Mbosso vs Harmonize: Mpambano ni mkali uko YouTube

Mbosso vs Harmonize: Mpambano ni mkali uko YouTube

music mimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
500
Reaction score
888
Mbosso anaendelea kumkimbiza msanii Harmonize huko YouTube.

Mmakonde naona anaprove kwamba nje ya Wasafi yeye bado ni msanii wa kawaida tu.

Screenshot_20200325-230314_1585166653123.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na viewers, kwani Harmonize katoa ngoma ngapi YouTube recently na audio za ngoja zake zimetoka lini, huwezi compare na ngoma moja tu ya Mbosso. Harmonize hakuna wa kumfananisha nae ase... Jeshiiiiii yuko vizuri.
 
Achana na viewers, kwani Harmonize katoa ngoma ngapi YouTube recently na audio za ngoja zake zimetoka lini, huwezi compare na ngoma moja tu ya Mbosso. Harmonize hakuna wa kumfananisha nae ase... Jeshiiiiii yuko vizuri.
Wamakonde bwanaaaaa
 
Lakini wewe si likubwa kabsa
Achana na viewers, kwani Harmonize katoa ngoma ngapi YouTube recently na audio za ngoja zake zimetoka lini, huwezi compare na ngoma moja tu ya Mbosso. Harmonize hakuna wa kumfananisha nae ase... Jeshiiiiii yuko vizuri.
 
Achana na viewers, kwani Harmonize katoa ngoma ngapi YouTube recently na audio za ngoja zake zimetoka lini, huwezi compare na ngoma moja tu ya Mbosso. Harmonize hakuna wa kumfananisha nae ase... Jeshiiiiii yuko vizuri.
Kuna msemo unasema, namba uwa hazidanganyi.
Harmonize kama yeye ni mkali aweke namba kama zamani views million moja kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na viewers, kwani Harmonize katoa ngoma ngapi YouTube recently na audio za ngoja zake zimetoka lini, huwezi compare na ngoma moja tu ya Mbosso. Harmonize hakuna wa kumfananisha nae ase... Jeshiiiiii yuko vizuri.
Mbona hapo kazidiwa na mbosso? Nitajie ngoma yoyote ya harmo aliyofanya pekee yake inayo viewers wengi kuliko ngoma yoyote ya mbosso?
 
Die hard Fan base ni jambo la msingi sana katika soko la muziki


Harmonize ana wapambe wengi kushinda mashabiki, wengi wanamlia hela tuu na kumjaza ujinga(Kina Diva, Mwijaku na wengineo ) kuwa amashakuwa msanii namba moja Tz ..

Asipojitambua atakuja kujuta sana siku sio nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom