Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ngoma za Burna Boy au Tecno zipi unazikubali zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za kazi wakuu? Nani ameimba wimbo wenye maneno NIPENDE NIJINASUE? Ni sauti ya mdada na wimbo nausikia sana Wasafi FM mwezi huu na mwezi uliopita.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Katika Miaka 10 Ya @diamondplatnumz Niwe Mmoja Wa Mashabiki Watakao Sema Lolote Binafsi Nimeanza Kumjua Chibu Katika Wimbo Wake Wa Kamwambie Enzi Hizo Nasoma Primary Kiukweli Nilianza Kumuona...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Yani kuna muda binadamu unahitaji refreshments. Kama ni kweli ni mpenda burudani kama unamshabikia Diamond raha sana, jamaa ana vibe kali. Ipo sehemu tu katika mambo yake itakunogea na kukuvutia...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika kuthibitisha kuwa habahatishi kazi zake, Diamond kaweka stage ya hali ya juu kuelekea show yake ya leo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naangalia chati za muziki Boomplay sijaona jina la msanii anayesadikika anapendwa zaidi Tanzania, ila sijaona hata katika Top 10.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna vitu vingine vinafurahisha sana endapo wewe unampa sapoti Diamond. Mfano: Akijaza uwanja roho inafurahi. Huko Kigoma kaweka rekodi tangu Uhuru kwa kujaza nyomi; na hii ni mapokezi tu, roho...
1 Reactions
1 Replies
973 Views
Wakuu nipo wilaya ya Kasulu muda huu eneo moja wanapaita Kitagata, asee watu wa hili eneo/kijiji wote wanazungumza kuhusu diamond plutnumz.... haswa kwenda Kigoma mjini kumshuhudia ...najiuliza...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Labda hakuna wapiganaji wala uchoraji wa fantasasi huchea mawazo ya wasikilizaji kama Filamu bora juu ya wachawi na wachawi. Hii haishangazi, kwa sababu watu wakati wote wanapendezwa na nguvu za...
3 Reactions
50 Replies
17K Views
Haya ni maoni yangu tu jamani kama unabisha weka nyimbo yako hapa iliyozidi hii kwa ukali Innoss'b ~ Diamond Platnumz Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Msanii Chidi Benzi asikitishwa na dau alilotaka kupewa na Efm kwa ajili ya ku-perfom show yao ya Mziki Mnene. Walimpigia simu wakimwomba akaimbe kwa malipo ya elfu 50, kwa ahadi kwamba watampa...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Kabla hujasoma Riwaya hii Nzuri na tamu niweke wazi hapa mimi sio muandishi wa hii riwaya na wala sijawahi kuandika hii riwaya hata neno moja.Pia nitoe angalizo iwapo mwandishi asipomalizia...
2 Reactions
35 Replies
14K Views
Nkiwa kama moja ya wapenzi wakubwa wa kipindi cha XXL ya Clouds nlimsikia B Dozen akisema Nandy ni msanii aliyeongoza album yake ya the African Princess kuwa streamed Boomplay, kitu ambacho ni...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanajamii wenzangu, Naomba mnisaidie kuutambua wimbo, siujui jina but inadaiwa ameimba Mwafrika, sijui nchi gani hapa Afrika but Wahindi wameuiga kwenye movie inaitwa Gupt (wimbo unaitwa jina la...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Napenda kujua gharama za utali wa ndani ( Tanzania)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tukiwa tunaelekea kumaliza muongo mmoja, haya ndiyo maoni yangu kuhusu wasanii bora zaidi wa muziki katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. 1. Diamond Platnumz There is no competition to the...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
Tukiwa tumebakiwa na siku 21 kufunga mwaka huu. Wadau wa sector ya burudani tupeane play least zetu za mwaka huu unaoisha. Zangu:[emoji116] 1. Yope rmx - Inoss B ft Diamond 2.No guidance - Chris...
5 Reactions
58 Replies
9K Views
Special dedication kutoka kwa Gerere kwaajili ya wachaga wenzangu wooote.... Mchagga Mwenye Sawgga - Gerere
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Alafu mtu bado analeta ubishi na ushabiki usio na maana! Jamani Tukubali tu kwamba Diamond kwa sasa ni level nyingine. Wengine nyie endeleeni na shows za huko matombo na.k Sent using Jamii...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
Huwa wanaimba nyimbo za wanawake lakini ndiyo mfumo wa maisha ya Mtanzania kuwa ni kisiwa cha amani. Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom