Nimefuatilia mechi mbili za Serengeti boys huko Gabon nimevutiwa na wachezaji kadhaa[emoji123] [emoji123] [emoji123]
Binafsi Nimevutiwa sana na uchezaji wa Dickson job na Abdul Suleiman pia...
Habari zenu wakuu.
Kuanzaia miaka kama ya 2008 kurudi nyuma, hapa tanzania tulikuwa na kituo cha tewvision ambacho kilicho nivutia sana..... nilikuwa na vipindi vizuri sna .. kwamm binafsi...
Unapozungumzia muziki wa HipHop Tanzania umetoka mbali sana,Huwezi kuuzungumzia mziki wa hiphop bila kuwataja Salehe jabri 2Proud na Kwanza Unit.
Sasa hiki ni kisa walikutana nacho Kwanza Unit...
Copy ya wimbo wa "wazee wa kaaazi" Les Wanyika uitwao Afro, Nimotoka kuusikia mda si mrefu katika moja ya radio FM za hapa mjini. Ama hakika huyu kijana katutendea haki saana.. Mungu endelea...
Heshima kwenu wakuu.
Naomba kwa yeyote mwenye kuwa nayo hiyo beat ya Mboga Saba toka kwa MR.BLUE anisaidie tafadhali.
Nimejaribu ku-search google ila nimekuta ambazo watu wane-copy lakini sio...
Kama tunavyojua muziki ni kama mbio za kupokezana vijiti.
Muziki wa rap kwa kipindi cha mwaka na ushee umekuwa ni wa Darasa baada ya kuupokea kwa Nay wa Mitego aliyepokea nae kijiti kwa Chidi...
kipindi cha hv karibuni naona msanii Rich mavoko toka awe WCB anashuka baada ya kupanda, maana ktk nyimbo aliyeimba na diamond kafunikwa na ss hv tena ktk nyimbo ya show me na harmonize pia...
Msanii akitoa wimbo mpya ukapata promo ya kutosha kila mtu anamdandia.Wimbo ukichuja wanatafuta mwingine mwenye kick.Pia wanamuziki wa Bongo hawana uhakika na maisha yao ya sanaa kwa sababu...
Yamoto Band wameibuka na kutamba na nyimbo mbalimbali katika Bongo Fleva, shukrani za pekee ziende kwa Mkubwa Fella kwa kuwapa nafasi madogo.
Ipi ni nyimbo bora ambayo Yamoto Band wamewahi...
Huyu jamaa mi namkubali sana sababu sio muoga kabisa ukizingua anakuchana tu kupitia mic. Hii ni baadhi ya mistari ya nyimbo yake kali kabisa inaitwa
Tanzania.
Aliimba hivi; ''Najua msema kweli...
habarini ndugu zangu:
nauliza ni station gani wanaonyesha mieleka(Wwe)
za hapa Tanzania/Africa/Duniani
......
Ambae anazifahamu aorodheshe Tafadhali
(maana sijamwona Roman reigns nna muda mrefu/...
CRONOC 7
richard MWAMBE
01
N
DANI YA CHUMBA CHENYE GIZA sauti za watu wawili tu zilikuwa zikisikika, kilikuwa ni aina fulani ya kikao cha siri ambacho hakuruhusiwa mtu...
Hili kundi nilianza kulijua miaka ya 2001 wakitamba na nyimbo zao kama napesi,mwinda nk
ila wamepotea sana
hiv hili kund bado lipo au ndo walixha tengana?
SEHEMU YA 03
David Robert, Mtanzania anayeishi Marekani anaingia Marangu, mkoani Kilimanjaro akiwa na wenzake Wilson Johnson na Joel Poulsen ambao ni wazungu, kwa pamoja wanamsaka msichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.