Watu Wanaopenda muziki wa dansi na Wanakwenda kuhudhuria maonyesho Wanajua Namaanisha nini Nikisema una vibe la kutosha na radha ya pekee Tembelea maonyesho ya Twanga pepeta chini ya Raisi Kalala...
Habari wadau wa JF,
Huwa navutiwa sana na style aliyokuwa anatumia Inspector zamani ya kurudia neno moja kwa kutumia majina tofauti lakini yana maanisha kitu hiko hiko.
Baadhi ya nyimbo...
Fathers and daughters seem to have some special bond, and the story of Flávio Dantas, of Rio de Janeiro, Brazil, is another proof of it.
This father was so excited to meet his daughter, that he...
Salaam wana jukwaa. Moja kwa moja kwenye hoja.
Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kuwa Dully Sykes ndie msanii anaeongoza kwa kushirikishwa sana kwenye nyimbo za Bongo flavour.
Music...
Lyrics:
My Darling
Si uniambie
Una mawazo gani
Nielezee ni kwa nini
Kuwa na amani
Haya mambo yameanzia mbali
Yapo hapa tangu zamani
Kabla hatujazaliwa
We na mimi
Yapo ambayo umeshayafanya
Na...
Juzi kwenye tuzo za Malkia wa Nguvu alipanda kuperfom mwanamuziki Ruby, aisee nilikuwa nasikiaga kuwa Ruby ni balaa sana kuperfom live ndio nikaamini juzi.
Anasauti moja matata sana huwezi...
Leo nimeingia YouTube niangalie nin kinatrend Bongo, nikakuta wimbo wa Rayvanny unaitwa Ex Boyfriend, bonge moja la pini.
Huyu mwamba nimempigia saluti anaimba vitu real sana na very romantic kwa...
Wadau inajulikana kwamba idadi ya vidole mkononi au miguuni ni 10 yaani kila mkono au mguu ni vidole vitano
Ila wapo wanaozaliwa na vidole zaidi ya 10 miguuni au mikononi
Sasa tuangalie watu 10...
Kama wewe ni mpenzi wa movies na mavitu makali, basi hii inakuhusu. Usikubali kupitwa na updates mbalimbali kuhusu movie ipi imetoka na inayotegemewa kutoka.
Hii inahusu movies za aina zote...
SEHEMU YA KWANZA
Hali ya hewa ilikuwa tulivu ingawa kulikuwa na kijua kilichochoma kwa mbali na kufanya hali ya Mwanza iwe na joto kiasi.
Anne alisimama kizimbani mbele ya jaji wa Mahakama ya...
MWANZONI
Kwa muda mrefu sana mvua ilikuwa haijanyesha katika wilaya ya Bagamoyo, mkoa wa Pwani mazao ya watu wengi sana yalikuwa yamekufa mashambani, kulikuwa na dalili zote za kutokea kwa balaa...
James Matei alimshuhudia waziwazi mchumba wake Maria Temba akipigwa risasi na kuuawa, kitendo ambacho kiliyakatisha matumaini yake ya kufunga ndoa na kuoana na msichana huyo aliyempenda kuliko...
Kwa wale wapenzi wa Tamthiliya ya Isidingo inaelezwa kuwa Waigizaji wa tamthiliya hiyo walikuwa location wakifanya (wakishoot) sehemu ya mwisho (episode) ya tamthiliya hiyo. Tamthiliyo hiyo ni...
MWANZO
“We ni nani?”
“Naitwa Jamila Mustapha”
“Unapiga simu kutoka wapi shida yako ni nini?”
“Nipo Temeke...bila shaka wewe ni Hussein Mwanda, mwandishi maarufu wa habari za kichunguzi?”
“Ndio”...
Mpira unadunda jamani ushabiki ukizidi sana ni kufuru. Tuwe makini na hilo kwenye mpira lolote laweza kutokea
usalama au kutokuwa salama ni Dk 90.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wimbo mzuri, Ila kwanini nandy, Mimi Mara, Vanessa hawapo. Halaf mbona hujamtaja halima mdee, esta bulaya , au Fatma karume hata Maria sarungi.
All in all hii ngoma Kali Sana, na vile...
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM. Lakini nina kama wiki sasa nimekuwa niki interchange kati ya Power Breakfast na Joto la Asubuhi cha EFM.
Na sasa naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.