Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
MKASA WA KWELI
KAONDOKA NA MOYO WANGU
MWANDISHI; ZUBERI MARUMA
WHATSUPP 0759427653
Sehemu ya kwanza
UTANGULIZI
Ni mwanamke nilompenda toka ndani ya mvungu wa moyo wangu,
Nikayabeba matatizo yake na kuyafanya yangu,
Sikutegemea kama angekuja kuondoka na moyo Wangu,
Siku mbili kabla Mimi na yeye kufunga pingu,...
My Princess bado unaishi ndani ya upendo Wangu
01
Jina langu kamili naitwa Ramadhani Maulidi,(si jina halisi) nikiwa mtoto wa mwisho wa mzee Maulidi nimebahatika kuwa na kaka wa nne na dada watano nikiwa nimezaliwa mwaka 1994,kaka zangu wote wameshaoa dada zangu 3 wameolewa,wawili wapo nyumbani
Kaka yangu mkubwa ni mwalimu wa sekondari mkoani Singida,
Sisi ni wenyeji wa mkoani Kilimanjaro nikiwa mdogo darasa la tano kaka yangu aliamua kunichukua kwa dhumuni la kwenda kunisomesha, si unajua tena akili za kitoto nilifurahi kwenda Singida,ivyo mama angu akaangaikia uamisho mwezi wa nne likizo fupi ile kaka akaja kunichukua tayari kwenda kuanza maisha mapya mkoani Singida,
Nilipoanza masomo kadri siku zilivyokuwa zikienda furaha ya kuishi kule ikawa ikipungua,hasa kutokana na nyumbani kudekezwa,
Nilikuwa nikienda shuleni napewa hela si unajua tena mtoto wa mwisho kwa mama,
Huku Kwa kaka hela nikawa sipewi,nyumbani nilizoea kufatilia vipindi kwenye runinga,huku hata tv nikawa siruhusiwi kuangalia nyumban nilikuwa sifanyi kazi hata moja huku nikawa naambiwa nikachote maji mbali kisimani,achia mbali kazi za shamba nk,
Hakika maisha ya kule kijijin Yalikuwa ni magumu ukilinganisha na ya kwa wazazi nilipotoka...
Ulka ya usafi na utanashati nilikuwa nayo toka awali,wakati wanafunz wenzangu wakifua kila jumatano na jumamosi au jumapili mimi nilikuwa nikifua jumamosi tu kwani nilikuwa na nguo pear tatu ivyo nilikuwa sivai nguo chafu...
Utanashati nilokuwa nao ukawavuta watoto wa kike kujenga urafiki na mimi,wakati nilipofika darasa la sita shuleni kwetu aliamia mwanafunzi mmoja alotambulika kwa jina la Princess Yule Mwanafunzi nakumbuka mama yake alikuwa ni daktar wa hosptal Moja Iitwayo Makiungu hosptal,
Kiukwel princess alikuwa na sura nzuri hakika kila mwanafunzi alimmezea mate na kutamani awe tu Mchumba ake!,
Huku watoto wa kike wakijigonga kupata nafasi ya urafiki,
Ligi kali ya kumgombania Princess ikazuka pale shuleni,
Ila katika ligi ile mi nilibahatika kuwa mshindi hapo ndipo tulipoanza mahusiano na binti yule mrembo...
Nakumbuka siku hiyo kama bahati tulikutana mnadani,huko niliweza mshawishi Princess kwa mara ya kwanza akanipa penzi lake,yeye alikuwa ajafanya nami ndo nilikuwa naanza,nilimshukuru nikimpa pole alilia sana akidai nimemuumiza nikamuomba msamaha,
Kwanzia hapo penzi letu likamea na kuzidi maradufu,japo tulifanya siri...
Hatimaye nikamaliza darasa la saba,na kurejea nyumbani Moshi kusalimia nikiwa nimekaa mbali na wazaz kwa muda wa miaka mitatu kasoro...
