lilifika hispitalini na kumchuka kwani alikuwa si mtu wa kulazwa huku mwenyewe akiwa hana maumivu yoyote zaidi ya kutishwa na wingi wa damu iliyokuwa imemwagika.

''Pole kwa msiba ndugu yangu'' Aliongea dereva aliyekuwa akiendesha gari walilokuwa wamepanda baada ya kumfikisha nyumbani kwake.

''Msiba nani amekufa?"

“Dereva wako mlipopata ajari alipoteza maisha pale pale''

Anord alijikuta akishindwa kujizuia taratibu machozi yalimshuka na akajikuta akikaa chini pale pale mlangoni.Hapo ndipo kumbukumbu kuwa alikosa nguvu mara tuu alipotaka kuendesha gari.Aligundua kuwa dereva wake ndiye aliyekuwa anaendesha gari pia taswira ya tukio la kuchomwa na chuma ndani ya gari ilijirudia kichwani kwake alijiona akiwa kwenye kiti cha pembeni huku nyama na damu zikiwa zimesambaa ndani na nje ya gari.Alijilaumu sana kwa kitendo chake cha kugombana na dereva wake kwani alihisi kuwa kumgombeza kulimfanya aendeshe gari huku akiwa na mawazo hatimaye alikosa umakini kabla ya kupata ajali hiyo.

Hayo yote yalipita akilini mwake haraka haraka sana akiwa palepale chini mlangoni.

Alisaidiwa kuingia ndani na yule dereva aliyemleta kabla ya kuja wafanyakazi wenzake waliokuja kuandaa mazingira ya msiba kwani marehemu alikuwa akiishi naye kabla mauti kumfika na yeye pekee ndiye aliyekuwa ndugu pale Tabora mjini ndugu wengine walikuwa Sumbawanga ,Kigoma na Dodoma wengi walikuwa Mbeya na kwa jinsi mwili wake ulivyokuwa umeharibiwa isingewezekana kuusafirisha hadi Mbeya.

Siku iliyofuata ndugu na jamaa kutoka sehemu mbalimbali walikuja kujumuika na wafanyakazi wengine kuuweka mwili ule kwenye nyumba yake ya milele.

Hakuna aliyejua kilichokuwa nyuma ya ile ajali wengi wakiamini ilikuwa ni ajali ya kawaida iliyokuwa imetokana na mwendokasi.

Siku, wiki na hatimaye miezi ilipita lakini kidonda kilichotokana na jeraha la ajali kiliendelea kuongezeka na kutoa harufu kali iliyopekelea watu kuogopa kuwa karibu ya Anord.Japokuwa mwenyewe alidai kuwa alikuwa hapati maumivu yoyote lakini wenzake walidai kichwa chake kilikuwa hatarini sana kutokana na hali yake.

Wakati hayo yakiendelea ile ndoto tamu ilikuwa ikijirudia kila siku lakini hakuna siku aliyokuwa amefanikiwa kufikia hatua ya kulila tunda.Ndoto haikuchagua sehemu ya kutokea nyumbani ndani ya gari ofisini na popote pale ilipojisikia kutokea.

Kila mara Anord alijikuta akiaibika kuchafua nguo zake kwa madafu lakini licha ya aibu ile aliifurahia ile ndoto na kutamani imtokee tena.

Sauti za kugugumia utamu ndizo zilizokuwa sababu ya wafanyakazi waliokuwa ama juu yake au chini yake kupata cha kuongea.

" Hivi unajua Anord amekuwa kichaa?" Katibu wa Anord alikuwa akimweleza mfanyakazi mwenzake.

''Yule atakuwa na jini asipotembea atapata shida au kufa kifo kibaya....''Alimjibu mwenzake ambaye kabla ya kumalizia jibu lake alimwona Anord ambaye alionekana amesikia kila kitu.

''Umesema nini?"Anord aliuliza akiwa amefura kwa hasira.

''Sijasema kitu mbona umefura hivi?"Alijibiwa Anord jibu ambalo halikumwingia kabisa akilini.

" Nitapiga mtu hapa si mmesema habari za wehu na majini yenu?"

"Utakuwa umesikia vibaya hatujasema habari hizo ndugu''

"Halafu we mfupi ka Kisebengo unajifanya unajua kiherehere sana'' Anord alionekana kutokuwa na mchezo hata kidogo akimsogelea mfanyakazi mwenzake aliyekuwa akipendelea kumwita Kisebengo kutoka na kimo chake kifupi.

''Jamani mbona unapenda sana kunionea jamani ''Kisebengo alimlalamikia Anord ambaye walitofautiana tuu vitengo ye akiwa mhasibu wa mkoa.

Japokuwa wote walionekana ni vijana wa rika moja Anord daima alionekana mwenye mamlaka juu ya wenzake kwanza kutokana na kuwa na muda mrefu kwenye ile ofisi huku yeye akifanya kazi zote kama mhasibu na afisa manunuzi wa mkoa wa Tabora.

''Samahani jamani lakini jiangalie Anord haya mambo si ya kawaida''Yule mfanyakazi mwingine alishauri akimtetea Kisebengo na kumpa ukweli Anord ambaye kila mtu pale ofisini alijua kuwa alikuwa kwenye matatizo makubwa.

''Na we unanitafuta kila siku ''

''Nani mim?''

''Ndiyo kila siku kazi kuwateta wenzako tuu na kuingilia hata yasokuhusu''

''Eti jamani mie kosa langu nini ?"

''Hulijui kosa lako ehhe ?"

''Ndiyo, au nilivyokushauri?''

''Umenishauri zaidi ya kuongea mambo ya kuongea wanawake?"Anord alionekana kupandwa na jazba kabisa yaani hata mtu angemwita jina lake kwa wakati ule lazima angemgeuzia kibao na kumpa kibao.

''He! Na wewe ukiwa na shida tusikuambie? Ngoja tuu tukuambie ukweli wewe una matatizo makubwa kama ndugu na majirani zako wanaogopa kukuambia ukweli wakisubiri mahoka wa babu zako wakuambie wanakupoteza nakuambia kwa mema kama utanichukia sawa ila hapa umeshapata hasara''Kisebengo alijitutumua na kumwambia Anord ukweli ambao hakupenda kabisa kuusikia kwani alihisi kuonewa.

Kila neno lililokuwa likitafsiriwa na akili yake lilionekana kumchoma lakini si kwa kumfanya awe mpole kwa kuwa ni la kweli bali lilikuwa likimpandisha hasira zake alijitahidi kujizuia lakini hatimaye alijikuta akirusha konde lililokwepwa kiustadi na kisebengo ambaye aliliona tangu likiandaliwa.

Anord hakukubali akatupa jiingine ambalo liliyompata Kisebengo kisawasawa kwani alionekana kuzubaa baada ya kukwepa konde la kwanza.

Kisebengo alipelekwa mlangoni alikojipigiza na kupata maumivu ambayo yalimpandisha hasira.

Aliinuka na kumparamia Anord ambaye hakujiandaa kwa kumchapa ngumi ya uso iliyompata sawasawa na kumpigiza ukutani na kutua chini kama mzigo jambo lililowafanya kisebengo na mwenzake wapate hofu na kumwinua Anord ambaye alikuwa ameshapoteza fahamu.

Pona yao walikuwa watu watatu pekee kwani wafanyakazi wengine hawakuwepo mahali pale ofisini kwa kuwa ilikuwa asubuhi sana tena Siku ya jumamosi ambayo haikuwa siku ya kazi kwa ofisi nyingi pale mkoani na hata ofisi zilizokuwa zikitoa huduma zilichelewa kufunguliwa.

Akiwa katika kupoteza fahamu Sikujua alimtokea kama ndoto zake za siku zote lakini siku ile alionekana mwenye furaha sana.

''Mbona unaonekana umefurahi sana mpenzi?" Anord aliuliza akimwangalia Sikujua kwa macho ya uchu kwani alionekana amependeza kuliko Siku nyingine alizokuwa akimwota.

''Ninakucheka wewe''

''Mimi! Nachekesha?"

" Ndiyo unahangaika kufuta damu na kitambaaa ukihisi jasho"

''Kweli nilijua jasho kweli''Anord aligundua hilo baada ya kujiangalia mkono wake uliokuwa unelowa damu, ajabu hakusikia maumivu yoyoyote.

''Hivi nimeumia sana?"

'Ndiyo lile kovu lako la ajali limefumuka tena, lakini tuachane na hayo leo ni Siku ya furaha sana maana ni siku ambayo nitakuwa na wewe wakati wote maishani mwangu''

''Kweli ?"Anord aliuliza kwa wahka.

''Kweli mpenzi wangu utaishi nami milele na utaijua sababu ya haya yote.

Anord alifurahi sana kwani alijua raha alizokuwa akiziota muda mfupi na kukatishiwa utamu njiani akuwa akizipata kila wakati.

''Au ni ule wakati ambao ulisema nitapata nafasi ya kufaidi tunda lako?".Anord aliuliza akikumbuka kuwa aliambiwa muda ukifika hawataishia njiani wala kufaidi raha usingizini bali wataishi duniani kama watu wengine wakifurahia raha lakini kwa sharti moja la Sikujua kutoonekana nje na angewambia ukweli juu ya maisha yake.

''Bado muda kufika ila ni hatua kuelekea huko''.

Licha ya kuambiwa kuwa muda ulikuwa haujafika Anord aliona ni hatua nzuri kwani hakuna kitu alichokifurahia kama kuja kupata Uhuru wa kula tunda la sikujua wa ndotoni.Alimsogelea Sikujua na kumkumbatia na kwa kuwa alikuwa amemfundishwa mambo mengi Anord alijikuta amebobea katika kumpeleka Sikujua panapohusika bila hata kutumia fimbo yake ya kurekebishia tabia.

Alimmvua gauni lake refu lililokuwa nguo pekee iliyokuwa imeufunika mwili wake na kumbeba na kumshusha kitandani kisha kumshika kiuno chake kuelekea bafuni jambo ambalo lilimshtua sana Sikujua jambo ambalo Anord hakuligundua kwani akili yake ilikuwa katika kwenda kuanzisha raha.

''Nisubiri nakuja mpenzi''Anord aliongea akirudi chumbani kupitia sebuleni jambo ambalo bila kujua lilimtisha Sikujua na ambaye kwa hasira aliinuka na kumfuata Anord na kumpiga mgongoni na kumshitua Anord aliyeshtukia yupo hospitalini huku mbele yake kukiwa na Kisebengo na yule mfanyakazi mwenzake waliyekuwa wote kwenye ugomvi.

____________
 
REHEMA WA NJIA PANDA
II
''Asante Mungu ameamka! Kisebengo na mwenzake walijikuta wakiongea kwa sauti ya juu iliyowashtua hata wagonjwa wenzake.

''Kweli Mungu mkubwa hakuwa wakupona yule''Alisikika mgonjwa alikuwa kwenye kitanda cha tatu kutoka alipokuwa amelazwa Anord.

''Maombi yamesaidia unafikiri bila kuomba angepona kweli?" Alisikika mwingine.

''Hebu nielezeni ilikuwaje?"Anord aliongea kwa kunong'oneza akimuuliza Kisebengo wakati huo akiwa amesahau kabisa ugomvi wao wa asubuhi.

''Nitakuambia ukiruhusiwa ila kiukweli haupo sawa yaani unaonekana una jini linakutesa bora tuu utembee?" Yule mfanyakazi mwingine aliongea akimkumbusha maneno ya Kisebengo ya asubuhi lakini tofuti na wakati ule Anord alionekakana kuyatafakari maneno ambayo haikuwa mara yake ya kwanza ama ya pili kuyasikia.

''Kutembea?"

''Ndiyo''

''Mhhh kwani tatizo nini?"Anord alikumbuka raha ambazo alipanga akampe Sikujua akajikuta akitopea tena kwenye ndoto yake tamu.

Anord aliporudia ndoto yake Kisebengo hakuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kumwita daktari ambaye alimkuta mgonjwa wake akiwa katika usingizi mzito hivyo aliwataka waondoke na kumwacha mgonjwa kwa madai kuwa alipewa dawa zenye nguvu sana bila kujua kuwa palikuwa na jambo nyuma ya lile jambo.

''Inawezekanaje sasa hivi niongee naye halafu alale ghafla hivi?" Kisebengo aliamua kumuuliza daktari wakati wakiwa njiani kuelekea nje ya wodi aliyokuwa amelazwa Anord.

''Inawezekana alikuwa akiongea na wewe akiwa usingizini , kwa hiyo ni jambo la kawaida tuu''Daktari alimjibu na kumwacha Kisebengo peke yake pale nje ambapo kwa mara ya kwanza alijiuliza juu ya kupata mlo kwani tangu asubuhi ya siku ile hakuweka chochote tumboni.

____

Kwa upande wa Anord alikuwa akifaidi ndoto yake maridadi ambayo daima ilimpa liwazo na tumaini akimsahau kabisa mchumba wake aliyekuwa kijijini kwao.

Aliingia chumbani ambako alichukua mkasi mdogo na kurejea bafuni ambako alimkuta Sikujua akiwa amesimama tuu kama mwenye mawazo fulani.

''Vipi mbona na mkasi mpenzi?" Sikujua aliuliza akicheka.

''Mkasi? Labda nilijisahau"Anord naye alijibu akicheka.

''Sawa urudishe basi tuoge''Aliongea Sikujua mwa sauti nyororo ambayo ilizidi mdatisha Anord ambaye alitamani kumparamia lakini alikumbuka kuwa hakutakiwa kufanya hivyo kwani ugali mbichi huumiza tumbo.

''Basi ngoja tuu kwa kuwa umefika hapa lazima utumike sogea nikuelekeze jinsi ya kushika mkasi'' Anord aliongea akimshika kiuno sikujua ambaye wakati huo hakuwa na vazi lolote mwilini.

Sikujua alimsogelea Anord karibu sana hadi kufikia hatua ya dodo zake zilizokuwa wima ziuguse mwili wa Anord ambaye alizidi kusisimka na kujikuta akitetemeka mikono yake.

''Sogea m - m mpenzii''Alibabaika Anord wakati huo alipiga magoti kwenye kistuli kulichokuwa mle bafuni na kupanua miguu ya Sikujua ambaye alijua kilichokuwa kikifuata.Kwa uangalifu na umakini mkubwa Anord alijaribu kukata nywele zilizokuwa zimeota kwa fujo kuzunguka usiri wa Sikujua.Alikata na kusisawazisha kwa vidole vyake kupima kama zilikuwa za kiwango alichokuwa akikitaka.

''Mbona una msitu hivi mpenzi?" Aliuliza Anord huku akijaribu kupitisha kidole chake kuingia ndani ambako kulionekana kupata mchocheo wa hali ya juu kwani joto na unyevu wake uliongezeka mara dufu.

''Nilikuwa nataka mwanaume wangu wa kwanza aje kuutoa"

''Kwa hiyo hujawahi kuwa na mwanaume kabla yangu?" Anord aliuliza huku akiendelea kupunguza zile nywele kwa umakini mkubwa lakini kadri alivyokuwa akishika zile nywele ndivyo Sikujua alivyoanza kupumua kwa shida kuonesha kuwa alikuwa katika wakati mgumu.

''Ndiyo mpenzi wewe ndiye wa kwanza kwangu''

''Kweli?"

''Na wewe maswali yako hadi unaniudhi nikwambie mara ngapi ? Mhhhh " Sikujua aliongea akimpiga piga Anord mgongoni.

''Siamini mpenzi natamani hiyo siku ifike haraka nifaidi hii tamu''Anord aliongea akipigapiga kichwa cha chini cha Sikujua na kunyanyua vinywele kwa vidole vyake kwa mtindo wa kuvikusanya.

''Ashhhh mhhh enheee hivyo hivyo ''Sikujua alijikuta akijipinda pinda na akajikuta akilala kwenye sinki lililokuwa na maji ya baridi huku akimpa nafasi Anord kumuosha maeneo aliyokuwa akiyafanyia usafi na maeneo ya jirani.

Baada ya kuhakikisha kuwa alikuwa amemsafisha vilivyo alimwinua na kumbeba kisha kumpeleka kitandani ambako alimfuta maji kabla ya kuchukua kopo la asali ambayo aliimiminia kiganjani na kumsogelea Sikujua ambaye hadi wakati huo alikuwa ameshazidiwa akajikuta akipeleka mkono wake mmoja usirini ambako aliuacha ukivijari huko huko huku kidole kingine kikiwa kikilambwa na ulimi wake.

Anord aliutoa mkono uliokuwa sirini na kuupa pipi kijiti ambazo kwa kipindi kile hazikuhitajika senti nyingi kuweza kuzipata na ili kuzinunua ilikuwa ni kwa ajili ya watoto.Sikujua aliipokea ile pipi na kuitoa gandani ambapo alijikuta akigeuzwa kwa mkono mmoja wenye nguvu wa Anord kisha asali kuwekwa kwa vikundi kuzunguka kiuno chake upande wa mgongoni kabla ya kuhisi kitu chenye joto kikivinjari maeneo ya kiuno chake na kuhisi vitu vikitembea tembea mwilini mwake huku usiri wake ukizidi kuzalisha ubichi.

Baada ya ulimi kumaliza kuilamba asali iliyokuwa imepakwa mgongoni, asali ikapakwa mapajani sehemu ya nyuma ya magoti kisha zoezi la kulambwa likiendelea na kumweka Sikujua kwenye wakati mgumu zaidi kwani kasi ya kuilamba pipi kijiti ilipungua kadiri muda ulivyosogea huku sauti za kuhema zikipanda na kushuka jambo ambalo licha ya kumfanya Anord atoe ute ute kwenye silaha yake ambayo kama ingeguswa tuu basi risasi zote zingetoka kwa kasi hakushtuka wala kuacha alichokuwa akikifanya zaidi ya kuhama tuu maeneo ambapo kwa wakati huo alihamia miguuni ambapo alipaka miguu yote asali hadi unyayoni ambapo alianza kuilamba taratibu lakini hata kabla hajaimaliza asali ya mguu mmoja Sikujua alijipinda na kuacha pipi kijiti ya mzungu na kuanza kuila ile iliyotengenezwa na Muumba ambapo nayo ni kama ilikuwa imetegeshwa ilirusha risasi zilizotua kinywani mwake na kumfanya Anord ajipinde kwa raha na kuahirisha zoezi lake na kwa kuwa walikuwa wamelala kwa kupishana kichwa miguu miguu kichwa Sikujua alilamba pipi ile kwa utaratibu kuku vidole vyake vikizunguka shina la ile pipi na kumweka kwenye wakati mgumu zaidi Anord ambaye naye alijikakamua kuanza kunyonya usiti wa Sikujua ambaye ni kama alikuwa akipigwa na shoti ya umeme kwani alijipindapinda na kumgeuza Anord na kuielekeza ile pipi sirini kwake.

Kama ilivyokuwa kwa Sikujua kwa upande wa Anord naye hali ilikuwa hivyo kwani hakuwa na kipingamizi kwani aliruhusu pipi yake iingie shimoni ambako ilipokelewa kwa kiuno kilichozungushwa kwa umaridadi sana.Ilikuwa ni kama mashindano kwani kila Anord alivyoenda chini Sikujua naye alikuwa akija juu akienda juu basi atamfuata huko huko kulia alienda kushoto ili kuongeza msuguano ambao ulikuwa ndio chachu ya utamu wa zoezi.

Dakika arobaini zilipokuwa zikisha ndipo wote walikuwa wakishuka mlima mrefu ambao walikuwa wameupanda tena wakiwa wakikimbia mtu wa kwanza kushtuka alikuwa Sikujua ambaye ni kama alikuwa akirejewa na fahamu na kujishika siri yake ambayo haikutamanika kwa kulowanishwa na dafu lililokuwa nimepasuliwa na kumwagiwa maeneo hayo.

''Paah!'' kibao kilichotua kwenye shavu la kushoto la Anord na kumzindua kutoka kwenye umbumbumbu uliotokana na shughuli aliyotoka kuifanya.

''Mbona unanipiga Siku kulikoni?" Alilalama Anord akijipapasa shavu lake lililokuwa limepigwa.

''Umefanya nini mpumbavu wewe?"

''Nimefanya nini ama tumefanya nini?" Aliuliza Anord akicheka.

''Mpumbavu mkubwa wewe umeona nakuchekesha hapa'' Hapo kofi la uso lilitua usoni likifunika jicho lote na kuumsababishia Anord atoe ukelele wa maumivu.

''Mamaaaa nakufa!"Sauti ilimtoka Anord na kuwashtua wagonjwa na Kisebengo ambaye alikuwa ameanza kusinzia kutokana na ukimya wa mgonjwa wake.

''Nini tena Anord?" Aliuliza kwa wahka Kisebengo huku akijutia kitendo cha kujiingiza kwenye matatizo ya Anord ambaye alijua kabisa kuwa palikuwa na kitu kilichokuwa kikiendesha suala lile.

''Nimepigwa kofi la uso ''

''Na nani wewe umepigwa wapi?"

''Jicho la kushoto halafu limevimba'' Alijieleza Anord wakati huo wagonjwa kadhaa walikuwa karibu na kitanda cha Anord wakishangaa maneno aliyokuwa akiongea kwani kuna waliokuwa wakimshuhudia anavyojipiga kwenye pembe ya kitanda cha chuma alichokuwa amelalia.

''Mzee si umejigonga kitandani mara mbili, mara ya kwanza shavuni na mara ya pili kwenye jicho lako la kushoto sasa hilo kofi la kukutoa nundu umepigwa saa ngapi?" Aliuliza kijana mmoja aliyekuwa amelala pembeni yake akimwangalia Anord tangu alivyoanza kuhangaika kujigeuza huku na kule saa nyingine akilamba shuka lake.

''Kweli ona hata nywele zimebakia hapa" aliongea mgonjwa mwingine ambaye alikuwa kwenye kiti cha matairi.

'' Anaweza akawa na jini huyu si bure'' Alichangia mada mmoja aliyekuwa kwenye kundi la wagonjwa wagonjwa waliokuwa wamesimama kukizunguka kitanda cha Anord.

''Hapana huenda ni maralia imepanda kichwani''aliongeza mwingine.

Baadaye alikuja daktari kumpa dawa za maralia kama vipimo vilivyoonesha awali huku akishtushwa na uvimbe uliokuwa jichoni ambao ulionekana kuongezeka kadri muda ulivyozidi kupita .Baadaye Anord alijikuta usingizini lakini tofauti na mara nyingine usingizi ule ulimtisha na kuanza kupiga kelele ambazo zilimwamsha mwenyewe huku akionekana kama mgonjwa wa akili lakini kwa vipimo vya daktari vilionesha kuwa alikuwa na maralia kali ambayo kama walivyodai ilikuwa imekimbilia kichwani.

Hali ilikuwa hivyo kila alipopata usingizi na baada alianza kukimbia na kama si madaktari na wagonjwa wachache waliokuwa na nguvu basi Anord angepotelea mitaani huko huku akipiga kelele zilizokosa maana yoyote kwa kila aliyezisikia.

Madaktari walichukua uamzi wa kumfunga kamba lakini kila alipopata usingizi alijikuta akipiga kelele huku akitaka kukimbia jambo lililokuwa kero kwa wangonjwa wengine hatimaye akahamishwa chumba na kupelekwa kwenye chumba cha upasuaji mdogo na sindano kulikokuwa na kitanda kimoja ili afungiwe huko hadi asubuhi kwani muda huo ilikuwa saa mbili na nusu usiku.

Usiku mzima kelele zilitoka kwenye chumba alimokuwa amelalala Anord na siku iliyofuata asubuhi ulitawala ukimya kitu kilichowaaminisha kuwa alikuwa amelala usingizi mzito.

Nesi wa zamu akiwa ametanguzana na daktari waliusogelea mlango wa kile chumba ili wampeleke chumba kingine na kile chumba kitumike kwa ajili ya sindano na oparesheni ndogo.Walipofungua mlango walipogwa na butwaa kwani walichokishuhudia hawakuwa wamekitarajia.

Daktari na muuguzi wa zamu hawakuona walichokitegemea zaidi ya kitanda kilichokuwa kimebinuliwa juu chini.Kwa haraka wakainua kitanda kuona kama palikuwa na mtu pale chini lakini napo hawakuona chochote zaidi ya mashuka yaliyokuwa yamechafuliwa na matapishi kuonesha kuwa aliyekuwa amelala juu ya kile kitanda alikuwa ametapika sana kutokana na uchafu uliokuwa umechafua zile shuka.

Uchunguzi wa kile chumba ulithibitisha kuwa hakukuwa na mtu yeyote zaidi yao.

''Huyu mtu kweli alilala humu ndani?" aliuliza yule daktari akiwa haamini kabisa alichokioba kwani jana yake alimwacha yule mgonjwa mle ndani baada ya kusumbua wagonjwa wengine katika wodi.

Yule muuguzi wa zamu hakuwa na jibu lolote kwani hakuwepo wakati yule mgonjwa akipelekwa kule lakini alipewa tuu maelezo wakati akiingia zamu.Japokuwa alikuwa akimfahamu Anord lakini hakujua hadi analetwa pale alikuwa na hali gani.

''Si tumekuta mlango umefungwa?" aliuliza yule daktari akiwa bado haamini kilichokuwa kimetokea.

''Ndiyo huenda akawa ametoroshwa na ndugu zake na kukimbilia kwa waganga wa jadi.

''Kama kutoroshwa basi mlango ungevunjwa mbona mlango upo salama na tumekuta umefungwa?"

''Huenda waliomtorosha walikuwa na funguo''

''Acha mawazo ya kipumbavu nani ana funguo za huu mlango zaidi yangu?" Alifoka yule daktari na kuanza kuondoka kwani alijua yule muuguzi alikuwa akianza kumwingiza kwenye uhusika wa tukio lile kwani ndiye aliyekuwa mtu wa mwisho kutoka mle chumbani na ndiye pekee aliyekuwa na funguo za mlango wa kile chumba.

Lakini wazo la kusema alikuwa ametoroshwa na ndugu zake lilipuuzwa na ukweli kuwa Anord hakuwa na ndugu pale Tabora zaidi ya Mbeya hivyo uwezekano wa kutoroshwa na ndugu ulikuwa mdogo sana.

Taarifa za Anord kutoweka kiajabu chumbani alikokuwa amefungiwa kupunguza kero kwa wagonjwa wenzake zilienea kama moto wa kiangazi kwenye pori zee na kusababisha minong'ono miongoni mwa kila aliyelisikia jambo hilo ,kuna walioamini kuwa alitoroshwa kwa ushirikiano wa mmoja wa wauguzi waliokuwa zamu, kuna waliokuwa wakiamini kuwa Anord hakuwekwa humo usiku uliopita na kuna wale waliona tukio lile lilihusisha nguvu za kiimani zaidi huku wakihusisha matukio ya mgonjwa huyo wakati alipokuwa akilalamika kupigwa kofi wakati alikuwa amejipigiza kitandani.

''Nilikuambia yule kijana ana jini''Alinong'ona mmoja wa wagonjwa akimwambia mwenzake ambaye alionekana kukubaliana naye kwa kulitafakari jambo hilo na kuuliza swali ambalo lilikuwa ni kama la kukazia alichokuwa ameambiwa.

''Kwa hiyo anaweza akawa ametoroshwa na hilo jini?"

''Ndiyo , huenda ikawa hivyo maana wanadai mlango ulikutwa kama ulivyokuwa umeachwa''

''Labda ''Hao waliishia kuwaza hilo .

Daktari aliyetoa wazo la kumfungia Anord peke yake na kuondoka na funguo aliona kabisa jambo lile likimwelemea hasa baada ya askari kadhaa kuanza kuwahoji maswali kadhaa kuhusu tukio hilo la aina yake lililoharibu kabisa ratiba nzima ya siku ile.

''Una uhakika funguo za mlango ule unazo wewe pekee?" lilikuwa ni swali lililomuumiza yule daktari kwani licha ya kudai alikiwa nazo peke yake lilikuwa ni uongo ambao yeye na mtu mmoja ambaye alitamani kutaka kujua kama alienda mahali pale.

Lile swali lilizidi kumuumiza kila dakika licha ya askari polisi kuondoka pale na kuamuahidi kurudi muda wowote ama kumwita pale watakapomhitaji .

''Kwa nini alirudia sana lile swali atakuwa anajua nini?" yule daktari alijikuta akiongea peke yake badala ya kufikiri kama alivyotaka kufanya jambo lililomfanya ageuke huku na huko kujua kama kulikuwa na kiumbe yeyote aliyemsikia.

Hakuwako.

Alishusha pumzi na kupeleka kidole chake shavuni alikopasua kichunusi kilichokuwa kimeiva na kumsababishia muwasho.

Alikunja uso kwa maumivu matamu ya kutumbua kichunusi kila kabla ya kuchukua kikaratasi alichojifuta nacho mahali alipotumbua na kupaka damu na majimaji yaliyokuwa yakionesha kuwa alikuwa amemaliza uhai wa kile kichunusi.

Alisimama ,akakaa alitamani kulalia meza lakini akaona si vyema bali aende tuu nyumbani kupumzika baada ya kufanya kazi kucha pale hospitalini lakini tena akajikuta akikumbuka tukio zima la usiku ule hadi mfanyakazi yule wa serikali wa mkoa alipogundulika kutoweka hospitalini katika mazingira ya ajabu.

Tukio hilo lilimfanya akose maamuzi kwani alijikuta akisimama na kukaa kitini pale ofisini kama vile palikuwa na mtu aliyekuwa akimwimbisha ule wimbo maarufu shule ya msingi wa simama kaa..

Hatimaye alipata wazo ambalo aliona lingempa mwanga kidogo juu ya jambo lile.Aliinuka na kutoka ofisini mwake ambako tangu wale askari polisi watoke aliamua kujifungia.

Kwa mwendo wa haraka aliliacha geti la hospitali na kuelekea nje huku akili yake ikimtuma kuonana na mtu mmoja ambaye alimpa umuhimu mkubwa kwa wakati ule kwani alijua kabisa angempa mwanga fulani juu ya jambo lile mtu huyo hakuwa mwingine bali Sikitu msichana wa kinyamwezi aliyeamua kumweka kama kimada cha muda mrefu.

Kuna kitu ambacho alitaka kukijua kutoka kwake na kitu hicho aliamini kingempa ujasiri wa kulifikiria na kuliongelea lile jambo kwa uhuru na namna nyingine kabisa.

Akiwa hana hili wala lile njiani huku mwendo wake ukipungua kadiri dakika zilivyosogea kutokana na fikra alishtuka baada ya kupigwa fimbo ya mgongo iliyomfanya ageuke baada ya kuachia tusi zito la nguoni ambalo lilikuwa miongoni mwa sifa zake mbaya kwani ilifikia hatua alikuwa akiwatusi hata wagonjwa waliokuwa wamemuudhi akiwa kazini tabia iliyomweka kwenye orodha ya madaktari waliokalishwa vikao vingi vya kupewa onyo na kusuluhishwa na wagonjwa.

''Hahahahah! Ulijifanya umeniweza kunifungia mle ndani leo utalala wewe hahahaha! '' sauti ya mzaha ilimtoka mtu aliyekuwa amechafuka kwa mavumbi na uchafu wa matapishi uliokuwa kwenye nguo alizokuwa amevaa kabla ya kumchapa fimbo nyingine ambayo ilimzindua yule daktari kutoka kwenye kumtafakari mtu ambaye alimwona alikuwa akimtia wazimu kumfikiria baada ya kutoroka hospitali kimaajabu .

Alitaka kuongea kitu lakini , yule kichaa aliyekuwa mbele yake alimwashiria kugeuka kwa kidole kuangalia kilichokuwa nyuma yake naye hulka ya udadisi ilimfanya ageuke kuangalia kulikoni akijipangia kugeuka kwa nusu sekunde na kumchunga yule kichaa aliyemwona kwani alihisi ni mbinu ya ama kukimbia au kumchapa fimbo nyingine ya mgongo.

''Baba sina tegemeo tena'' aliongea mwanamke aliyekuwa akija mbele yake akilia.

''Nini mama?" aliuliza yule daktari kwa wahka.

''Siki''

''Kafanya nini mama?"

Mama Sikitu badala ya kumjibu aliinua macho kuelekea upande alikokuwa yule kichaa ambaye siku moja iliyopita aliitwa Anord mfanyakazi wa serikali mkoani akiwa kama afisa manunuzi wa mkoa wa Tabora, jambo ambalo yule daktari alilifanya lakini alishuhudia Anord akichota vumbi chini na kuijimwagia kichwani kama vile mtu achotavyo maji yaliyomo kwenye beseni kwa viganja vyote vya mikono yake na kuoga ama kuosha kichwa.

Kila mmoja alijikuta akiahirisha kumtazama Anord na kumwangalia mwenzake na kujikuta wakigonganisha macho na wote kwa aibu walikwepesha macho yao kwani kabla ya kutembea na Sikitu yule daktari alikuwa akitembea na mama yake Sikitu jambo ambalo hapo nyuma lilileta matatizo makubwa kati ya mtu na bintiye.

''Siki amefariki''

''Nini?"

_________
 
REHEMA WA NJIA PANDA III
"Siki kafariki usiku asubuhi nimemkuta amekufa"Aliongea yule mama akigeuza kurudi nyumbani kwake akiongozana na yule daktari mpenzi wake wa zamani ambaye aliamua kuachana naye baada ya kuwa na marehemu mwanaye ambaye daktari hakujua kama ni bintiye kwani walianzisha mahusiano wakiwa Arusha ambako Sikitu alikuwa akiishi na baba yake.

"Alikuwa akiumwa nini?"yule daktari alidadisi kwani alikumbuka kuwa alikesha usiku mzima na Sikitu wakitumia ofisi yake kama chumba cha kulia tunda wakisaidiwa na kitanda kidogo cha uchunguzi kukamilisha kazi yao na alfajiri Sikitu aliondoka na kurudi kwao na ile safari ilikuwa ni kwenda kuuliza kama alikuwa ameondoka na funguo za kile chumba na kumtorosha Anord ingawa alijua kuwa hakukuwa na uhusiano wowote kati yao lakini alihisi pesa ingekuwa sababu ya jambo hilo kuwa na uwezekano wa kufanyika.

"Hakuna na tatizo lolote na jana kaingia mapema sana kulala"Mama Sikitu alijibu kwa sauti iliyojaa kilio.

"Kwa hiyo huku ukikuwa ukienda wapi?"

"Hata sijui nimejikuta tuu nipo pale njiani"

"Mhhh haya ngoja nipitie hapo nyumbani nipate kunawa uso maana ndo natoka kazini"

"Sawa"

Waliachana hapo na kumwacha kila mmoja akiwa na lake kichwani mwake ,wakati daktari akiwaza uwezekano wa mafua ambayo Sikitu alikuwa akidai alikuwa nayo usiku ule kuwa moja ya chanzo cha kifo chake kwa Mama Sikitu hakuamini kitu kingine kuwa chanzo cha kifo cha mwanaye zaidi ya nguvu za giza kwani mwanaye hakuonekana kuumwa kabla ya kukata roho usiku akiwa usingizini.

Moyoni alijiapiza kuzunguka kwa waganga wa kienyeji kujua chanzo cha kifo chake baada ya mazishi huku akimshuku mke wa aliyekuwa mumewe ambaye ambaye alikuwa akiishi naye huko Arusha.

Dakika kumi baadaye yule daktari aliungana na kundi kubwa la watu ambalo lilikuwa nyumbani kwa akina Sikitu na kuendelea na shughuli nyingine za msiba.Kama ilivyo kawaida minong'ono juu ya chanzo cha kifo cha Sikitu ilisikika huku na kule kuna waliodai alikuwa amekufa kwa mipango ya Mungu , ila kuna wale walioamini mengine kama vile kurogwa habari za majini na hata kisasi na laana.

''We huyu binti nasikia huko Arusha ilikuwa kazi , kila mwanaume wake mradi akimwambia twende''Ilisikika sauti ya dada mmoja kwenye kikundi cha kina mama waliokuwa wakipanga samani sebuleni ili kupata nafasi ya watu kukaa.

''Hapana hukumbuki walichangia mwanaume na mama yake wa kumzaa?, Hii laana!''Aliongeza mwingine.

Kila mtu akasema lake na kujaribu kuwaaminisha waliokuwa wakimsikiza kwa mifano na wingi wa maelezo.Ni kweli Sikitu alikuwa akielewa na mama yake mdogo ambaye alikuwa akiishi na baba yake huko Arusha pia alikuwa amechangia mwanaume na mama yake bila kujua lakini hata kutoyafanya hayo asingekikwepa kifo kwani kifo ilikuwa ni safari ya lazima kwa mwenye uhai japokuwa wengi huamini matendo na mienendo yetu huweza kuwahisha ama kuchelewesha vifo.

Lakini hakuna kitu kikosacho sababu ndiyo maana waombolezaji walikuwa wakijariku kutafuta sababu ya kifo kile cha ghafla cha Sikitu binti mdogo na mrembo ambaye mtaani pale hakuna ambaye hakujua kuwa alikuwa ni mpenzi wa Daktari.

Walilokuwa hawalijui kuwa kulikuwa na sababu nyingine ambayo haikuwa rahisi kujulikana hata kwa mpenzi wake ambaye kichwa chake kiliamini kuwa alikuwa naye usiku wakila raha ya dunia.Daktari alianza kuhisi huenda baada ya kumalizana naye ofisini Sikitu alikuatana na mtu aliyemshawishi kutoa funguo za chumba alichokuwemo Anord kisha mtu huyo kumuua Sikitu kwa kupoteza ushahidi.

''Iliwezakanaje?''

''Iweje afie kitandani?''

''Ina maana muuaji likuja kumuulia nyumbani kwake?''

Maswali magumu yaliyokosa majibu yalipita haraka haraka kwenye akili ya daktari ambapo wazo la kutaka uchunguzi ufanyike kabla ya mazishi ya mpenzi wake lilikuja pia akilini lakini aliona ugumu wa kuuaminisha umma licha ya taaluma yake kwani kila mtu alijua ni kifo cha ghafla na hakukuwa na chembechembe za imani kuwa aliuawa zaidi ya walioamini katika ushirikina.

Siku iliyofuata shughuli ya kuuweka mwili wa Marehemu Sikitu kwenye nyumba yake ya milele na kutimiza ile hatua ya kurejea mavumbini kwa kila binadamu ilifanyika na kuacha simanzi kwa kila aliyehudhuria katika shughuli hiyo kwani vilio vya wazazi wake ambao kifo chake ni kama kiliwaunganisha katika maumivu viliongeza simanzi miongoni mwa waombolezaji.Historia yake fupi ya maisha yake ambayo waliamini ilikuwa imefupishwa sana na kifo chake.

Alitakiwa kuishi, tena kuishi sana.


Lakini mauti yalimuwahi.


Baba alilia na kumuhisi mke wake mpya ambaye alidai kuwa hampendi mwanaye Sikitu kuwa huenda alikuwa ameamua kumpoteza na kujikuta akiamua kuhangaika kwa waganga na waganguzi wa nyikani na mwambao kujua ukweli na ikifahamika kama ni kweli kilichomla kilikuwa nguoni basi angemwachia Mungu.

Kumuacha , hilo liligoma kuingia akilini liligoma kabisa na kujikuta akiamua kupoteza mawazo hayo na kuanza kumtuhumu mwanaye kwa utukutu na uhuni wake ambao kimoyo moyo alihisi aliurithi kwake ingawa angeulizwa na yeyeote angesema alirithi kwa mama yake.

Atasemaje karithi kwake wakati aliuaminisha umma kuwa mkewe alikuwa sababu ya yeye kuoa mwanamke mwingine , ndiyo hivyo wanaume tulivyo.

Mama naye alilia , alilia sana kwanza kuchangia mwanaume na mwanaye lilikuwa ni jambo lililomuumiza sana, aliumia kwani kitendo cha kukubaliana na mumewe mwanaye akakae huko kwa mama wa kambo akiwa na hasira za kutobaki na ukumbusho wa damu ya mwanaume huyo kilimuumiza sana ,alijiona mwenye hatia kwani angekaa na mwanaye wala wasingekuja ''kugongana''.

