Tanzania Yapata Mwanamziki Mpya

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,112
1,887
Tanzania yapata Mwanamuziki Mpya.
Hayo yametokea hivi karibuni baada ya Mwanamziki huyo Paw Sixs wa miondoko ya Pop kuachilia kibao chake cha "Ooh"

Sasa unaweza kusikiliza kibao chake
FB_IMG_15743037555288090.jpg


 
Sijasikilza yote nilipo netwek inasumbua.

Kwanza boss hiyo siyo miondoko ya Pop, ni kama zouk ambayo imeongezwa synthesizers nyingi ila ina tempo ya rege. So hii haiwezi kua pop.

Pili mzee vocal huna. Unategemea sana autotune. Wazia ndiyo unaimba live hii sauti ya kwenye huu wimbo unayo kweli? Fanya mazoezi ya vocal.

Tatu badili jina. Paw Sixs ni nini hiki? Jiite jina rafiki linalotamkika.

Nne aliyekueditia release kava mwambie aache utoto kama ni wewe hebu acha utoto, picha gani hiyo mzee?

Tano chagua nyimbo zinazochezeka ndiyo zikuintroduce, melody ya hii ngoma ni kama unaumwa, mistari easy mno ya kitoto.

With time utakuja kua mkali.
 
Castr,
Asante kwa Ushauri wako japokua nasikitika sana. Naweza kusema kuwa Sikupata Producer mwenye ujuzi wa kutengeneza wimbo huu,
Lawama narudisha kwa Producer aliyefanya ngoma hii sio Mimi,
Kuhusu jina naweza kusema lakawaida tu na linatamkika kwa urahisi kama "Pasiksi"
 
Naona wengi hapa wanakuponda ila pambana sana na ujitume kwa bidii hakika utatoboa.

N:B Jaribu kuchange katika genre/Miondoko tofauti tofauti kulingana na mahitaji ya mziki wenyewe kuliko kung'ang'ania aina moja ya mziki unaoufanya.

Ni hayo tu ndugu.
 
Naona wengi hapa wanakuponda ila pambana sana na ujitume kwa bidii hakika utatoboa.

N:B Jaribu kuchange katika genre/Miondoko tofauti tofauti kulingana na mahitaji ya mziki wenyewe kuliko kung'ang'ania aina moja ya mziki unaoufanya.

Ni hayo tu ndugu.
Asante sana kaka, Umeongea point ya maana sana,
Naweza kusema ngoma Kali zitakuja hivi karibuni nimeamua kuanza na hii lakini nyingine nzuri za Genre tofauti zitakuja baada ya hii kaka,
 
Asante kwa Ushauri wako japokua nasikitika sana. Naweza kusema kuwa Sikupata Producer mwenye ujuzi wa kutengeneza wimbo huu,
Lawama narudisha kwa Producer aliyefanya ngoma hii sio Mimi,
Kuhusu jina naweza kusema lakawaida tu na linatamkika kwa urahisi kama "Pasiksi"
Kumlaumu producer siyo fair kwakua kazi mlifanya wote hivyo wakati anakosea ni lazima uliona. Wote wewe na yeye mmefanya kitu kilicho ndani ya uwezo wenu.

Niamini mimi. Badili jina.
 
Kumlaumu producer siyo fair kwakua kazi mlifanya wote hivyo wakati anakosea ni lazima uliona. Wote wewe na yeye mmefanya kitu kilicho ndani ya uwezo wenu.

Niamini mimi. Badili jina.
Nakiri hayo, Ila jina limeshakua recognized kwenye Mamlaka za Copyright pamoja na Search Engineers nyingi nashindwa kubadilisha.
 
Back
Top Bottom