Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,348
Kwanini mkuu.Haha. Hiyo ya vin Diesel. Inachekesha lakini. Imenipa hasira
Ungejaribu ile ya Kwanza kabisa lazima ungetaka muendelezo.Marvel Wanisamehe Tu Huwa Sina Habari Na Movie Zao Kabisa
Jamaa ni god of thunder lakini akipigwa shoti anazilai😂😂😂god of thunder, defeated by some electricity 😂 😂 😂 😂, Thor Ragnarok
Ni god of thunder sio electricityJamaa ni god of thunder lakini akipigwa shoti anazilai😂😂😂
Spider man wa Kwanza alikua mtu mzima kidogoHahaaa eti buibui alikua kashajiandaa kwenda kumuuma peter parker mara ya nne.
Peter nae alikua kashajiandaa kumpoteza uncle wake mara ya 4
😂 😂 😂 😂 😂Jamaa ni god of thunder lakini akipigwa shoti anazilai😂😂😂
nawapenda marvel kwenye movies ila series dc wanatisha zaidi kuna wachoraji flani wa bongo nusura wasini deal ya kuchora Marvel lakini sijui walimake mistake gani deal ikafaSpider man wa Kwanza alikua mtu mzima kidogo
2*alikua kijana
3*ana miaka 15/16
4*atakuwa mtoto wa miaka kumi😂😂😂