Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Katika Mpambano ambao huwa ni Mgumu ni huu wa Hawa Miamba wawili wa Muziki wa kale. Unapo sikiliza basi akili na amoyo wako vitaegemea kwa unaye msikiliza. Hizi ndio Nyombeo zao zinazo toa Droo na...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Kama vigezo hivi vigizingatiwa kuna wana mziki watakosa tuzo kabisa. 1. Ujumbe bora 2. Maadili mema 3. Mpangilio wa mashairi 4. Sauti kwenye ufunguo (key) wa mziki 5. Mpangilio wa ala za mziki na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kanda ya nini / CHUKI YA NINI A/C: Papy Tex 1) Famille ebongaka boye / NDIVYO INAVYOTAKIWAKUA MAELEWANO KWENYE FAMILIA! Famille ezalaka boye / NDIVYO INAVYO TAKIWA KWENYE FAMILIA ! Bana ya tata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ningepewa fursa ya kuchagua generation ipi niishi basi chaguo langu lingekuwa kuz 1880 - kuf 1960 maana huu utandawazi uchaniacha salama nimekuwa mtumwa ili kuendana na kasi ya maisha ya karne ya...
11 Reactions
32 Replies
6K Views
Binafsi ni Juzi tu mwezi Juni ndipo nilipofahamu kuwa Dem aliyeimba au kutia sauti katika Mtoto wa Geti kali ya Inspector Haroun alikuwa ni Queen Darleen. Hii ni baada ya Babu kueleza hivyo katika...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Huu ni uzi maalum wa mwaka 2020 mgeni wetu mtarajiwa Tupeane update za bar,club na kumbi ambazo leo kitawaka tujuane mambo ya kiingilio pia au kama ni bure Leo umepanga kwenda club gani au bar...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
https://fbwat.ch/1iudDzBgB9R9JCPD
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Wakuu nina GTA SA La Android Kama kuna mtu anaitaji anicheki kupitia namba 0788331185. Game ni Kali na linacheza hata kwenye simu zenye Android 4 Njoo dm Nikupe link Kama unalitaka Bei MAELEWANO...
0 Reactions
4 Replies
975 Views
Aisee huyu bwana ni nyota tu lakini hakuna lolote Yale mambwembwe yoye ya kukodi treni kumbe hamna lolote upuuzi mtupu Yani jukwaani bure kabisa hamna burudani ni kelele tupu shenzi kabisa Wacha...
7 Reactions
30 Replies
5K Views
Ngoma za Burna Boy au Tecno zipi unazikubali zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za kazi wakuu? Nani ameimba wimbo wenye maneno NIPENDE NIJINASUE? Ni sauti ya mdada na wimbo nausikia sana Wasafi FM mwezi huu na mwezi uliopita.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Katika Miaka 10 Ya @diamondplatnumz Niwe Mmoja Wa Mashabiki Watakao Sema Lolote Binafsi Nimeanza Kumjua Chibu Katika Wimbo Wake Wa Kamwambie Enzi Hizo Nasoma Primary Kiukweli Nilianza Kumuona...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Yani kuna muda binadamu unahitaji refreshments. Kama ni kweli ni mpenda burudani kama unamshabikia Diamond raha sana, jamaa ana vibe kali. Ipo sehemu tu katika mambo yake itakunogea na kukuvutia...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika kuthibitisha kuwa habahatishi kazi zake, Diamond kaweka stage ya hali ya juu kuelekea show yake ya leo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naangalia chati za muziki Boomplay sijaona jina la msanii anayesadikika anapendwa zaidi Tanzania, ila sijaona hata katika Top 10.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna vitu vingine vinafurahisha sana endapo wewe unampa sapoti Diamond. Mfano: Akijaza uwanja roho inafurahi. Huko Kigoma kaweka rekodi tangu Uhuru kwa kujaza nyomi; na hii ni mapokezi tu, roho...
1 Reactions
1 Replies
973 Views
Wakuu nipo wilaya ya Kasulu muda huu eneo moja wanapaita Kitagata, asee watu wa hili eneo/kijiji wote wanazungumza kuhusu diamond plutnumz.... haswa kwenda Kigoma mjini kumshuhudia ...najiuliza...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Labda hakuna wapiganaji wala uchoraji wa fantasasi huchea mawazo ya wasikilizaji kama Filamu bora juu ya wachawi na wachawi. Hii haishangazi, kwa sababu watu wakati wote wanapendezwa na nguvu za...
3 Reactions
50 Replies
17K Views
Haya ni maoni yangu tu jamani kama unabisha weka nyimbo yako hapa iliyozidi hii kwa ukali Innoss'b ~ Diamond Platnumz Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…