LIVE BAND MBEYA.

LIVE BAND MBEYA.

KIGHERA

Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
84
Reaction score
29
Habari za j2,
nimekuja mbeya kama miezi 2 imepita ila weekend huwa naboreka, maana huwa napendelea zile live band (mziki wa watu wastaarabu) ila sijua kwa mbeya zinapatikana wapi.
Sasa wazee wa mbeya nijuzeni ntazipata wapi angalau kuanzia ijumaa nikapumzishe akili.
 
Back
Top Bottom