'Bongo bahati mbaya' ni bonge la dude



Aisee hii ngoma kali sana. Pongezi kwa Young Dee


Kiukweli mi sielewi huu wimbo upo katika genre gani ya muziki naomba kueleweshwa hili.

Na pia kwenye verse alizoimba kila verse ina bars ngapi sio mbaya mkanielewesha na hili pia.

Sjajua chorus ni ipi na pia ina bars ngapi mkinielewesha hili ntashkuru pia.

Na mwisho nikiuskiliza huu wimbo sipati ladha za Young D sana sana namuona Mr.Blue ndani yake katika mipito ya Nakunywa Tilalila, Nalewa Tilalila, Nakunywa Tilalila, Nalewa Tilalila.

Kama unajua muziki na mfatiliaji mzuri wa muziki tuliza skio lako na uskilize tena utaelewa nini nnachomaanisha. Thanks.
 
Kiukweli mi sielewi huu wimbo upo katika genre gani ya muziki naomba kueleweshwa hili.

Na pia kwenye verse alizoimba kila verse ina bars ngapi sio mbaya mkanielewesha na hili pia.

Sjajua chorus ni ipi na pia ina bars ngapi mkinielewesha hili ntashkuru pia.

Na mwisho nikiuskiliza huu wimbo sipati ladha za Young D sana sana namuona Mr.Blue ndani yake katika mipito ya Nakunywa Tilalila, Nalewa Tilalila, Nakunywa Tilalila, Nalewa Tilalila.

Kama unajua muziki na mfatiliaji mzuri wa muziki tuliza skio lako na uskilize tena utaelewa nini nnachomaanisha. Thanks.
hainaga ushemeji ivi hii watu waliipendeA nin
ukipata jibu hapa na swali ulilouliza lishapata jibu
 
Ni upuuzi, huwezi kuta mkenya anaimba wimbo kama huu.

Sijui Wale wanaofungia nyimbo ,wanaangalia vigezo gan? Lakini kwa mantiki ya Nationalism spirit huu wimbo ilipaswa ufungiwe day 1.
kafungie hainaga ushemeji kwanza
 
hainaga ushemeji ivi hii watu waliipendeA nin
ukipata jibu hapa na swali ulilouliza lishapata jibu

Nikiangalia hiyo avatar yako na ID inatosha kabisa kupata jibu wala sina haja ya kwenda kote huko.
 
Ni mtoto mdogo, hajawahi kutoka nje ya nchi, hana exposure, hajijui utaifa wake maana yake nini.

Ndio maana anaimba Bongo Bahati Mbaya.
 
Jamani mziki una iutcome nyingi..Kufundisha, kuburudisha, kuadilisha etc..sasa kwa young D..ameamu kutuburudisha..hii ngoma ikipigwa club lazima utikise kichwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom