Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Napenda kabla sijalala kusikiliza karibia kila siku hizi nyimbo 1.Kenny Rogers-The Gambler(HASA HII na pia huwa mkubali sana huyu jamaa kenny) 2.Don Williams-Listen To The Radio Embu...
3 Reactions
93 Replies
15K Views
Afande atakuuliza jela umemuacha mumeo?, maana hii dunia ina mengi. VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumaini langu mko poa na hata Kama hamko poa , hamna serious sickness ndiyo maana mpo JF time Hii By the way nimeona nitoe mchango kwa namna ambavyo tunaweza kuwatunuku wasanii wetu heshima...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kusema kweli siku hizi nimejikuta nashangaa sana jinsi binadamu tunavyotofautiana katika kupokea mambo. Mimi huwa nafurahi na kupenda nyimbo hadi za wasomali,lakini huu bugana!Nawashangaa tu sana...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimepita maeneo ya Uhuru hapo shamba la bibi, ni hatari sana.. Ama hakika hawa jamaa ni balaa aisee, stage ni ya kimataifa, sound moja hatari sana, kumefungwa speaker zaidi ya mia moja, hawa jamaa...
7 Reactions
99 Replies
9K Views
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio hii hasa wa vipindi vya Power Breakfast, Jahazi na Amplifier. Hii ni wiki kama ya tatu redio hii haisikiki Morogoro na hakuna taarifa yoyote. Jamani...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Tovuti 13 kwa ajili ya Movie Streaming bure. Zitafute hizi kwenye Google: 1. Popcornfix 2. MovieNoLimit 3. Hotstar 4. Viewster 5. Snagfilms 6. TubiTV 7. Vudu Movies 8. Crackle 9. Yidio 10...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa jukwaa hili wasalaam, Mimi ni miongoni mwa watu wanaopenda sana muziki wa harakati, ingawa sisi wapenzi wasikilizaji tunapata burudani ila wasanii husika wamekuwa wakipata changamoto za...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Niko ground hapa uwanja haujajaa, pia majukwaa yako tupu. Nilijua bei ikiwa ndogo ingevuta watu wengi. Hii inapelekea mpaka sasa hawarushi live matangazo yao kwenye Tv. Hata Millard Ayo camera...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Tuache unafiki Jana Nay wa Mitego na Konde Boy wamemfunika vilivyo Ali Kiba Nyimbo zote alizoimba Nay wa Mitego ziliibua shangwe za ajabu kuliko wasanii wote waliopanda jukwa la Fiesta. Kama ile...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
LEO Hii December 8, 2019 Katk ulimwengu wa burudani kuna rumos nying zime tanda kwenye mitandao tofauti ya kijamii Juu ya kifo cha rapper Jarad Anthony Higgins Maarufu kama JUICE WRLD...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari! Binafsi napenda sana aina hii ya music. Huu uzi uwe maalumu kwa kutupia nyimbo zenye mahadhi/maudhui kama haya. Kama vile; 1. Alan Walker_Faded 2. Chris Brown_Don't wake me up 3. Owl...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Oya wazee JF, mmesusia tamasha la Tigo Fiesta! Sioni mjadala kuhusu show ya jana, niko hapa kazini namuuliza workmate wangu kama show ilifanyika au la, amenijibu kuwa show ilifanyika tena kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kawaida mjini ni mipango na kila mtu anaishi mjini kwa mahesabu yake anayoona yako sahihi,, Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila...
2 Reactions
94 Replies
36K Views
Wakuu hivi clouds media waliwakosea nini wananchi? Leo tarehe 8 decemba ni siku ya tukio kubwa kiburudani hapa nchi ambalo huambatana na shamrashamra kama zote, kwa awamu hii hali ni tofauti...
4 Reactions
53 Replies
6K Views
Naangalia Fiesta Live on Clouds Plus. Wana matangazo live toka stadiu na interview za studio. Kuna huyu mdau mdau wa clouds wa sanas kaamua kutupia "Trump is My President". Kwa kuchagua hiyo...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kabla ya kukata tickets mnaonekana wa muhimu baada ya hapo mnakuwa maboya. Yaani huko kwenye entrance points tunafanywa kama wanyama, hakuna ubinadamu, ni kusukumwa tu na wapuuzi flani ambao...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hawa walioandaa hili tamasha la "Free Esther" wanaishiwa ubunifu kwa kasi ya moto wa nyikani. It doesn't make sense wao kutumia slogans kama "Uhuru wa Burudani" at the same time wameipiga ban...
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Hawa jamaa wote wana balaa zito kazi zao recently ni kama ifuatavyo. Hanscana -Harmonize (kushoto kulia & Uno) Kenny -Diamond (sound) -Jux ( sugua) Kwa kuangalia ubora wa kazi zao nani...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
You again (2019). Cast: Mimi mars, Nick Mutuma, Amalie Chopetta, Moriss Mwangi, na wengine wengi. Director: Nick Mutuma & Natasha Likiman Uchambuzi: Hizi ni moja kati ya zile wanaita romantic...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom