Aman iwe nanyi
Yule roma mkakoliki ambaye amekimbilia kwa mabeberu leo bhana kaachia ngoma kali sana ya kusifu na kuabudu
Ngoma ni kali sana aisee
Producer bin Laden kapiga bonge la beat...
Naona tuzo za Oscar zinatolewa kesho na hizi movie zote zinashindania tuzo ya best animated feature.. kwa naoni yako ipi kali?
naona Zootopia imeshinda.
Hii imedhiirika baada ya wasanii kadhaa kujitoa WCB mashabiki waliokua wanawatukuza na kuwapaisha kua ni wasanii wakali na watunzi wazuri wa mashairi, mashabiki hao hao ndo wanaongoza kwa...
Kwanza kabisa hiyo a.k.a ya Kardinali mimi ndio nimempa huyu jamaa kwa sababu ana Pengo.
Back to my point. One the Incredible has stuck in the 90s. He thinks 2019 is 1994.
Yani up to this era...
Huyu jamaa anajua sana, naamini anatakiwa awe mbali zaidi ya hapa alipo, ni moja ya waimbai wa Rhythm and Blues (RnB) wakali sana.
Tafuta management inayojielewa, watu kama wakina jux ni wa...
Hivi ingetokea janga hili la Coroca ndo limetokea wakat Kuna BBA.... na South wana Lockdown inamaana wale waliomo ndani si ndo ingekuwa mazima mpaka hali ikae sawa... nafikiri shindano...
Habari za jioni wapenzi wote wa burudani na wana jf kwa ujumla..
Nitaenda moja kwa moja kwenye mada kama heading inavo state
Toka mwaka uanze wasanii mbalimbali hapa nchini wametoa nyimbo...
Habari za muda huu? Matumaini yangu ni kwamba mko na afya njema. Kwa waliopata maswaibu Mungu awape nguvu, hata hayo pia yanapita.
Straight to the point, leo ninamzungumzia mwanamziki mashuhuri...
Media Imecopy karibu vipindi vyote vya watangulizi wao mpaka maudhui ya vipindi. Jamaa wameiga mpaka Ndondo Cup. Hata matamasha wanafanya kwa mtindo uleule wa watangulizi wao hawana ubunifu...
Wakati kukiwa na ushindani mkali kati ya marvel cinematic universe na dc comics kwenye soko la filamu za superheroes hizi ndio movie zangu bora hadi sasa hivi ambazo nimeshaangalia
1.The Dark...
Naomba nieleweshwe vizuri maana sielewi, hivi Fawler aliyekuwa mchezaji wa Liverpool aliitwa Mungu wa Magoli ilikuaje na alicheza mwaka gani? Kwanini walimpa jina hilo na alikua anacheza nafasi...
Takribani miaka 10 na zaidi kijana huyu amekua akikonga nyoyo za mashabiki na amegoma kabisa kushuka.
Huyu kijana ana akili sana maana anatumia trick nying sana na figisu za kutosha ili abaki...
Kutokana na teaser ilianza kusambaa tangu wiki ilioisha huko kwenye mitandao ya kijamii "FUNDI BORA KWAKO NI NANI" Hatimae leo mida ya saa nane majira ya mchana fumbo litaenda kufumbuliwa,
Je ni...
Lily omy Tusha mleta Chama lawana Mafundi wa Burudani Ndani Ya Nyumba
Sasa Bado Sammisago Kamati Ikamilike Tukiwashe
Wasafi Hatuna Show mbovu Tumekuja kutibu Homa Ya Burudani Usiwaze kaa...
I wish you all a very happy Valentine's day, and continue to maintain love among us as God has commanded us.
Twende moja kwa moja kwenye Topic
Jana kupitia page mbalimbali za social medias...
Kwa upande wangu nimeangalia filamu nyingi za kibongo, bahati mbaya nyingi sijaziweka kichwani. Ziko ambazo nimeona Mzimu unapisha magari, ziko ambazo Jambazi anavua viatu na kuvamia ndani 😁😁😁😁😁😁😁...
Kuna baadhi ya wasanii ukisikiliza yimbo zao utagundua hazina maadili ya kumjenga mtu. Wakati mwingine nadiriki kusema wakafanyiwe uchunguzi wa akili; sio wazima. Tunataka nyimbo zenye mafundisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.