Kingine kilichomtoa machozi ni kifo kile cha ghafla ya binti yake mdogo ambaye aliamua tuu kuyawahi ya ukubwani ,alikuwa ni mwanaye wa pekee kwani tabia yake ya kuanza kutoa mimba kila baada ya kuinasa kilimfanya mgumba hivyo hakuwa na tegemeo la kuitwa mama tena na mwanaye wa kumzaa.Alijuta sana kitendo hicho lakini mwisho wa siku alimlaumu mwanaume wake , baba wa Sikitu kwani alimwacha bila kosa na kama kosa lilikuwa la mwanaume huyo aliyekwepa aibu ya kufumaniwa na kuamua kuwa mkali na kumwacha mkewe ambaye alimfumania chumbani kwao.
Siku ile akiwa na Sikitu kichanga mgongoni anatoka kumzika mama yake kwa kuwa hakukuwa na simu hakutoa taarifa hata hivyo alijua anakwenda kwake hivyo hakuoana haja ya taarifa ,akafika nyumbani milango yote ipo wazi bila uoga akaingia moja kwa moja hadi chumbani aweke salfeti lake la nguo ,alipoukaribia mlango wa chumbani akasikia miguno akahisi masikio yake yamechoka kusikia pepo za kasi alizokuwa akizisikia wakiwa kwenye Land lover ya serikali iliyowakuta njiani na kuwatoa senti kadhaa ili wafupishiwe safari.Hakuyaamini masikio yake akamua kuingia tuu kufika ndani alijikuta akitetemeka kwani alimkuta msichana akilalamika kwa raha ,amekunjwa haswa kama vile akipigwa.

Hakutaka kuamini kama alikuwa akipata raha kwa mkunjo ule lakini aliona akishangilia kwa kufunga goli ,miguu ikalegea , mikono nayo ikachoka ,mapigo ya moyo yalienda kasi kabla ya kupunguza nguvu na kujikuta akikaa chini kama mzigo macho pima anatazama lakini haoni na mtoto wake anaanza kutoa kilio baada ya mama yake kuukandamiza mguu wake dhaifu.

Kelele za mtoto ambaye sasa alikuwa marehemu ziliwashtua makomando wale waliokuwa wakipigana kibabe bila mmoja kumwonea mwenzake licha ya tofauti yao kubwa kiumri.

Huo ukawa mwisho wa watu wale kuwa wanandoa , ndoa walioamini ilikuwa takatifu wakifungishwa na padre wa kizungu miezi kadhaa iliyopita na kuanzisha ndoa nyingine ambayo iliwahusu wale makomando waliofumaniwa wakikunjana na kufurahi pamoja , lakini uhalali wao waliamua kwenda kuutafutia Arusha walikobadili na dhehebu wakijiunga na dhehebu jipya lililokuwa likikusanya kila binadamu wakiamini kuwa walikuwa wakipokea kondoo waliopotea.

Mama Sikitu kuja kuzinduka akakumbuka kilichomzimisha , hakutaka kusubiri ruhusa ya daktari akatoka mbio hadi kwa mama mkwe wake na kumuachia kichanga , kichanga ambaye baada ya kukua kidogo walikipeleka kwa baba yake na mama yake wa kambo huko Arusha , kwa kuwa walikuwa wamekijiita ''walokole'' walimpokea Sikitu na kumlea huku mama wa kambo akiwa na chuki dhidi yake kwani hakuwa na uwezo wa kupata mtoto hivyo uwepo wa mtoto asiye wake ulimkera haswa.

Miezi ikasukumana na miaka ikasogea huku Sikitu akiingia kwenye umri wa kuitwa binti na ndoa ile ikihangaika kutafuta mdogo 'ake Sikitu bila mafanikio kanisani waliambiwa wawe na subira kama Ibrahim na Sarah , hilo mwanzo liliwaingia lakini baadaye wakaanza kuhangaika huku na kule hadi walipotua kwenye kituo kimoja cha afya ya uzazi kilichotoa jibu liliwashtua kuwa mama hawakuwa na uwezo wa kuwa na mtoto, mke akakumbua ujauzito alioutoa kienyeji kama chanzo cha hali yake ila hakujua kwa mume wake pia ni tatizo , mume hakuamini kwani alijua Sikitu ni wake.

Ambacho hakukijua ni lile gonjwa alilolipata wakati akihangaika kutaka kumhakikishia mkewe kuwa alikuwa baba kweli lilimaliza mishipa yake yote ya kumfanya awe baba.

Baadaye katika harakati za mama kutafuta heshima ya ndoa nje ya nyumba akajikuta akigongana na Sikitu ambaye ndo kwanza alikuwa kijifunza yale mambo, hakuamini kabisa kama mwanaume ambaye alikuwa akimpenda zaidi ya mumewe wa ndoa alikuwa ameonja tamu ya binti wa mumewe , hapo chuki , wivu na husda vikawa na nguvu na kumfanya mama wa kambo aanze kumjaza maneno mumewe kuwa Sikitu si mwanaye kumbe nyuma yake kuchukuliana mwanaume ndiyo sababu.

Usiku mmoja wakiwa katikati ya maraha baba anagugumia kwa raha akitaka kumwaga uji wake kiduchu ndani ya kikombe akakatishwa na kitendo cha mkewe kujitoa ulingoni.

''Baba Sikitu'' aliita mke.

''Naam...''Aliongea kwa kugugumia baba mtu macho yamemtoka pima haelewi kinachoendelea.

''Nataka Sikitu arudi kwa mama yake''

''Sawa mama asubuhi nampa nauli''

''Kweli ?'' mke aliongea akiwa amekaza macho gizani.

''Kweli mke wangu kipenzi''

''Haya njoo mume'' Mke aliongea akimpokea mumewe aliyekuwa katokwa na akili zake kwa raha alizokuwa amekatishwa na kujikuita akitetemeka.

Sehemu ya usiku iliyokuwa imebaki ilitawaliwa na vilio vya raha kutoka kwa mume ambaye hakuwahi kupata zile raha tangu alipoingia kwenye ulimwengu wa mahaba, hakujua kwa nini mkewe hakuwahi kumpa kabla yua siku ile.

Miguu yake ililegea kama viungo vingine vya mwili vilivyochoka hadi saa nne asubuhi alikuwa hajaamka na alipoamka saa sita kasoro alikutana na supu matata kutoka kwa mkewe ambayo aliifakamia kwa fujo baada ya kuogeshwa na kupewa mchezo mmoja tena kwa kinywa cha mkewe.

Raha ilioje, mara chakula cha nguvu kilifuata.

Mwanamke alijipanga ugali samaki na mnafu.

''Dah! hii kweli ndoa'' Baba mtu aliwaza.

''Baba Sikitu''

''Naam unakumbuka ahadi yako''

''Ipi?'' Aliuliza baba mtu akimwangalia mkewe.

''Kwa hiyo unajifanya kusahau?'' Aliuliza mke kwa sauti ya kulalamika.

''Tumeahidiana vitu vingi mke wangu naomba nikumbushe kipenzi''

''Yaani hukumbuki kabisaaa? kweli hapa nimejua kuwa sipendwi''

''Nakupenda sana mke wangu'' Mume aliongea kwa unyonge huku akijua fika mahaba ya siku ile kama yalikuwa yamerejesha mapenzi yake kwa mwanamke yule aliyekuwa akimchukia taratibu baada ya miaka kadhaa ya kuhangaika bila mtoto.

''Kuhusu Sikitu mume wangu'' Mke akadokeza kwa sauti legevu.

''Kwenda shule?''

''Yaani we nakuchukia hivi hivi kitu kidogo tuu umesahau ndo maana nasema siku zote hunipendi wala hunijali''Alilalama mke.

''Naomba nikumbushe basi mke wangu''Alibembeleza mume.

''Si uliniahidi kuwa leo hii ataondoka?''Mke aliongea na kumshtua mume kwani hakukumbuka kama aliwahi kutoa kauli hiyo.

''Kuondoka?''

''Ndiyo kuondoka si ulisema mwenyewe usiku ama umeshaanza kumtamani?'' Aliongea mke akiwa hana utani katika aliloliongea.

''Nimtamani mwanangu wa kumzaa inawezekanaje?''

''Yaani bado unaamini kuwa huyo ni mwanao , nakueleza siku zote mama yake alikuwa na ujauzito kabla ya kuja kwako hata huelewi''Aliongea mke bila masikhara.

''Hata kama unayoongea yakawa yakweli lakini bado nitamchukulia kama mwanangu wa kumzaa siwezi kumtamani''Aliongea mume huku akiendelea kutafakari maneno ya mkewe kila siku akidai kuwa Sikitu hakuwa mwanaye halisi kutokana na ukweli kuwa aliamua kumuoa mama yake baada ya kumwambia kuwa alikuwa amebeba kiumbe chake tumboni.

''Huenda nilidanganywa kweli?'' Alijiuliza kimya kimya.

''Lakini umeniahidi kwa kinywa chako kuwa ataondoka leo''

''Sawa mama ngoja nimweleze ajiandae kwa safari''Aliongea mume baada ya kuhisi alikuwa ametoa ahadi hiyo wakati wa shughuli pevu juu ya uwanja wa usiku.

''Siyo ajiandae hata hela kama huna nitaongezea aende''

''Ataendaje leo na gari zitakuwa zimechelewa?''

''Akalale hata Moshi mjini , kesho aende Dar kesho kutwa aende huko Dodoma nikiweza nitamsindikiza''

''Sawa ''Alijibu mume na kutoka nje ya kile chumba kabla ya kumwita Sikitu na kumweleza kuwa kulikuwa na taarifa ya mama yake kuumwa akimtaka akusanye vitu tayari kwa safari.

Taarifa hiyo ya safari ilikuwa na pande mbili upande mmoja ukifurahi kwenda kuonana na mama yake ambaye hakumjua hata sura yake lakini upande mwingine wa taarifa ile ulimuumiza kwani aliona ule ulikuwa ni wakati wa kutengana na kipenzi chake ambaye alikuwa ni daktari ambaye alihisi mama yake wa kambo naye alikuwa akimvizia asichokuwa akikijua kuwa daktari yule licha ya kuwa na mama yake wa kambo kipindi alipokuwa Arusha alikuwa ameshatembea na mama yake mzazi wakati akiwa kwenye mafunzo kwa vitendo huko Dodoma.

Kwa bahati na mipango ya Mungu Sikitu alifika Dodoma na kuanza maisha mapya huku akimsahau mpenzi wake daktari aliyekuwa amemwacha Arusha hadi miaka miwili baadaye daktari yule alipohamia Dodoma na kuendeleza mapenzi yao kabla ya kuja kuhisi kuwa mama yake aliwahi kuwa na mahusiano naye ama alikuwa akimtamani lakini mama mtu alipojua kuwa mwanaye kulia kijiko chake akamwachia si kwa kususa bali kwa kuridhia huku akimwombea mwanaye asipaate laana na mikosi kwani Sikitu kama jina lake lilivyosadifu hakuwa na kitu cha kujivunia maishani mwake, hakulelewa na mama yake mzazi, alimshuhudia baba yake mzazi akimsaliti mama yake na pia alikuja kuchangia penzi na mama yake mzazi na yule wa kambo.

____________

Sikitu hakuwa kitu tena zaidi ya udongo ambao baada ya miongo kadhaa ungesahaulika, aliwaachia wazazi wake maumivu makali kumkosa lakini mbaya zaidi kila mmoja wao hakuamini kama kifo kile kilikuwa ni mipango ya Mungu.Mama mtu alijilaumu kuwa huenda ilikuwa ni adhabu ya Mungu wake kwa kuuua mimba nyingi alizozipata baada ya kumwachia mumewe mtoto na kuanzisha namna nyingine ya kuishi kiharamu akiutumia mwili wake kupata ujira usiokatwa kodi ya serikali yoyote iwe ya mtaa, mji na hata serikali kuu.

Baada ya kuzunguka kwa waganga njaa wengi waliojiita waaguzi ambao walimaliza pesa za kila mmoja kwa wakati wake yaani baba mtu na mama mtu ambao kila mmoja alifanya mambo yake kisiri zigo la tuhuma na lawama lilitua kwa mama wa kambo kila walipopita kuwa alimtumia jini lililompeleka udongoni.

Kwa nini wasimtaje huyo kama kila walipoonda walikuwa wakipishana mtu na mke bila kujuana na waganga njaa hao walikuwa wameweka mawakala wa kujua historia zao na kumjua mtu ambaye wakimtaja basi kila amtu atasema .

''Ila kweliii..''

Naam walizunguka haswaa hadi walipojikuta wakitua kwa mganga mmoja ambaye alikuwa akisifika kwa kuona ya ulimwengu wa giza na kujua kilichofanyika.Huyo hakuwa na porojo anakuwekea beseni la maji unaona kilia kitu kama televisheni, tena kwa kujiamini aliwaaweka pamoja mke na mume waangalie sinema hiyo iliyotisha.

Kwanza walimwona Sikitu akiwa kitandani akihangaika kama anawaza kitu, ghafla akapatwa na usingizi mzito yaani hageuki katulia tuli, mwanamke mmoja wa kizungu akaingia pale ndani akipitia dirishani tena dirisha likiwa limefungwa na kumwangalia binti yao kabla ya mwanamke huyo kugeuka sura na mwonekano kuwa kama wa Sikitu na kufanya Sikitu kuwa wa wawili.

Kama walivyokua ameiingia Sikitu mpya alitoka kupitia dirishani bila kulibughudhi ajabu alikuwa akitembea kama hapakuwa na ukuta.

Picha likahamia hospitialini ambako daktari alimpokea kwa bashasha akimsimulia juu ya habari za uwepo wa mgonjwa aliyeitwa Anord kabla ya kupeana penzi lilimpagawisha daktari na kusinzia akimwacha siku mpya akichukua funguo na kuelekea chumba cha Anord.

Hapo mganga huyo akakatisha kusema hayawahusu na hakutaka kuingia hatarini akakosana na majini ambao hushirikiana naye akiwa kazini.

''Kwa hiyo yule mwanamke wa kizungu ni jini aliyemuua mwanangu?''Baba mtu akauliza kwa hamaki.

''Ndiyo ila amemuua kwa sababu maalum kwani marehemu alikuwa akimvizia mpenzi wake yule jini'' Alijibu mganga akijiamini.

''Kwa hiyo huwezi kumuua huyo jini aliyetuulia mwanetu tutulize hasira zetu na huyo mwanaume wa huyo jini ni nani?''Aliuliza mama mtu akiwa na chuki kubwa juu ya jini muuaji wa mwanaye.

''Nani jini....?'' hakumalizia kauli yake walishuhudia kichwa cha mganga yule kikikatwa na jambia ambalo halikushikwa na yeyote na kuwafanya wapige kelele kwa hofu na kupoteza fahamu.

________
TUKUTANE KESHO KABLA YA MECHI YA MBAO NA SIMBA
 
REHEMA WA NJIA PANDA IV


Kwa upande wa Anord baada ya kuithibitishwa kuwa hakukuwa na tiba yoyote ya kumaliza tatizo lake ambalo kila mtu alimwona ni kichaa ikashauriwa arejeshwe nyumbani ambako tofauti na ilivyotegemewa mchumba wake aliyemwahidi kumwoa hakutaka kujitenga naye zaidi alimhudumia kwa shida hivyo hivyo huku akishirikiana na wazazi wa Anaord wakihangaika kwa wanganga mbali mbali wa jadi ili kumrejesha katika hali ya kawaida jambo ambalo hata baada ya miezi zaidi ya ishirini kupita hakuna walichofanikiwa katika kumrejesha katika hali yake ya kawaida.


Mwili wake ulitisha, harufu kali ilitoka mwilini mwake, kinywa kilitisha kwa kuwa na meno yake ya njano yaliyotoa harufu mbaya, vidole vyake vya mikononi na miguuni ilijawa na vunza waliokera hata kuwafikiria achana na kuwatazama mwili wake haukupenda usafi kwani licha ya juhudi kubwa ya mpenzi wake kumfanyia usafi lakini hakuna kilichofanikiwa kwani kama nguo safi itachafuliwa kwa maksudi na kuchanwa chanwa kisha tambala chafu la jaani basi litachukua nafasi ya nguo hiyo.


Mpenzi wake alitukanwa huku akimtaja Sikujua kama mke wake halali ambaye siku chache zilikaribia basi angefunga naye ndoa.


Hakuna alikuwa akimjua huyo Sikujua aliyemwita mchumba wake tajiri na mrembo kuliko wanawake wote duniani , ndoto zake tamu ziliendelea popote alipojisikia lakini safari hii ziliisha kwa kilio na maumivu kwani mwishoni Anord alikuwa akilalamika kuteswa kwa kung'atishwa nge wakali wenye sumu lakini baada ya muda mfupi alijipeleka jaani na kukusanya mabaki ya vyakula vilivyooza kuwa kama maji yake ya kuoga.


Anord hakutamanika, familia yake ilimchoka , hakukuwa na ndugu wala rafiki aliyekuwa tayari hata kujitambulisha kuwa alikuwa nduigu yake,baba alimchoka na kutamani hata achomwe sindano ya sumu ili afe apunguziwe mateso yale kwani sasa tuhuma zilienda kwa kila ndugu kwenye familia ile ambaye angefanikiwa kimaisha.


Wadogo zake walimchoka na kumwogopa kwa mambo aliyokuwa akiyafanya lakini licha ya wote kumwogopa na kumkimbia kulikuwa na mtu pekee ambaye hakujitenga naye huyo alikuwa Atuganile Mwakalile mpenzi wake ambaye alikuwa mtu pekee aliyemtia moyo mama yake Anord.


''Atu mwanangu'' Aliita mama Anord siku moja walipokuwa njiani kuelekea kwenye kijiji kimoja ambako waliambiwa kulikuwa na maji yaliyotoka kwenye chemchem ya moto iliyokuwa ikitoa maji ya moto waliyoamini ilikuwa ikitoa tiba kwa magonjwa yote ya ngozi , walitaka wayachote kisha wampeleke Anord ayanywe ili hata ngozi yake iwe nzima.


''Abee mama''


''Hujachoka?''


''Kutembea?''


''Hapana kuhangaika na Anord''


''Mama siwezi kuchoka Anord atapona siku moja haya ni mapito tuu ya dunia''Alijibu Atuganile akimwangalia aliyeamini ni mama mkwe wake mtarajiwa ambaye alikuwa amekata tamaa.


''Nikwambie ukweli mama yako nimechoka sahizi kuhangaika natamani hata Mungu amchukue apumzike''Aliongea yule mama wakati huo walikuwa wakishuka kilima cha mwisho kufika kijiji kilichokuwa na chemchem hiyo ya moto kwa mbali waliona kundi kubwa la wa watu wakiwa wamezunguka bwawa dogo , watu jinsi la rangi karibu zote walikuwa hapo si wazungu si wachina na waafrika kibao walikuwa hapo.


''Mama usichoke atapona''


''Kweli mwanangu?''


''Kweli mama usichoke naamini atapona''


''Mhhh haya''walimaliza hivyo na kufikia kundi kubwa la watu ambao hawakuwahi kufikilika kuwa wameshuka na kupanda vilima kufika pale.


''Inatakiwa aje mgonjwa mwenyewe aingie kwenye hicho kibwawa kama unavyoona wengine''Aliongea mzee mmoja aliyekuwa akiratibu tukio lile ambalo halikuwa na malipo yoyote labda kwa mtu atakayejisikia angetoa chochote kama shukrani baada ya kupona kwani ilikuwa ukitoka kwenye maji basi kila kitu kinakuwa safi.


Kuna waliokuwa wakiletwa wakiwa na degedege na kifafa lakini walitoka wakiwa safi kuna wakoma walitoka na ngozi nyororo hali hiyo ilimtia moyo Atu lakini mama Anord alikuwa ameshachoka hasa kilifikia namna ya kumleta Anord aliyekuwa mgumu kuongozwa bora hata ng'ombe kichaa.


Anord angeweza kweli kufika katikati ya vilima vile mchongoko masaa saba ya kutembea kwa miguu juani, mbaya Anord mwenyewe haambiliki na yeyote.


''Si tutarudi kesho mama?''Aliongea Atu wakati huo walikuwa wakipanda vilima kurudi kijiji kwao.


''Ndiyo '' aliongea mama kinyonge huku moyoni akijiwazia mengine.


''Nani atakuja na mbwa kichaa yule asiyemsikia yeyote huku vilimani ?'' Alijiwazia mama Anord kimya kimya.


