Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ulikuwa ni wimbo wa miaka ya 2006 hivi, sikumbuki jina lake wala aliyeuimba, ila una bit flan nzur, na kati kati ya wimbo kuna maneno: Daily unanipa promise tutananilii kesho, unaishia kunipa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
kitendo cha huyu jamaa kuhamia kwenye kutiririka mi sikielewi kabisa, au ndo muziki wenyewe huu wa sasa ...wauonaje wimbo wake huu Ferooz ft Shaz Dear - Ndege Mtini | Muziki.net ?tiririka........
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Kuna mtu ana nyimbo za Shari Martini (Tana River gospel singers); Msanii wa gospel music toka Kenya. Kama kuna mtu anazo naomba anisaidie!!!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Salama humu wadau wa sanaa. Kila mtu ana njia yake ya kufikia malengo yake. Ni wazi Mbosso amechagua njia ya mahadhi yake ili kujitofautisha na wengine na anapenya na sasa ameanza kuingia kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu sisi wakongwe Kuna ladha tunaikosa sasa kwenye sanaa.tukumbushane nyimbo gani zilibamba kipindi hicho.binafsi mpaka sasa nasikiliza wakongwe tu.hizi ni baadhi ya zilizobamba na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Anaejua kuhack dream league soccer 2019 anielekeze plz
2 Reactions
44 Replies
10K Views
Vyombo karibu vyote vya habari hapa South Africa vimetawaliwa na wimbo wa mwanadada Sho Madjozi - John Cena, japo wimbo ulitoka mwezi wa 8 ila wiki hii umeshika kasi sana kwenye media na kwenye...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari yako ndg! Mpendwa! Naitwa Kefasi Mwasile ,Niko Mbeya Namtumikia MUNGU KWA kuimba na kufundisha uimbaji wa praise team, kwaya, na mmoja mmoja, makanisani na mtandaoni. LEO NATAMANI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shawn Mendes ft Camila Cabello- Senorita
1 Reactions
3 Replies
919 Views
Leo nimeona niangalie FNL baada ya miezi kadhaa. Sijui ni nini hiki ninaachoangalia. Hata sielewi!
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Umofia Kwenu wana JF, Jua Changamoto alizopitia mwandishi "Henry Mdimu" katika Story yake ya Mimi ni Shujaa. MIMI NI SHUJAA: PART 1 Uandishi wa habari ni kazi niliyoipenda tangu niko shule ya...
2 Reactions
40 Replies
11K Views
Maisha na muziki hakuna mtu asiyependa kusikiliza muziki ila tunatofautiana kuna wanaopenda hiphop,rnb,pop,reggae,gospel, etc. Tuambie unapenda album gan ya mziki? Na ni ya msanii gani ili na...
3 Reactions
49 Replies
6K Views
Mtunzi: Washawasha Natumai mko poa na jumamosi ya leo,mi Niko swafi hali ya hewa inaruhusu kufanya yake mambo yetu. Kwa jina naitwa Augusto nina miaka ishirini na tano,nimeajiriwa kwenye duka...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Mbunge Joseph Mbilinyi 'SUGU' akitoa Burudani ktk hafla ya Wabunge wa CHADEMA ya kumpongeza Halima Mdee baada ya kumaliza adhabu ya kutohudhuria Mikutano miwili ya Bunge, Mdee alisimamishwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu jamaa mbwembe zote hizi kumbe kakopy na kupest wimbo huo,ingia u tube andika jina la wimbo "soapy" wa Naira Manley ucheke, kwani mi nimecheka sana sikutegemea kuona Mondi kufanya hivyo.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mtunzi; Washawasha Mambo zenu,mi Niko poa kabisa,kwa jina naitwa Maria Rosa,mwenyeji wa mkoa wa Mbeya lakini kwa sasa naishi Dar es salaam,nina miaka 31,leo nitawahadithia zawadi ambayo Mume...
3 Reactions
17 Replies
11K Views
Wimbo uko poa unachezeka hakika na mix nzuri sana.
16 Reactions
155 Replies
29K Views
Wakuu dude linatoka tarehe 25 December Kunawakali kibao Kama. DONNIE YEN SCOTT ADKINS VANESS WU JIM LIU KENT CHENG NICOLA STUART JASON REDSHAW YEU WU
0 Reactions
3 Replies
898 Views
Kuna haya makundi yalichuana saana kwa sababu aina ya uimbaji wao ulifanana. Waliuteka sana ulimwengu wa muziki hasa wadada ndo walipenda sana nyimbo japo na wanaume na tulikuwepo kuwasindikiza...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Kiufupi nianze tu kwa kusema watu wengi sio waumini saaaana wa aina ya muziki anaoufanya msanii Lavalava. Kwa muda mrefu sasa style yake ya uimbaji imekuwa haiendani kabisa na aina ya muziki...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom