Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Watu Wanaopenda muziki wa dansi na Wanakwenda kuhudhuria maonyesho Wanajua Namaanisha nini Nikisema una vibe la kutosha na radha ya pekee Tembelea maonyesho ya Twanga pepeta chini ya Raisi Kalala...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Amenikabidhi sumu mke uku mnaona alopewa aniheshimu riziki yake ni pana kuipana kwake ni vigumu mtahangaika sana
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari wadau wa JF, Huwa navutiwa sana na style aliyokuwa anatumia Inspector zamani ya kurudia neno moja kwa kutumia majina tofauti lakini yana maanisha kitu hiko hiko. Baadhi ya nyimbo...
4 Reactions
8 Replies
4K Views
Fathers and daughters seem to have some special bond, and the story of Flávio Dantas, of Rio de Janeiro, Brazil, is another proof of it. This father was so excited to meet his daughter, that he...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaam wana jukwaa. Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kuwa Dully Sykes ndie msanii anaeongoza kwa kushirikishwa sana kwenye nyimbo za Bongo flavour. Music...
1 Reactions
42 Replies
10K Views
Lyrics: My Darling Si uniambie Una mawazo gani Nielezee ni kwa nini Kuwa na amani Haya mambo yameanzia mbali Yapo hapa tangu zamani Kabla hatujazaliwa We na mimi Yapo ambayo umeshayafanya Na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Juzi kwenye tuzo za Malkia wa Nguvu alipanda kuperfom mwanamuziki Ruby, aisee nilikuwa nasikiaga kuwa Ruby ni balaa sana kuperfom live ndio nikaamini juzi. Anasauti moja matata sana huwezi...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Leo nimeingia YouTube niangalie nin kinatrend Bongo, nikakuta wimbo wa Rayvanny unaitwa Ex Boyfriend, bonge moja la pini. Huyu mwamba nimempigia saluti anaimba vitu real sana na very romantic kwa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
SIMULIZI FUPI _ SOMA KISHA JIFUNZE_ Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha, kwanini umeruhusu Dunia iniadhibu kiasi hiki. Baba wa mbinguni sina...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau inajulikana kwamba idadi ya vidole mkononi au miguuni ni 10 yaani kila mkono au mguu ni vidole vitano Ila wapo wanaozaliwa na vidole zaidi ya 10 miguuni au mikononi Sasa tuangalie watu 10...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Kama wewe ni mpenzi wa movies na mavitu makali, basi hii inakuhusu. Usikubali kupitwa na updates mbalimbali kuhusu movie ipi imetoka na inayotegemewa kutoka. Hii inahusu movies za aina zote...
5 Reactions
141 Replies
21K Views
SEHEMU YA KWANZA Hali ya hewa ilikuwa tulivu ingawa kulikuwa na kijua kilichochoma kwa mbali na kufanya hali ya Mwanza iwe na joto kiasi. Anne alisimama kizimbani mbele ya jaji wa Mahakama ya...
2 Reactions
51 Replies
13K Views
MWANZONI Kwa muda mrefu sana mvua ilikuwa haijanyesha katika wilaya ya Bagamoyo, mkoa wa Pwani mazao ya watu wengi sana yalikuwa yamekufa mashambani, kulikuwa na dalili zote za kutokea kwa balaa...
1 Reactions
61 Replies
26K Views
James Matei alimshuhudia waziwazi mchumba wake Maria Temba akipigwa risasi na kuuawa, kitendo ambacho kiliyakatisha matumaini yake ya kufunga ndoa na kuoana na msichana huyo aliyempenda kuliko...
15 Reactions
249 Replies
38K Views
Kwa wale wapenzi wa Tamthiliya ya Isidingo inaelezwa kuwa Waigizaji wa tamthiliya hiyo walikuwa location wakifanya (wakishoot) sehemu ya mwisho (episode) ya tamthiliya hiyo. Tamthiliyo hiyo ni...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF, ninaomba tutaje nyimbo zinazo hits sasa hivi kitaani. Sisi nyimbo inayo hits zaidi kitaani kwetu ni Jeje of Diamond Platnumz
0 Reactions
16 Replies
5K Views
MWANZO “We ni nani?” “Naitwa Jamila Mustapha” “Unapiga simu kutoka wapi shida yako ni nini?” “Nipo Temeke...bila shaka wewe ni Hussein Mwanda, mwandishi maarufu wa habari za kichunguzi?” “Ndio”...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mpira unadunda jamani ushabiki ukizidi sana ni kufuru. Tuwe makini na hilo kwenye mpira lolote laweza kutokea usalama au kutokuwa salama ni Dk 90. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni wimbo mzuri, Ila kwanini nandy, Mimi Mara, Vanessa hawapo. Halaf mbona hujamtaja halima mdee, esta bulaya , au Fatma karume hata Maria sarungi. All in all hii ngoma Kali Sana, na vile...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM. Lakini nina kama wiki sasa nimekuwa niki interchange kati ya Power Breakfast na Joto la Asubuhi cha EFM. Na sasa naona...
13 Reactions
128 Replies
21K Views
Back
Top Bottom