Dogo kawadhihirishia uwezo wake na kipaji alichotunukiwa na Mungu. Alikuwa lebo kubwa East Africa, WCB, na alifanya makubwa na hakuna mtu aliyetengemea kuwa anaweza kujitengemea mwenyewe...
Wakuu habari.
Kila siku uwa najiuliza, mbona hii sekta ya Bongo movie haikui kabisa? Yaani miaka nenda rudi ipo palepale?
Mfano, angalia muvi za Shumileta au Nsyuka za horror miaka ile na...
RIWAYA ; KIKOSI CHA PILI.
Season 2.
Na; BAHATI MWAMBA.
SIMU;0758573660.
Soma hivi……..
GATUMBA BURUNDI.
Kiasi cha kilomita kumi na tano kutoka Bunjumbura na, kilomita tano kutoka...
BRAD Pitt and Jennifer Aniston prove they’re still friendly exes as the actor attended her Christmas party – nearly 15 years after their split.
The former couple devastated fans back in January...
Mtunzi Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
“Shadya! Wewe ni msichana mzuri sana, mrembo, msichana ambaye ninajisikia fahari sana kuwa nae,” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja aliyekuwa amejibanza...
Msaada, natafuta wimbo wa gwiji la Slow Jams R-Kelly unaitwa Trapped in the closet,wote,ni mrefu wa kama nusu saa, mwenye nao naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
The star, whose real name is Sean Combs, was joined on Saturday night by some seriously rich pals worth a combined £2.2billion.
Sean, himself worth £555m, hit the milestone on November 4 but...
Mfano huu.
Santiago Santiago x 2.
Chiiile.
Santiago Santiago x2
Chile.
Tunakwenda Santiago tunarudi Chile Chile.
Wakongwe huu wimbo ulianzia wapi?...zipo nyingi.
Kama Zimbabwe huu tuseme ni...
Hellow Tanzania, Hellow JF.
Naomba kutoa dukuduku langu kuhusu hawa wanaojiita/kuitwa majaji wa BSS. Mimi siyo mtazamaji sana wa mashindano hili ila mara kadhaa huwa naona video clip za washiriki...
Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa.
Ukikosa shauri yako
Clouds FM...
Huyu jamaa naweza kusema ni Roma wa Kenya, siku 3 viewers 1.3M kwa mwana hiphop haijatokea hapa Afrika Mashariki.
Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii...
HAPO kale, akaanza Waziri Mkuu, paliondokea mkulima mmoja tajiri aliyekuwa na kundi la wanyma wa kila namna na
aliyejaaliwa kujua lugha zao. Hakuna aliyejua siri hiyo kwani aliyemfundisha...
Tukumbushane kidogo.
Kibao hiki cha Uswahilini Matola(Kosa la marehemu) kiwafikie mabaharia wote,hasa wale wa kula tunda kumasihara, punguzeni speed,upepo ni mkali,mtaangusha magari.
Punguzeni...
Nimekua mshabiki wa rumba kwa muda mrefu,nilipenda nyimbo za Congo hasa zile za zamani kidogo kuliko za sasa.Hawa magwiji wawili ndio walinivutia kuipenda rumba,nina album nzima ya madilu system...
HIS Instagram feed is a littered with snaps of exotic holidays on private jets, custom-made sports cars and watches worth more than £350,000.
But despite being worth £35million and living a life...
Hawa jamaa niliwahafamu mwaka 2018 kupitia movie yao Kali mno inayoitwa #tatuchafu
Nikaangalia nyingine inaitwa #Fisiweusi[emoji2][emoji2][emoji2]
Nikazidi kuwakubali,nikaingia YouTube nikakuta...
Habari ya asubuhi wanajamii.
Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music...
Simaro Massiya Lutumba Ndomanueno aliongoza Bendi ya TP Ok Jazz baada ya Franco Luambo Makiadi kufariki 1989 na baadae kuwa na bendi yake ya Bana OK 1991.
Amefariki Paris Ufaransa alipo kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.