GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,275
- 6,621
Kwa upande wangu nimeangalia filamu nyingi za kibongo, bahati mbaya nyingi sijaziweka kichwani. Ziko ambazo nimeona Mzimu unapisha magari, ziko ambazo Jambazi anavua viatu na kuvamia ndani ๐๐๐๐๐๐๐ Zipo tu za kustaajabisha sana lakini kwangu hizi mbili: Fungu la Kukosa na Binti Nusa ni miongoni mwa filamu ambazo nimevutiwa nazo sana.
Riyama Ally ndani ya Fungu la Kukosa mpakaleo ananifanya nimuone kuwa muigizaji bora wa kike wa wakati wote, kwani licha ya kubadilika umbo na umri, bado ameweza kuzitendea haki nafasi anazoshika.
Riyama Ally ndani ya Fungu la Kukosa mpakaleo ananifanya nimuone kuwa muigizaji bora wa kike wa wakati wote, kwani licha ya kubadilika umbo na umri, bado ameweza kuzitendea haki nafasi anazoshika.