Matokeo yalipotoka mi jina langu alikuonekana kwa kwel niliuzunika sana,ila kaka alinambia nisijali tusubiri matokeo ya pili ikiwa sitofaulu basi angenipeleka ufundi au 'privet' bahati nzur matokeo yalipotoka mwez wa pili jina langu likawa miongon mwa waliofahulu ila mimi nikapangwa shule mpya iitwayo Makiungu,
Nikaandaa zangu safari nikarejea zangu Singida,nilipo Uliza Juu Ya Mpz wangu princess niliambiwa yeye kafaulu Mungaa,nikaanza Mbembeleza Kaka Yangu anifanyie uamisho kweli hilo likafanikiwa...
Penzi Letu mimi na princess liliendelea kwa siri,mpaka tulipofika kidato cha tatu ndipo mpz wangu alipobadilika!
Akawa akinikwepa,nikiongea naye anajibu kama ataki,siku hiyo akanipa barua kwenye bahasha kwenda kuisoma alinambia kwa sasa ameona bora alivunje penzi letu kusudi apate muda wa kusoma hawezi changanya vitu viwili ivyo mimi nitafute mwanamke mwingine, niliumia sana baada ya kuisoma barua ile,
Si kwamba wanawake awakunipenda shuleni pale la hasha wa madarasa ya juu na hata wa mtahani wengi walinihitaji wengine walinambia na wengine walinionesha dalili ila moyo wangu ulikuwa kwa mwanamke mmoja tu!
princess
Nilimpenda Sana Mwanamke huyo na tokea nimekuwa naye sikuwah kuwa na mwanamke mwingine,
Nilijikuta machozi yakinichuruzika, nikachukua daftari nikachana karatasi tayari kwa kumjibu,ila kila barua nilokuwa nikiiandika niliona ina makosa na kuichana nika andika ingine swala likawa lile lile,si chini ya makaratasi manne nilichana,baada ya kuridhika na barua mojawapo nikaikunja vizur na kuiweka kwenye bahasha kesho yake nikampelekea,
kumpa akaipokea...
Wakati anaondoka nikamkamata mkono nikamuuliza princess nimekukosea nin mpaka uamue kuniacha?!,
Akanijibu wala hata ujanikosea kitu,
"sasa kama sijakukosea kwanin unipe adhabu hiyo"
"nimeamua tu"
Alinijibu kwa mkato akauchomoa mkono wake kwenye mkono wangu akaondoka zake...
Baada Ya Mapumziko tukarejea madarasani ambapo kiongozi 'Monitress' wa darasa akaingia na daftari
alizotoka nazo ofisini....
"Rama Mau unaitwa ofisini na sir Amede"
Baada ya kusikia wito ule kutoka kwa kiongoz yule wa darasa pasina kuwa na khofu yoyote nikanyanyuka tayari kuelekea ofisini!...
Mwalimu Amede alikuwa ni mwalimu kijana wa tahaluma sisi akutufundisha na wala sikuwa na mazoea naye...
Nikachepuka haraka kwenda,kufika ofisini nilishtuka kumkuta kashika ile barua nlo mtumia mpz wangu na mbaya zaidi hata kaka yangu alikuwa kule ofisini
"naam mwalimu"
Niliitikia baada ya kuifikia meza ya mwalimu Amede
"umekuja Shuleni Kusoma au umefata mapenzi"
Mwalimu yule wa tahaluma aliongea kwa ukali!
Mimi niliangalia chini kwa aibu ila sasa kichwani kwangu nikawa nikijiuliza hii barua princess nikakamatwa nayo au nini kilichotokea ,
Mbona yeye ofisin ayupo?!
"Rama si unaulizwa wewe?"
Ghafla nikashtushwa na sauti ya kaka yangu...
Ambaye alikuwa mkuu msaidizi katika shule ile
Je Unahisi Rama atajibu nini?,barua imemfikiaje Sar Amede tuendelee kufatilia mkasa huu wa kweli ulomtokea ndugu Ramadhan
Nawe Kama Una Mkasa Unaweza Wasiliana Na Mtunzi Kwa No 0767433106 ukamsimulia kwa dhumuni la kuifunza jamii
ITAENDELEA.....
