Negro4real
Member
- Jan 2, 2019
- 22
- 36
.
Huyu jamaa namkubali Sana aisee,anaitwa Scott Edward Adkins (born 17 June 1976
I feel like coding a game for this, it's so lovelynew movie coming sooooon!!!!
View attachment 1148046
Nabii Tito anatuaribia vijana jamannew movie coming sooooon!!!!
View attachment 1148046
mkuu umesha nipotezea dk 2 asubuhi hiinew movie coming sooooon!!!! View attachment 1148046
Mkuu umeongea ukweli ila pia jamaa anafosi sanaaakiacha ubahili kwenye movie zake angefika mbali, matokeo yake undisputed imekuwa flagship.
Una chuki binafs mkuu...Huyu jamaa wa kawaida sana hajui kuigiza Mimi nikiona muvi zake sina haja ya kujisumbua kwamba ndani itakuaje maana ni itakua mbaya.hajui kuigiza,sio msaniii anafosi Sanaa wakati sanaa haimpendi kama ana ujuzi wa kuvua aje ziwa Victoria nimpe mtaji awe mvuvi.muzi zake zote mbayaa
Huo ni muono wako, ila hapo kwenye uvuvi unacheksha yani wewe umgaie mtaji!! Jamaa kwa pesa yake anakupa wewe mtaji wa uvuvi anakupa na boti alafu wewe unakuwa boss unaajiri vijana wako unawalipa mishahara na chenji inayobaki unaenda kununua nyumba ya ghorofa mbili, gari utaamua mwenyewe.Huyu jamaa wa kawaida sana hajui kuigiza Mimi nikiona muvi zake sina haja ya kujisumbua kwamba ndani itakuaje maana ni itakua mbaya.hajui kuigiza,sio msaniii anafosi Sanaa wakati sanaa haimpendi kama ana ujuzi wa kuvua aje ziwa Victoria nimpe mtaji awe mvuvi.muzi zake zote mbayaa