''Sawa mama tutafika kama saa sita ama saa nne hivyo tukifika ukapumzike mie nitatafuta atakuwa amelala wapi leo.'' Aliongea Atu kwa dhati.


''Sawa''Alijibu mama Anord kifupi huku akiwa na yake kichwani.


''Nikifika naanzisha ungonjwa nisisumbuke tena huyu mwanamke gani kamng'ang'ania kichaa kama ruba vile wanaume kibao timamu na wenye hela wanamfuata ye yupo na kichaa Anord mwenyewe hamtaki anamtaka sijui kichaa mwenzake Sikujua''Alijiwazia mama Anord akimshangaa Atuganile ambaye aliamini Anord ndiye mwanamme pekee wa kumuoa.


Saa sita kasoro usiku Atu alimwacha mama Anord nyumbani kwake na kuelekea kwenye maeneo ambayo aliamini angemkuta mpenzi wake Anord.


Baada ya kuzunguka kwenye majalala kadhaa kuanzia shuleni, hospitalini na sokoni Atu hakufanikiwa kumwona mpenzi wake na kuamua kurejea nyumbani akipanga kumtafuta asubuhi.


Akiwa na uchovu wa safari na mawazo mengi juu ya maisha yake na ya kipenzi chake alirejea nyumbani kwake akipishana walevi wachache ambao walikuwa hoi hawana hali wakielekea makwao.Hatua chache kutoka nyumbani kwake alisikia sauti za watu waibishana kwa sauti kubwa nyumbani kwao.


''Nimesema nimekuja kumfuata mke wangu, mmempeleka wapi?''Sauti kali ilisikiaka Atu aliijua, ilikuwa ya kipenzi chake.


''Una mke wewe mwehu?,, hata mwanangu angekuwa kilema siwezi kukupatia umwoe''Sauti ya mama Atu ilisikika akiongea kwa hasira hapo Atu aliamua kujibanza nyuma ya jiko lao la udogo lililoezekwa nyasi ambalo usiku ule lilikuwa ni nyumba ya kuku waliokuwa wametotoa , kuku wanne kila mmoja kona yake.


''Atu mke wangu hata mfanyaje na mwenyewe anajua kuwa nampenda sana''


''Akupende Atu niliyemzaa au kuna 'liatu' lingine likichaa kama wewe?''


''Kati yangu na wewe nani kichaa ambaye hajua hata mwanaye yuko wapi muda huu?''Anord aliongea maneno yaliyomchoma mama mtu ambaye kwa kujibalaguza akajikakamua.


''Mwanangu yupo ukweni ameshaolewa na wasio mapunguani kama wewe''


''Mie nina akili zangu si kama wewe mwongo unayedai mwanao yupo ukweni kwa wenye akili na wasio mapunguani wakati nijuavyo Atu yupo na mama yangu kwetu na leo naenda kulala nyumbani maana mke kanifuata kwetu''Anord aliongea akiondoka akiwaacha wazazi wa Atu pale nje wakiwa hawana la kufanya kwani licha ya kuwa walikuwa wakibishana na Anord juu ya alikokuwa mwana wao hawakujua mahali halisi alipokuwa binti yao wakabaki wanamtazama Anord aliyekuwa akipotelea kwenye nyumba nyingine.


''Ila kama nilimwona Atu akiwa ametanguzana na mama yake huyu punguani?'' Aliongea baba Atu kwa sauti ya unyonge.


''Kweli huyu binti sijui anatutafutia balaa gani , yaani kwenye ukoo wa baba yake na mama yake hakuna punguwani wala aliyewahi kuwa punguwani sasa anataka kutuletea punguwani mkubwa, we Mungu tusaidie'' Mama Atu alinung'unika.


''Yaani kila siku watu wanakuja wanataka kumuoa lakini lenyewe limekazania hili punguani''


''Hata simwelewi sijui anatutafutia nini sijui wamemroga sijui wamemfanyaje si umesikia yule mtoto wa Kambona ambaye ni Mkurugenzi wa benki naye anatuma mshenga kesho lakini hili toto tulipe nini?''


Baba na mama walilalama pale nje kabla ya kuingia ndani bila kujua kuwa binti yao aliwasikia.Katika mambo ambayo Atu hakutaka kuyasikia ni kuolewa na mtu ambaye hakuwa Anord, aliyakumbuka maneno ya Anord kuwa alikuwa akimpenda na alikuwa akijua kuwa alikuwa anampenda akajikuta akiingiwa na furaha iliyoyeyushwa na maneno ya wazazi wake.Akakumbuka tena maneno ya kuwa Anord alienda kulala nyumbani kwa sababu yake akafarijika na kutamani kurudi akalale na Anord lakini akajikuta akiogopa wazazi wake wangemuuliza alipokuwa amelala na akiwajibu alikuwa amelala kwa waliyemwita punguani basi angewakera wazazi wake lakini hata wazazi wa Anord wasingeweza kumruhusu alale kwao.


Taratibu akasogelea mlango wa bati wa nyumba yao lakini akajikuta kisita kufungua baada ya kuwasikia wazazi wake waliokuwa wamesimama sebuleni wakimtupia lawama nyingi kwa uamuzi wake wa kushirikiana na mama yake Anord katika kutafuta tiba lakini mbaya zaidi kitendo cha kutaka kuolewa na Anord kiliwaudhi wazazi wake.


''Siwezi kulala humu ndani kama mwanangu wa pekee hayumo na sijui aliko, yule ni mke wa mtu mtarajiwa hatakiwi kulala mtaani huko atafundishwa tabia mbaya na mchumba wake yupo hapa hapa kijijini'' Mama Atu alisimama na kuingia chumbani na mumewe akamfuata nyumba.


Haraka haraka Atugaline akaamua kuondoka na kujificha nyumba ya banda la nguruwe ambao walianza kumpigia kelele ,hakujali akaendelea kuvumilia hadi pale alipowaona wazazi wake wakitembea kuelekea upande wa nyumba ya rafiki yake Agnes alichokifanya ni kuelekea jikoni kwao kwa lengo la kujificha lakini alipoingia humo kuku walianza kupiga kelele na kuhisi wazazi wake wangekuja kuchungulia kuona kulikuwa na nini.


Baada ya kubisha na nafsi yake kwa muda mrefu kidogo, aliamua kufungua mlango na kuingia chumbani kwake kujilaza kitandani huku kichwa chake kikiwa na maswali mengi ambaye hakumwona wa kumpa majibu zaidi ya mwenyezi Mungu ambaye aliona kuwa alikuwa jibu kwa kila swali la kila kiumbe huku akiamini juhudi zake ni njia pia.


Dakika kumi baadaye wazazi wake walisikika wakija nyumbani huku wakimlaumu sana kwa kujihusisha na Anord.


''Mbona mlango tuliufunga kuna mtu kaingia?''Aliuliza mama yake Atu baada ya kuufikia mlango.


''Labda kama ulijisahau mama''


''Hapana nilifunga na hii kamba ya kufungia nusura iniumize hapa kidoleni'' Alijibu mama Atu akifunga mlango baada ya kuingia.


Huko ndani lawama zilikuwa kwa Atu ambaye hawakujua kuwa alikuwa akiwasikia , mama yake alizunguka njia nzima akiwaomba 'mahoka' awalindie binti yao huku akimwombea msamaha kwao kwa kitendo cha kutaka kuolewa 'punguani' Anord.Wakati akiendelea 'kubwabwaja' pale ndani ghafla alisikia kikohozi ambacho aliyekitoa ni kama alikuwa akikizuia kisitoke.


''We Atu''


''Abeeh''


''Umeingia saa ngapi?''


''Muda si mrefu''


''Muda si mrefu , ulikuwa wapi?'' Aliongea mama yake akimwiga huku amebana pua.


''Mama Anord alise....''


''Ishia hapo hapo kila siku mama Anord sijui mama 'punguani' Anord , sitaki kusikia tena hilo jina hapa nyumbani''Mama Atu aliongea akiwa karibu kabisa na mkeka aliokuwa ameulalia Atu wakati huo baba yake alikuwa ameshaingia kulala.


''Lakini mama mb.....''


''Sitaki kusikia upuuzi wake , kwa taarifa tuu kesho kuna ugeni wako sitaki tena kumsikia Anord wako''


''Mama lakini simpendi mtu mwingine zaidi yake'' Alibembeleza Atu.


''Mwanangu ndoa si lazima umpende mtu kabla mtapendana huko huko, mbona mie niliolewa na baba yako nikiwa simjui kabisa na tukapendana, jitahidi mwanangu achana na lile 'chizi' si unaona hali yetu hapa nyumbani badili maisha yako sie jua limeshazama tunasubiri tuu giza liingie , hatutakuwa tayari kukuona unajiingiza kwenye majanga Anord hata wazee wake wameshamkatia tamaa, unasemwa mwanangu, wanakusema hata ndugu zake wangine wanakulaumu kuwa huenda umemroga sasa unajutia''Aliongea mama Atu kwa sauti ya upole.


''Hapana mama siwezi kuolewa na mtu mwingine zaidi ya Anord''


''Mwanangu, nisikilize mama yako, wasikilize wakubwa wako, Anord hana maisha mengine zaidi ya mateso yale angalia njia nyingine ya kufuata''


''Atapona mama niamini'' Atu alimwambia mama yake kwa upole.


''Mwanangu fikiria vizuri'' Aliongea mama Atu na kutoka chumbani kwa bintiye.


''Vipi amekubali?'' aliulizwa mama Atu na mumewe baada tu ya kufika chumbani kwao akijilaza kwenye godoro la sufi liliokuwa juu ya kitanda cha ngozi.


''Kesho hakikisha hatoki hapa , asije kutuaibisha bure''


''Sawa mume wangu nitamwambia''


Wakalala.


Asubuhi ya siku iliyofuata, ilikuwa siku muhimu na ngumu kwa wazazi wa Atu kwani licha ya kutegemea ugeni ambao waliamini ungeleta unafuu wa familia ile kimaisha , lakini hali ilikuwa ni ngumu kumshawishi Atuganile akubaliane na wazazi wake juu ya suala la ndoa.


Atu alikuwa hamfikirii mtu mwingine zaidi ya kipenzi chake Anord ambaye wazazi wake walidai ni chizi na asingepona.Kila alipofikiria ndoa wazo la kwanza kumjia lilikuwa ni kati yake na Anord na si vinginevyo , alitamani kuwasikiliza wazazi wake na kukubaliana nao lakini aliona kama alikuwa akimwonea Anord ambaye kuumwa tuu ndiko kunamfanya asifanye mipango ya kumuoa ,aliumia kumwona Anord akimpenda hata akiwa katika 'ukichaa' wake.


Alijua fika hali ngumu ya maisha yao, maisha ya familia isiyojua ladha ya chai na kama uliijua basi ni enzi za utoto wake ambapo alienda kwa akina Anord wakidowea chai baada ya ndugu wa Anord kuja na sukari watokapo Mjini.


Alitamani kuibadilisha familia yake lakini moyo ulimwambia wa kubadilisha ni ndoa yake na Anord na si mtu mwingine.


''Mama siwezi kuolewa na mtu mwingine isipokuwa Anord''Alisikika Atu akimwambia mama yake bila kujua kuwa aliyekuwa amesimama nyuma ya alipokaa si mama yake tena bali baba yake aliyekuwa akifikiria mengi sana juu yake.


''Umerogwa wewe utake usitake , utaolewa na leo sitaki uniaibishe labda kama mimi si baba yako, unikane kwanza mie ndipo umkane mchumba wako''Aliongea baba Atu kwa sauti ya chini lakini ya ukali.


''Lakini baba mbona mnanilazimisha'' Atu aliongea kwa sauti ya chini huku akitetemeka , hata mwenyewe hakujua alitetemeka kwa sababu ya hasira ama uoga.


''Ni kwa ajili ya maisha yako Atu, sisi siku yoyote tunakufa utaishi maisha gani huyo Anord leo mwezi wa ngapi yupo kwenye 'ukichaa' ?''


''Atapoana baba''


''Hujui mwanangu ukichaa hauponi , hutulia tuu na siku yoyote huibuka, atakuja akuue siku moja mwanangu'' Mama alichangia akiwa na bakuli lilijaa viazi vitamu ambavyo hakuna ambaye alikuwa na hamu navyo ila mazoea tuu yalimfanya awe amevipika.


'' Lakini.....''


''Lakini nini mwanangu fungua macho uone, ngoma zako za masikio zimekufa husikiii kabisa, unatemebea ila hujongei, umerogwa kirogo kibaya sana olewa mwanangu utakuja kutulilia kaburini kutuomba msamaha kwa kutotusikiliza lakini utakuwa umechelewa kama mie mama yako naomba usituaibishe leo tumepanga kila kitu''Mama Atu alimkatisha mwanaye na kumweleza maelezo ambayo licha ya kubeba hisia nyingi za upendo kwake lakini ujumbe huo uliingia sikio moja na kutokea la pili.


''Siwezi kama laana mniachieni nikaokote makopo na huyo mumuonaye kichaa siolewi na mtu mwingine zaidi ya Anord''Aliongea Atu kwa hasira na kuondoka.


''Atu....Atuuuuu ,,,,, Atu mwananguuu'' aliita mama lakini Atu aliwageukia kama kuwaaga na kuanza kukimbia.


''Anaenda wapi yule?''


''Achana naye atarudi tuu hana pa kwenda atarudi tuu hapa''Aliongea baba Atu na kuingia ndani huku akiwa na hasira sana.


Mama Atu aliangalia njia aliyopita mwanaye huku taswira ya tukio la Atu akiinuka na kuanza kuondoka nyumbani ikijirudia akilini mwake maneno ya mwanaye yalijirudia kichwani kama mwangwi ulijirudia na kukera akili yake.


Alimpenda mwanaye, na alitaka aolewe na mtu mwenye msimamo wa maisha kwa ajili ya maisha yake baadaye lakini mwanaye alikataa akimng'ang'ania mwanaume ambaye kila alimwona alimtazama kama 'chizi' ambaye maisha yake yalikuwa ni hadithi iliyokera na kutisha , akihisi mwanaye karogwa si bure.


''Anaenda kujiua?''


''Hapana, atajiuaje na mpenzi wake anayempenda hajafa?''


''Au laana tulizomtisha nazo?''


''Mbona hajawahi kuwa na tabia mbaya huyu mtoto?''


Mama Atu alijiuliza maswali yale peke yake na kuelekea ndani ya nyumba lakini kabla ya kuongia ndani alitupa macho kwenye njia aliyoondokea mwanaye.


''Ugeni''Alijikuta akiongea mwenyewe huku macho yamemtoka pima kwa mshangao.


________________


Ulikuwa ni ugeni walioutarajia lakini kutoka na hali waliyokuwa nayo wakati ule ni kama vile hawakuwa na taarifa nao.Kitendo cha binti yao kumng'ang'ania Anord kilitibua tumaini walilokuwa nalo wazazi hawa.


Zile ndoto za binti yao kunywa chai kila alipojisikia, kuangalia televisheni na hata kupanda gari la mumewe zilififishwa na msimamo wake juu ya penzi lake kwa 'kichaa' Anord.


''Karibuni ndani''


''Asante hapa hapa nje panatosha mama ,kaupepo ka mti kanahuisha ujana wetu''


''Hahahaaaaa! uzee haukwepeki mwanangu, ngoja niwaletee viti''


''Usihofu mama tutakaa hapa mkekani''


''Basi ngoja niukung'ute maana upepo umeshajaza vumbi'' Aliongea mama Atu na kukung'uta vumbi na maganda ya viazi vitamu yaliyokuwa yamegandiana mkekani.


''Karibu sana mwanangu''


''Asante shikamoo mama''


''Marhaba habari za utokako''


''Salama kabisa mama nimemwona Atu kwa mbali kule ng'ambo''


''Nilimtuma kwa shangazi yake kama akimkuta atafika sasa hivi'' Alidanganya mama Atu.


''Anhaaa , sawa sawa, kama nilivyosema siku ile leo nimekuja kukamilisha hatua za mwazo za mpango wetu'' Alianza kujieleza mshenga ambaye alikuwa ni mjomba wa mchumbiaji ambaye hawakutofautiana sana umri.


''Hakuna tatizo kabisa mwanangu baba yako yupo ndani ngoja nimwite'' Aliinuka mama Atu na kuelekea ndani akimwacha mshenga na kijana mdogo ambaye ni kama alimsindikiza kupunguza ukali wa safari ya kufika pale.


Dakika mbili baadaye baba Atu alitoka akiusawazisha uso wake uliokosa tabathamu kutokana na msimamo wa bintiye.


''Karibu sana kijana''


''Asante sana , shikamoo''


''Marhaba''


''Shikamoo'' Aliamkia yule mdogo.


''Marhaba pole na safari''


''Asante sana''


Baaada ya maneno mawili matatu bahasha ndogo ilipokelewa na baba Atu na kuwakaribisha sebuleni ambako wageni walikaribishwa chakula, chakula ambacho kiutaratibu kilipaswa kupikwa na Mchumbiwaji ili kupimwa mapishi lakini kwa ubishi wa bintiye mama mtu akaamua kujitwika jukumu hilo kana kwamba ndiye aliyekuwa akiolewa.


Ugali wa muhogo na kuku aliyekaangwa vyema, kilikuwa ni chakula kitamu haswa tena kuku mzima si mbavu mbili , shingo na kipaja kimoja.


Shukrani na pongezi kwa mpishi zilitolewa baada ya mlo ule safi na wageni wakaaga na kuahidi kuja safari ya mwisho kwa kumalizia kabisa safari hiyo wangekuja na mchumbiaji kabisa. Wageni wakasindikizwa mita kadhaa kisha wazazi wakabaki na tafakari juu ya binti yao ambaye ndiye sababu ya ugeni ule.


''Kwa hiyo chakula umekipika wewe?''


''Hapana kapika mwenyewe''


''Nilijua umepika wewe , ningeshangaa kwani siye uolewaye''


''Kapika lakini sikumwambia kwa sababu gani kwani ningemweleza asingepika yule binti na kiburi chake cha usichana''


''Hivi kama asingepika basi shughuli ingeharibika kabisa''


''Tena ingeharibika sana na tungeaibika''Alijibu mama wakati huo walikuwa wamekaa mkekani chini ya mti huku hewa safi ya oksijeni kutoka kwenye majani ya mti ule ikiburudisha nafsi zao na kupooza miili yao iliyokuwa imechoka kutokana na shughuli za miongo kadhaa.


Walijikuta wakikaa kimya kwa muda huku kila mmoja akiwaza lake, wakati mama Atu akifikiria namna ya kumpanga Atu ili isijulikane kama alikuwa amepika chakula badala yake.Kwa upande wa baba Atu Mzee Mwakalile alikuwa akiwaza yake, tathmini ya maisha yake na ya familia yake kwa miongo kadhaa huku akijaribu kubashiri maisha ya mwanaye kama akiamua kukubaliana nao ama akiamua kuifuata njia yake.Hofu kuu ilimeingia alipojaribu kubashiri maisha ya mwanaye akiwa ameamua kufuata njia yake, kuishi bila mume na kutangatanga huku na huko baada ya mauti kumkwaaa Anord ambaye hataki hata kulisikia jina lake kutokana na upunguani wake lakini pia picha ya mwanaye akiwa punguani kama alivyo Anord kwani ukienda na kichaa waweza kuwa kichaa zaidi ya kichaa halisi.


Hapo akajikuta akishusha pumzi na kuingia sebuleni ambapo alikiendea chungu cha maji kilichokuwa konani kilichohifadhi maji yaliokuwa na ubaridi ulioburudisha koo na nafsi na kurejea mkekani ambako alikutana na ugeni mwingine ambao haukuhitaji maelezo ya kinywa kumtia mashaka.


''Kulikoni mbona hivyo?'' Aliuliza mama Atu aliyeshtushwa na mwonekano wa Agnes rafiki wa Atu.


''Atu anakimbizwa na Anord akiwa na panga ni....''


''Wapi huko mwanangu?'' Alikatishwa na sauti nza wazazi wale waliojawa na uoga.


''Kule kilimani nimesikia kwa watu waliokuwa wakitoka kijiji jirani ni muda umepita sasa''


''Mungu wangu mwananguuu...!''Mama Alianza kutoa chozi na kelele ambazo ziliwashtua na kuwavuta majirani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom