papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,242
- 1,879
Kanda ya nini / CHUKI YA NINI
A/C: Papy Tex
1) Famille ebongaka boye / NDIVYO INAVYOTAKIWAKUA MAELEWANO KWENYE FAMILIA!
Famille ezalaka boye / NDIVYO INAVYO TAKIWA KWENYE FAMILIA !
Bana ya tata pe maman oh / WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA!
2) Malamu ba yokanaka / NIMUHIMU SANA PAWEPO NA MAELEWANO KATI YAO!
Malamu ba linganaka / NI JAMBO LAMAANA WAKIWA WANAPENDANA!
Wana ezali nde bolingo / HUO NDO UPENDO WA DHATI
3) Malamu ba salisanaka / VIZURI WANANDUGU WAWE KATIKA MSHIKAMANO!
Wana ezali nde lisalisi / HUO NDO MSAADA
Malamu ba sanganaka / VIZURI WANANDUGU WAWE WENYE UMOJA!
Wana ezali nde lisanga / HUO NDO MUUNGANO!
4) Ebandaki nayo yaya eh Pasteur Mukuna Ngoma / MTU WA KWANZA KALILETEA FAHARI FAMILIA YETU NI KAKA YETU « MCHUNGAJI MUKUNA NGOMA »
5) Atomboli famille oyo / NDIE KALINYANYUA FAMILIA
Apesi yango lokumu / KALIPA FAMILIA HADHI NA HESHIMA
Abosani ba leki naye te / WALA HAJAWASAHAU PIA WADOGO ZAKE!
Apesi bango ngenge / KAWATHAMANISHA VILIVYO!
6) Tumba Kateta / KAWATHAMANISHA WADOGO ZAKE AMBAO NI « TUMBA KATETA » NA » TSHIBAMBA KABENGELE »
Tshibamba Kabengele
7) Bana ya famille moko / WANANDUGU HAO WA FAMILIA MOJA!
Famille etondi lokumu / FAMILIA ILIO TUKUKA!
Bato ya mitema mabe ba zangaka te / WATU WENYE ROHO ZACHUKI HUAGA HAWAKOSI NAHULETA UCHOCHEZI KWENYE FAMILIA!
Ba kangeli biso bilongi / WANAANZA KUTUKUNJIA NYUSO ZAO!
8) Bakomi ko yokela biso nkanda / WAMETUWEKEA CHUKI!
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
Kanda ya nini oh mama oh / CHUKI YA NINI MAMA OH
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
9) Kanda ya nini oh ba mpangi eh eh / CHUKI YA NINI NDUGU ZANGUNI!
Kanda ya nini oh
Kanda ya nini oh
Kanda ya nini oh
INSTRUMENTAL
10) Bato ya mitema mabe ba zangaka te / WATU WENYE ROHO ZA CHUKI HUAGA HAWAKOSI NAHULETA UCHOCHEZI KWENYE FAMILIA!
Ba kangeli biso bilongi / WANAANZA KUTUKUNJIA NYUSO ZAO!
Ba komi ko yokela biso nkanda / HUTUCHUKIA BUREE!
Kanda ya nini oh / CHUKI YENYEWE YA NINI!
11) Kanda ya nini oh mama oh / CHUKI YA NINI MAMA OH
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
12) Pasteur Mukuna Ngoma Asambelaki na Nzambe / MCHUNGAJI « MUKUNA NGOMA » NDIE KAINGIA KWENYE MAOMBI!
13) Yango famille etombwani / NIKWAMAANA HIYO FAMILIA YABARIKIWA
Bayoki biso mabe / WATU HUTUONEA WIVU
14) Tumba Kateta
Tshibamba Kabengele
Bosala mosala na bino Mama oh / ENDELEENI NA KAZI YENU
Kanda ya nini / CHUKI YA NINI
15) Kanda nyoso ya bato ya mabe Eko kweya na mayi oh / CHUKI YA HAO WABAYA WETU, ITAISHIA MAJINI!
Biso na famille na biso oyo, papa oh Toyebi kisi te / KWENYE FAMILIA YETU GINSI TULIVYO HAPA, HATUYAJUI MAMBO YA KISHIRIKINA!
16) Pe ba boti oyo ba bota biso Bayebi kisi te / WAZAZI WALIO TUZAA, NDO KWANZA HAWAJUI MAMBO YA UCHAWI!
17) Maman oyo abota biso Ayebi kisi te / MAMA YETU MZAZI, HANA CHOCHOTE CHA UCHAWI!
18) Tata oyo abota biso Ayebi kisi te eh en ba ya ya / KADHALIKA BABA YETU MZAZI NAE PIA MAMBO YA UCHAWI HAYAJUI!
19) Kanda ya nini oh mama oh Kanda ya nini / SASA CHUKI YANINI!
20) Bombanda ya nini oh mama oh Kanda ya nini oh / UPINZANI WANINI!
21) Zua yanini oh! Zua yanini oh / WIVU WANINI!
22) Nkanda yanini oh! Bombanda yanini oh! CHUKI YANINI, UPINZANI WANINI!
