kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,159
Hawa E FM na E TV na tamasha lao na mziki mnene wamefeli vibaya. Hawapo live katika TV, uwanjani watu wachache sana. Hata wasanii wanao-perfom wamepooza, yani kwa ufupi wanatia huruma.
Kwamba wewe una akili kuwazidi Majey na kampani yake nzima sio?Sasa tamasha bure msanii ananufaikaje na halina mdhamin huu ni upuuz mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tamasha bure msanii ananufaikaje na halina mdhamin huu ni upuuz mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli hata mbele wanafanya hvyo ..usichokijua ni kua style ya performance wasanii wetu wameiga kutoka kwa wasanii wa marekani ... Japo sikatai ...Kuna show zao za live Ila backvoko hata wao wanafanyaMatamasha ya bongo bado kabisa,hasa performance ya wasanii mara utasikia wanna sema "mikono juu " mara "every body say yeah" wanajisahau hata kuimba,huwa nachukiaga mpaka Basi,matamasha ya wenzetu huko mbele hamnaga Mambo Kama hayo.![]()
Show ya kuenjoy ni ya bolingo tu. We si umeona hata ktk show ya wasafi watu walilipuka wimbo wa iyope tu.Matamasha ya bongo bado kabisa,hasa performance ya wasanii mara utasikia wanna sema "mikono juu " mara "every body say yeah" wanajisahau hata kuimba,huwa nachukiaga mpaka Basi,matamasha ya wenzetu huko mbele hamnaga Mambo Kama hayo.🙂🙂
Sio kweli hata mbele wanafanya hvyo ..usichokijua ni kua style ya performance wasanii wetu wameiga kutoka kwa wasanii wa marekani ... Japo sikatai ...Kuna show zao za live Ila backvoko hata wao wanafanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Show ya kuenjoy ni ya bolingo tu. We si umeona hata ktk show ya wasafi watu walilipuka wimbo wa iyope tu.