KAONDOKA NA MOYO WANGU
MWANDISHI; ZUBERI MARUMA
WHATSUPP 0759427653
Sehemu ya kwanza
UTANGULIZI
Ni mwanamke nilompenda toka ndani ya mvungu wa moyo wangu,
Nikayabeba matatizo yake na kuyafanya yangu,
Sikutegemea kama angekuja kuondoka na moyo Wangu,
Siku mbili kabla Mimi na yeye kufunga pingu,...
My Princess bado unaishi ndani ya upendo Wangu
01
Jina langu kamili naitwa Ramadhani Maulidi,(si jina halisi) nikiwa mtoto wa mwisho wa mzee Maulidi nimebahatika kuwa na kaka wa nne na dada watano nikiwa nimezaliwa mwaka 1994,kaka zangu wote wameshaoa dada zangu 3 wameolewa,wawili wapo nyumbani
Kaka yangu mkubwa ni mwalimu wa sekondari mkoani Singida,
Sisi ni wenyeji wa mkoani Kilimanjaro nikiwa mdogo darasa la tano kaka yangu aliamua kunichukua kwa dhumuni la kwenda kunisomesha, si unajua tena akili za kitoto nilifurahi kwenda Singida,ivyo mama angu akaangaikia uamisho mwezi wa nne likizo fupi ile kaka akaja kunichukua tayari kwenda kuanza maisha mapya mkoani Singida,
Nilipoanza masomo kadri siku zilivyokuwa zikienda furaha ya kuishi kule ikawa ikipungua,hasa kutokana na nyumbani kudekezwa,
Nilikuwa nikienda shuleni napewa hela si unajua tena mtoto wa mwisho kwa mama,
Huku Kwa kaka hela nikawa sipewi,nyumbani nilizoea kufatilia vipindi kwenye runinga,huku hata tv nikawa siruhusiwi kuangalia nyumban nilikuwa sifanyi kazi hata moja huku nikawa naambiwa nikachote maji mbali kisimani,achia mbali kazi za shamba nk,
Hakika maisha ya kule kijijin Yalikuwa ni magumu ukilinganisha na ya kwa wazazi nilipotoka...
Ulka ya usafi na utanashati nilikuwa nayo toka awali,wakati wanafunz wenzangu wakifua kila jumatano na jumamosi au jumapili mimi nilikuwa nikifua jumamosi tu kwani nilikuwa na nguo pear tatu ivyo nilikuwa sivai nguo chafu...
Utanashati nilokuwa nao ukawavuta watoto wa kike kujenga urafiki na mimi,wakati nilipofika darasa la sita shuleni kwetu aliamia mwanafunzi mmoja alotambulika kwa jina la Princess Yule Mwanafunzi nakumbuka mama yake alikuwa ni daktar wa hosptal Moja Iitwayo Makiungu hosptal,
Kiukwel princess alikuwa na sura nzuri hakika kila mwanafunzi alimmezea mate na kutamani awe tu Mchumba ake!,
Huku watoto wa kike wakijigonga kupata nafasi ya urafiki,
Ligi kali ya kumgombania Princess ikazuka pale shuleni,
Ila katika ligi ile mi nilibahatika kuwa mshindi hapo ndipo tulipoanza mahusiano na binti yule mrembo...
Nakumbuka siku hiyo kama bahati tulikutana mnadani,huko niliweza mshawishi Princess kwa mara ya kwanza akanipa penzi lake,yeye alikuwa ajafanya nami ndo nilikuwa naanza,nilimshukuru nikimpa pole alilia sana akidai nimemuumiza nikamuomba msamaha,
Kwanzia hapo penzi letu likamea na kuzidi maradufu,japo tulifanya siri...
Hatimaye nikamaliza darasa la saba,na kurejea nyumbani Moshi kusalimia nikiwa nimekaa mbali na wazaz kwa muda wa miaka mitatu kasoro...
