Kamwene!
Binafsi si mfuatiliaji wa visa na mikasa ya wanamuziki hasa `Bongo`.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia juu juu kuwepo kwa kinachosemekana kuwa 'beef' kati ya msanii Nasibu Abdul Juma...
Princess Beatrice was presumably all smiles when she hosted her engagement party at Chiltern Firehouse in London yesterday. The 31-year-old is expected to marry Edoardo Mapelli Mozzi, a...
Hivi karibuni nimeona kwenye baadhi ya vipindi vya Clouds vikirusha madongo na kumpiga majungu Diamond Platnumz.
Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia...
Huyu mayor kwa sasa ana hali mbaya sana huku mzee adiyente anazidi kumwamini bi ayvi aguas
Emilia naye na rahul aka jaguar mambo ni moto
Daaah huyu jamaa alnado anatia huruma kichizi
Mayor...
Kupitia uvumi ulionea mitandaoni kuwa miss Tanzania Siti Abbas Mtemvu amejiuzulu kupitia Facebook si kweli wala hiyo account ya Facebook si yake.
Bado ni Miss Tanzania 2014.
( Poleni sana...
IMEANDIKWA NA : RICHARD MWAMBE
*********************************************************************************
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Kwanza (1)
Maisha yanayotuzunguka yana...
Dogo kawadhihirishia uwezo wake na kipaji alichotunukiwa na Mungu. Alikuwa lebo kubwa East Africa, WCB, na alifanya makubwa na hakuna mtu aliyetengemea kuwa anaweza kujitengemea mwenyewe...
Wakuu habari.
Kila siku uwa najiuliza, mbona hii sekta ya Bongo movie haikui kabisa? Yaani miaka nenda rudi ipo palepale?
Mfano, angalia muvi za Shumileta au Nsyuka za horror miaka ile na...
RIWAYA ; KIKOSI CHA PILI.
Season 2.
Na; BAHATI MWAMBA.
SIMU;0758573660.
Soma hivi……..
GATUMBA BURUNDI.
Kiasi cha kilomita kumi na tano kutoka Bunjumbura na, kilomita tano kutoka...
BRAD Pitt and Jennifer Aniston prove they’re still friendly exes as the actor attended her Christmas party – nearly 15 years after their split.
The former couple devastated fans back in January...
Mtunzi Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
“Shadya! Wewe ni msichana mzuri sana, mrembo, msichana ambaye ninajisikia fahari sana kuwa nae,” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja aliyekuwa amejibanza...
Msaada, natafuta wimbo wa gwiji la Slow Jams R-Kelly unaitwa Trapped in the closet,wote,ni mrefu wa kama nusu saa, mwenye nao naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
The star, whose real name is Sean Combs, was joined on Saturday night by some seriously rich pals worth a combined £2.2billion.
Sean, himself worth £555m, hit the milestone on November 4 but...
Mfano huu.
Santiago Santiago x 2.
Chiiile.
Santiago Santiago x2
Chile.
Tunakwenda Santiago tunarudi Chile Chile.
Wakongwe huu wimbo ulianzia wapi?...zipo nyingi.
Kama Zimbabwe huu tuseme ni...
Hellow Tanzania, Hellow JF.
Naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hawa wanaojiita/kuitwa majaji wa BSS. Mimi siyo mtazamaji sana wa mashindano hili ila mara kadhaa huwa naona video clip za washiriki...
Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.
Ukikosa shauri yako
Clouds FM...
Huyu jamaa naweza kusema ni Roma wa Kenya, siku 3 viewers 1.3M kwa mwana hiphop haijatokea hapa Afrika Mashariki.
Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.