Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 516
Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi Kenya pia nyimbo zake zote anaimba na kundi LA mziki linaloitwa sifa voices
Nyimbo zake ni maarufu sana barani afrika na duniani
Baadhi ya nyimbo zake maarufu sana ni hizi
SINA MUNGU MWINGINE
ENDA NASI
TUTAONANA TENA
BWANA NI MCHUNGAJI WANGU
IMMANUEL
ALFA NA OMEGA
etc.
Hii ni moja kati ya nyimbo inayopendwa sana Mara nyingi utumika kwenye misiba,huzuni na mambo mengine kama hayo
Ongezea mengine yanayo muhusu Huyu jamaa
Muwe na siku njema
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi Kenya pia nyimbo zake zote anaimba na kundi LA mziki linaloitwa sifa voices
Nyimbo zake ni maarufu sana barani afrika na duniani
Baadhi ya nyimbo zake maarufu sana ni hizi
SINA MUNGU MWINGINE
ENDA NASI
TUTAONANA TENA
BWANA NI MCHUNGAJI WANGU
IMMANUEL
ALFA NA OMEGA
etc.
Hii ni moja kati ya nyimbo inayopendwa sana Mara nyingi utumika kwenye misiba,huzuni na mambo mengine kama hayo
Ongezea mengine yanayo muhusu Huyu jamaa
Muwe na siku njema