Matokeo yalipotoka mi jina langu alikuonekana kwa kwel niliuzunika sana,ila kaka alinambia nisijali tusubiri matokeo ya pili ikiwa sitofaulu basi angenipeleka ufundi au 'privet' bahati nzur matokeo yalipotoka mwez wa pili jina langu likawa miongon mwa waliofahulu ila mimi nikapangwa shule mpya iitwayo Makiungu,
Nikaandaa zangu safari nikarejea zangu Singida,nilipo Uliza Juu Ya Mpz wangu princess niliambiwa yeye kafaulu Mungaa,nikaanza Mbembeleza Kaka Yangu anifanyie uamisho kweli hilo likafanikiwa...
Penzi Letu mimi na princess liliendelea kwa siri,mpaka tulipofika kidato cha tatu ndipo mpz wangu alipobadilika!
Akawa akinikwepa,nikiongea naye anajibu kama ataki,siku hiyo akanipa barua kwenye bahasha kwenda kuisoma alinambia kwa sasa ameona bora alivunje penzi letu kusudi apate muda wa kusoma hawezi changanya vitu viwili ivyo mimi nitafute mwanamke mwingine, niliumia sana baada ya kuisoma barua ile,
Si kwamba wanawake awakunipenda shuleni pale la hasha wa madarasa ya juu na hata wa mtahani wengi walinihitaji wengine walinambia na wengine walinionesha dalili ila moyo wangu ulikuwa kwa mwanamke mmoja tu!
princess
Nilimpenda Sana Mwanamke huyo na tokea nimekuwa naye sikuwah kuwa na mwanamke mwingine,
Nilijikuta machozi yakinichuruzika, nikachukua daftari nikachana karatasi tayari kwa kumjibu,ila kila barua nilokuwa nikiiandika niliona ina makosa na kuichana nika andika ingine swala likawa lile lile,si chini ya makaratasi manne nilichana,baada ya kuridhika na barua mojawapo nikaikunja vizur na kuiweka kwenye bahasha kesho yake nikampelekea,
kumpa akaipokea...
Wakati anaondoka nikamkamata mkono nikamuuliza princess nimekukosea nin mpaka uamue kuniacha?!,
Akanijibu wala hata ujanikosea kitu,
"sasa kama sijakukosea kwanin unipe adhabu hiyo"
"nimeamua tu"
Alinijibu kwa mkato akauchomoa mkono wake kwenye mkono wangu akaondoka zake...
Baada Ya Mapumziko tukarejea madarasani ambapo kiongozi 'Monitress' wa darasa akaingia na daftari
alizotoka nazo ofisini....
"Rama Mau unaitwa ofisini na sir Amede"
Baada ya kusikia wito ule kutoka kwa kiongoz yule wa darasa pasina kuwa na khofu yoyote nikanyanyuka tayari kuelekea ofisini!...
Mwalimu Amede alikuwa ni mwalimu kijana wa tahaluma sisi akutufundisha na wala sikuwa na mazoea naye...
Nikachepuka haraka kwenda,kufika ofisini nilishtuka kumkuta kashika ile barua nlo mtumia mpz wangu na mbaya zaidi hata kaka yangu alikuwa kule ofisini
"naam mwalimu"
Niliitikia baada ya kuifikia meza ya mwalimu Amede
"umekuja Shuleni Kusoma au umefata mapenzi"
Mwalimu yule wa tahaluma aliongea kwa ukali!
Mimi niliangalia chini kwa aibu ila sasa kichwani kwangu nikawa nikijiuliza hii barua princess nikakamatwa nayo au nini kilichotokea ,
Mbona yeye ofisin ayupo?!
"Rama si unaulizwa wewe?"
Ghafla nikashtushwa na sauti ya kaka yangu...
Ambaye alikuwa mkuu msaidizi katika shule ile
Je Unahisi Rama atajibu nini?,barua imemfikiaje Sar Amede tuendelee kufatilia mkasa huu wa kweli ulomtokea ndugu Ramadhan
Nawe Kama Una Mkasa Unaweza Wasiliana Na Mtunzi Kwa No 0767433106 ukamsimulia kwa dhumuni la kuifunza jamii
ITAENDELEA.....