Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,550
Katika Mpambano ambao huwa ni Mgumu ni huu wa Hawa Miamba wawili wa Muziki wa kale. Unapo sikiliza basi akili na amoyo wako vitaegemea kwa unaye msikiliza. Hizi ndio Nyombeo zao zinazo toa Droo na kukosa Majibu. Inagawa kwa mimi Binafsi namuweka Marijani juu kidogo kwa ailimia tano tu yaani 100%:95% sababu Marijani katoa tungo nyingi tata na zenye mafuzo.
Marijani Rajabu:
1.Usia
2.Mwanameka
3.Ndoa ya Mateso
4.Zuwena
5.Masudi
6.Mbaya wangu
7.Pombe sio Chai
8.Mwajuma
9.Rafaa ya kifo
Mbaraka Mwinshehe:
1. Mtaa wa Saba
2.Baba mdogo
3.Mashemeji wangapi
4.Mshenga
5.Shida
4.Mshenga
5.Shida
Kitu cha kukubaliana ni kwa Nyimbo nyingi za Mbaraka zinakuwa za kuchezeka yaani za kujirusha wakati kwa Marijani mule unashiba Ubongo tu unajazwa mausia ya kufa mtu.
Karibuni wahenga tupeane maoni zaidi tumalize huu Mwaka.
Happy new year nyote
Marijani Rajabu:
1.Usia
2.Mwanameka
3.Ndoa ya Mateso
4.Zuwena
5.Masudi
6.Mbaya wangu
7.Pombe sio Chai
8.Mwajuma
9.Rafaa ya kifo
Mbaraka Mwinshehe:
1. Mtaa wa Saba
2.Baba mdogo
3.Mashemeji wangapi
4.Mshenga
5.Shida
4.Mshenga
5.Shida
Kitu cha kukubaliana ni kwa Nyimbo nyingi za Mbaraka zinakuwa za kuchezeka yaani za kujirusha wakati kwa Marijani mule unashiba Ubongo tu unajazwa mausia ya kufa mtu.
Karibuni wahenga tupeane maoni zaidi tumalize huu Mwaka.
Happy new year nyote