Deghe Mangae
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 171
- 149
Kuna baadhi ya wasanii ukisikiliza yimbo zao utagundua hazina maadili ya kumjenga mtu. Wakati mwingine nadiriki kusema wakafanyiwe uchunguzi wa akili; sio wazima. Tunataka nyimbo zenye mafundisho ndani ya jamii na
Hawa BASATA ifike pahala waingilie kati.
Tumechoka na nyimbo zisizo na maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa BASATA ifike pahala waingilie kati.
Tumechoka na nyimbo zisizo na maana
Sent using Jamii Forums mobile app