doctorymz fuvu
Member
- Dec 21, 2019
- 11
- 3
Hivi kuna tatizo gani msanii akidownload beat na kurekodia nyimbo?
mi narap mkuu hard core shiit, trap na afropop
Nipe contact zako nikucheck WhatsAppmi narap mkuu hard core shiit, trap na afropop
nicheki hapa broo 0746015134
yani kivp hebu nieleweshe mana kuna watu wamefanya track na beatz za wengne it means kna makubaliano?? mfano country boy alishafanyia beat ya mask off ya future.
kauli yako kama ina kejeli flan na haina userious mkuu ni kueleweshana tu sjasema mimi ndo nataka.
yani kivp hebu nieleweshe mana kuna watu wamefanya track na beatz za wengne it means kna makubaliano?? mfano country boy alishafanyia beat ya mask off ya future.