A/C: Papy Tex
1) Famille ebongaka boye / NDIVYO INAVYOTAKIWAKUA MAELEWANO KWENYE FAMILIA!
Famille ezalaka boye / NDIVYO INAVYO TAKIWA KWENYE FAMILIA !
Bana ya tata pe maman oh / WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA!
2) Malamu ba yokanaka / NIMUHIMU SANA PAWEPO NA MAELEWANO KATI YAO!
Malamu ba linganaka / NI JAMBO LAMAANA WAKIWA WANAPENDANA!
Wana ezali nde bolingo / HUO NDO UPENDO WA DHATI
3) Malamu ba salisanaka / VIZURI WANANDUGU WAWE KATIKA MSHIKAMANO!
Wana ezali nde lisalisi / HUO NDO MSAADA
Malamu ba sanganaka / VIZURI WANANDUGU WAWE WENYE UMOJA!
Wana ezali nde lisanga / HUO NDO MUUNGANO!
4) Ebandaki nayo yaya eh Pasteur Mukuna Ngoma / MTU WA KWANZA KALILETEA FAHARI FAMILIA YETU NI KAKA YETU « MCHUNGAJI MUKUNA NGOMA »
5) Atomboli famille oyo / NDIE KALINYANYUA FAMILIA
Apesi yango lokumu / KALIPA FAMILIA HADHI NA HESHIMA
Abosani ba leki naye te / WALA HAJAWASAHAU PIA WADOGO ZAKE!
Apesi bango ngenge / KAWATHAMANISHA VILIVYO!
6) Tumba Kateta / KAWATHAMANISHA WADOGO ZAKE AMBAO NI « TUMBA KATETA » NA » TSHIBAMBA KABENGELE »
Tshibamba Kabengele
7) Bana ya famille moko / WANANDUGU HAO WA FAMILIA MOJA!
Famille etondi lokumu / FAMILIA ILIO TUKUKA!
Bato ya mitema mabe ba zangaka te / WATU WENYE ROHO ZACHUKI HUAGA HAWAKOSI NAHULETA UCHOCHEZI KWENYE FAMILIA!
Ba kangeli biso bilongi / WANAANZA KUTUKUNJIA NYUSO ZAO!
8) Bakomi ko yokela biso nkanda / WAMETUWEKEA CHUKI!
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
Kanda ya nini oh mama oh / CHUKI YA NINI MAMA OH
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
9) Kanda ya nini oh ba mpangi eh eh / CHUKI YA NINI NDUGU ZANGUNI!
Kanda ya nini oh
Kanda ya nini oh
Kanda ya nini oh
INSTRUMENTAL
10) Bato ya mitema mabe ba zangaka te / WATU WENYE ROHO ZA CHUKI HUAGA HAWAKOSI NAHULETA UCHOCHEZI KWENYE FAMILIA!
Ba kangeli biso bilongi / WANAANZA KUTUKUNJIA NYUSO ZAO!
Ba komi ko yokela biso nkanda / HUTUCHUKIA BUREE!
Kanda ya nini oh / CHUKI YENYEWE YA NINI!
11) Kanda ya nini oh mama oh / CHUKI YA NINI MAMA OH
Kanda ya nini oh / CHUKI YA NINI!
12) Pasteur Mukuna Ngoma Asambelaki na Nzambe / MCHUNGAJI « MUKUNA NGOMA » NDIE KAINGIA KWENYE MAOMBI!
13) Yango famille etombwani / NIKWAMAANA HIYO FAMILIA YABARIKIWA
Bayoki biso mabe / WATU HUTUONEA WIVU
14) Tumba Kateta
Tshibamba Kabengele
Bosala mosala na bino Mama oh / ENDELEENI NA KAZI YENU
Kanda ya nini / CHUKI YA NINI
15) Kanda nyoso ya bato ya mabe Eko kweya na mayi oh / CHUKI YA HAO WABAYA WETU, ITAISHIA MAJINI!
Biso na famille na biso oyo, papa oh Toyebi kisi te / KWENYE FAMILIA YETU GINSI TULIVYO HAPA, HATUYAJUI MAMBO YA KISHIRIKINA!
16) Pe ba boti oyo ba bota biso Bayebi kisi te / WAZAZI WALIO TUZAA, NDO KWANZA HAWAJUI MAMBO YA UCHAWI!
17) Maman oyo abota biso Ayebi kisi te / MAMA YETU MZAZI, HANA CHOCHOTE CHA UCHAWI!
18) Tata oyo abota biso Ayebi kisi te eh en ba ya ya / KADHALIKA BABA YETU MZAZI NAE PIA MAMBO YA UCHAWI HAYAJUI!
19) Kanda ya nini oh mama oh Kanda ya nini / SASA CHUKI YANINI!
20) Bombanda ya nini oh mama oh Kanda ya nini oh / UPINZANI WANINI!
21) Zua yanini oh! Zua yanini oh / WIVU WANINI!
22) Nkanda yanini oh! Bombanda yanini oh! CHUKI YANINI, UPINZANI WANINI!