tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Kama vigezo hivi vigizingatiwa kuna wana mziki watakosa tuzo kabisa.
1. Ujumbe bora
2. Maadili mema
3. Mpangilio wa mashairi
4. Sauti kwenye ufunguo (key) wa mziki
5. Mpangilio wa ala za mziki na mdundo
6. Kutawala jukwaa (live performance)
7. Uwezo wa kubadili staili ya mziki na ubora kubaki pale pale.
Vigezo hivi vikizingatiwa kuna wanamziki wajanja wajanja watakosa tuzo hakika.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ujumbe bora
2. Maadili mema
3. Mpangilio wa mashairi
4. Sauti kwenye ufunguo (key) wa mziki
5. Mpangilio wa ala za mziki na mdundo
6. Kutawala jukwaa (live performance)
7. Uwezo wa kubadili staili ya mziki na ubora kubaki pale pale.
Vigezo hivi vikizingatiwa kuna wanamziki wajanja wajanja watakosa tuzo hakika.
Sent using Jamii Forums mobile app