Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni moja ya makundi ya muziki ambayo mi hupenda sikiliza hasa weekend. Mara Jumapili kama hii nasikiliza nyimbo za utulivu sana zikiwemo Country, Jazz na Rhumba. Sielewi maana ya nyimbo za TP Ok...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukiangalia timu hizi hapo zimekua za kawaida sana zinafungika kiraisi sana na timu ndogo hazina wachezaji classy zipo zipo tu
0 Reactions
2 Replies
841 Views
Mambo vipi wana JF Mimi kwa sasa naishi kwenye jimbo la marekani linaloitwa West Virginia na nimetokea kuwa na marafiki ambao wanapenda kwenda outdoors adventures or hiking kwenye water falls...
0 Reactions
3 Replies
814 Views
Kati ya KENDRICK LAMAR na DRAKE unamkubali nani zaidi katika Hip Hop?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WASANII WA BONGO HARMONIZE NA VANESSA KATIKA DILEMMA KUBWA. Mambo vipi wanajamii, Kuna choice nyingi sana mtu waweza kufanya pasipo pata wasiwasi wowote juu ya maamuzi yako, Lakini kuna mara...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Niliangalia shindano la kusaka vipaji la bongo star search jana nikagundua kwamba limekuwa sio shindano la kusaka vipaji tena bali ni shindano la kusaka watu wanaotia huruma na watu wanaopendwa na...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Katika kukua kwangu,ujana na mpaka Sasa Kuna baadhi ya nyimbo hazijawahi kuchuja katika kuzipenda na kuzisikiliza.kwa upande wa bongo fleva napenda mno za zamani kuliko za sasa.kwa upande Zouk...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bhanamhala mhu le mhola hene? Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu. Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na...
6 Reactions
29 Replies
9K Views
Nchi zilizo msitari wa mbele katika Ukombozi Kusini mwa Afrika zimetendewa mambo mengi maovu na Utawala dhalimu wa Makaburu... Hata hivyo halikupata kutokea tishio zito la kutisha kama hili...
7 Reactions
393 Replies
144K Views
1. Memories - Maroon 5 2. Only human- Jonas brothers 3. On chill - Wale 4. Heat - Chris Brown 5. Joro - Wizkid 6. Jealous - Fireboy 7. Ate - Mbosso 8. NaEnjoy - Aslay 9. ...................... 10...
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Wimbo mpya The Brand New song kutoka kwa kijana Killy akimshirikisha The king of bongo fleva Mr. Alikiba! Wimbo unakwenda kwa jina la Gubu. Plz subscribe and Watch Good music from Pure Bongo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
The GODDESS comes out with another masacre featuring uganda's finest dancers #GhettoKids , the queen of uganda's stages #SpiceDiana and South Africa's baddest female rapper #GigiLamayne The song...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Member wa JamiiForums siku ya leo amefanikiwa kutoa albamu pia kuzindua Vesta Project. Kupitia Vesta Project ametoa albamu yenye nyimbo takribani 10 pamoja na hints kuelekea utoaji wa kitabu hicho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Humo ndani wameimba kimafumbo wamewataja wafuatao:- Mondi bin la deni Lowassa Dogo janja Uwoya Zari Tanasha Amber ruty Shilole Gwajiboy Uchebe Amunike Mzee wa liqwidi Ruge Lissu Wema sepetu Ila...
3 Reactions
78 Replies
21K Views
Jana nilikuwa naangalia kipindi chenu cha Women matters, kipindi kizuri ila kilikuwa hakina utulivu, hujui nani mgeni nani muongozaji, kila mtu anongea tu kama wako Baa, infact kiliboa sana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
MARIJANI Rajabu ingawa hatunaye tena hapa duniani, wapenzi wa muziki wa dansi hapa nchini hata nchi za jirani hawatamsahau kamwe. Alikuwa miongoni mwa wanamuziki waliotoa mchango mkubwa wa...
7 Reactions
29 Replies
18K Views
Wanajukwaa habari. Leo kuna tamasha la Tigo Fiesta jijini Dar es Salaam, Uwanja wa Taifa. Sijafanikiwa kwenda, kwasababu flani flani, ila ningependa kupata updates yanayoendelea. Nilipenda sana...
2 Reactions
104 Replies
14K Views
Mbona anaonekana kama anaumwa, utapialamlo au ana kwashakoo hivi.??? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Back
Top Bottom