IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Yani kuna muda binadamu unahitaji refreshments. Kama ni kweli ni mpenda burudani kama unamshabikia Diamond raha sana, jamaa ana vibe kali.
Ipo sehemu tu katika mambo yake itakunogea na kukuvutia. Naangalia Wasafi TV live mapokezi anayopewa sitaki kuamini kama watu hawa wamenunuliwa; mji umesimama.
Wasanii wengine ukiwashabikia ni kama unashabikia Arsenal. Msanii full kuringa hakupi mtazamo chanya wa kupambana na shida.
Kiukweli Diamond ni mtaalamu wa burudani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo sehemu tu katika mambo yake itakunogea na kukuvutia. Naangalia Wasafi TV live mapokezi anayopewa sitaki kuamini kama watu hawa wamenunuliwa; mji umesimama.
Wasanii wengine ukiwashabikia ni kama unashabikia Arsenal. Msanii full kuringa hakupi mtazamo chanya wa kupambana na shida.
Kiukweli Diamond ni mtaalamu wa burudani.
Sent using Jamii Forums mobile app