Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nadhani kichwa kinasomeka vyema. Haya mi naanza na hawa wawili 1. JUMA NATURE - Ikumbukwe huyu anayo ile ya channel O pekee, licha ya ukubwa na ngoma kali zote unazozijua ameshiriki kwa namna...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
1. Sheebah Karungi [emoji1254] Uganda 2. Joeboy [emoji1184] Nigeria 3. Brian Nadra [emoji1139] Kenya 4. Innoss'B [emoji1078] DR Congo 5. Sho Madjozi [emoji1221] Afrika Kusini HT: BBC Watanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mko poa? sasa kuna blog moja inaitwa MIDDLE SIMBA kule U-tube, katika utoaji wake wa habari au uchambuzi mbali mbali huwa kuna wimbo mtamu wa english unapigwa kwa mbali kama background song...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aisee, huyu bidada sijui ni ushamba wa kuona wezere OG ama nini! Night club hakuna asiyejua yanayofanyika huko. Lakini kuwarekodi hao waafrika wenzetu kisha kuwaanika kweny insta stori yake sio...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Hello nimewaletea Audio Mpya hebu tusikilize alafu mtoe mawaidha yenu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafadhali wakuu anayejua wimbo mwingine mzuri wa king monada aweke hapa....Malwede nimeupenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi ngoma nimeikubali ile mbaya imewakutanisha wasanii wakali na kimetoka kitu kikali. Rayvanny kapiga corus nzuri as usual, Nyandu Tozzy katupia mistari kutu alafu akamaliza mtu mbaya Mr Blue...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Achana na Wizkid,Davido,BurnaBoy,Tecon,Yemi Alade,Tiwa Savage N.k Mashine 3 zinazokuja ku-Save Mziki wa Nigeria. 1.Joeboy Ukimsikiliza vizuri kama unamuona Tecno ndani yake hitmaker wa ngoma...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama umezitizama movie za john wick utakubaliana na mim ni moja kati ya movie zenye action za kibabe sana..pigo zilizotumika huko ni balaa sana Tupia movie nyingine zinazoendana kimapigo na...
2 Reactions
66 Replies
9K Views
Hawa Jamaa kila ' Promo ' yako lazima itakuwa na Kishindo Kikubwa. Hongera sana Kwao Clouds Media Group kwani inaonyesha kuwa wana Vichwa hatari katika Masuala mazima ya ' Promo ' na sishangai...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Pambano la Hassan Mwakinyo Vs Tinampay kutoka Filipino bado lile pambano lipo akilini Kwangu. Infact niliacha kutazama TV Round ya Nane baada ya kuona hali ngumu upande wetu nikaenda kulala...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu mwenye movie pendwa hapo juu naomba aziweke humu chonde chonde
0 Reactions
3 Replies
786 Views
Wapi unaiweka karata yako ( Joshua vs Ruiz, Dec 7th. The Clash of the Dûnes)? Haitokuwa kazi rahisi. Kwani wote wako fiti mnooo.. Ila pambano hili Ruiz anaingia na confidence wakati Joshua...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Jana tumepiga pombe hapa home kinoma..tukachinja na mbuzi tukachoma nyama tumekula fresh...Cha ajabu tumeamka asubuhi tumemkuta yule mbuzi yupo hai...ila nimeshangaa mbwa hatumuoni sijui atakuwa...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
0 Reactions
1 Replies
514 Views
BADO NAKUPENDA SANA:08 aliendelea kupiga huku akinikera kwani ile simu yake ilipokua ikiingia niliisikia milio masikioni kwangu, lakini sikujali niliendelea kuongea na Hansy tena kwa amani zote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BADO NAKUPENDA SANA:07 ili nipoteze muda, nikakuta voice note yaani ujumbe wa sauti kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wangu "usinifanyie hivyo mama sahau yaliyopita au nikopeshe basi. "Safari hii...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
BADO NAKUPENDA SANA :06 anafanya mishe gani maana alikuwa hashauriki kifupi mtu wa kuchagua kazi, Nilipokuwa sijamjibu alisema "mama, umeninunia mwanao, Nisamehe basi na wewe siunajua mimi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BADO NAKUPENDA SANA :05 Sikutaka kubishana sana na Hansy, nilikubali na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana ilinibidi niage, nilitembea hatua chache akaniita kwa unyonge "Ney. " Nami nilisimama na...
0 Reactions
0 Replies
43K Views
Back
Top Bottom